Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Atakayehamasisha maandamano ya kupinga tozo na kumuondoa Samia nitamuunga mkono kwa asilimia 100

Nipo tayar kuunga mkono vuguvugu lolote la maandamano ya kupinga tozo na maandamano ya amani ya kumng'oa Samia madarakani.

Sio tu support ya kuingia barabarani, bali hata support ya kifedha, nipo tayari kutoa hata nusu ya uwezo wangu kusaidia maandamano ya kumng'oa huyu chifu madarakani

Hatuwezi kuongozwa na mtu ambaye Hata kujiongoza mwenyewe hawezi, urais wenyewe haongozi yeye anaongozwa ongozwa tu..

Hana brain ya kuongoza nchi, hana ubunifu, hana mawazo yeye yupo bora liende tu, anafanya hivyo kwa kua anajua hii nchi ya Watanganyika, anajua kabisa mwishoni hata akipambana watakaonufaika ni watanganyika, yeye anajijazia tu CV yake akimaliza muda wake akampumzike zake pale kisiwani

Anachokifanya Samia kwa Tanganyika ni sawa na umchukue rais wa Kenya umlete aje kutawala TZ hapo moyo wa kutumikia tz hatokua nao atafanya mambo yaende tu hivyo hivyo maana mwishoni anajua atarudi zake Nairobi the same to Hangaya, hivi mnadhani Samia angekua rais wa ZANZIBAR angeyafanya haya anayotufanyia watanganyika?Jibu ni hapana...

Huyu kilichobaki ni wananchi tumkatae hadi aondoke uchaguzi uitishwe hatuwezi tukaongozwa na huyu bibi ambaye yeye anaongozwa na kina msoga na mwigulu zile story zake za kutuambia huwa halali ni urongo wa zama!!eti asilale kisa watanganyika[emoji32] sio kweli kabisa

Nipo tayari kushiriki maandamano ya kumng'oa huyu bibi, nitatoa nusu ya uwezo wangu kuwasapoti watakaoanzisha maandamano ya amani na ya kisheria ya kumpinga huyu Chief...

Useless kabisa!!!hamna kitu pale tumepigwa!!
Kimekupata nini ndugu maana ilikua mama mama mama anaupiga mwingi nafuu yeye

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 


Si,tumekubaliana bora hangaya kuliko Jiwe?

Kwa Sasa Hangaya ndio yupo madarakani, ndio anaye angaliwa bila kumfananisha na mwingine.
 
Atakayehamasisha maandamano ya kupinga tozo na kumuondoa Samia nitamuunga mkono kwa asilimia 100

Nipo tayar kuunga mkono vuguvugu lolote la maandamano ya kupinga tozo na maandamano ya amani ya kumng'oa Samia madarakani.

Sio tu support ya kuingia barabarani, bali hata support ya kifedha, nipo tayari kutoa hata nusu ya uwezo wangu kusaidia maandamano ya kumng'oa huyu chifu madarakani

Hatuwezi kuongozwa na mtu ambaye Hata kujiongoza mwenyewe hawezi, urais wenyewe haongozi yeye anaongozwa ongozwa tu..

Hana brain ya kuongoza nchi, hana ubunifu, hana mawazo yeye yupo bora liende tu, anafanya hivyo kwa kua anajua hii nchi ya Watanganyika, anajua kabisa mwishoni hata akipambana watakaonufaika ni watanganyika, yeye anajijazia tu CV yake akimaliza muda wake akampumzike zake pale kisiwani

Anachokifanya Samia kwa Tanganyika ni sawa na umchukue rais wa Kenya umlete aje kutawala TZ hapo moyo wa kutumikia tz hatokua nao atafanya mambo yaende tu hivyo hivyo maana mwishoni anajua atarudi zake Nairobi the same to Hangaya, hivi mnadhani Samia angekua rais wa ZANZIBAR angeyafanya haya anayotufanyia watanganyika?Jibu ni hapana...

Huyu kilichobaki ni wananchi tumkatae hadi aondoke uchaguzi uitishwe hatuwezi tukaongozwa na huyu bibi ambaye yeye anaongozwa na kina msoga na mwigulu zile story zake za kutuambia huwa halali ni urongo wa zama!!eti asilale kisa watanganyika[emoji32] sio kweli kabisa

Nipo tayari kushiriki maandamano ya kumng'oa huyu bibi, nitatoa nusu ya uwezo wangu kuwasapoti watakaoanzisha maandamano ya amani na ya kisheria ya kumpinga huyu Chief...

Useless kabisa!!!hamna kitu pale tumepigwa!!
Mwishoni mwa mwaka 2023 ndiyo vita kamili ya kuwapiga wahuni wa sa100 na yeye mwenyewe ...maana tumempa muda ili asije kusema kakwamisha na watu waliompinga tumemwacha acheze yeye mwenyewe hatakavyo ...kwa sasa mambo yanazidi kufa serikali inafirisika awezi kusingizia tena watu wa JPM .
 
Uozo hauwezi ukawa wa mtu mmoja lazima waliomzunguka nao wawe responsible....

 
Naona hangaya amekugusa kunako!

Si ulikuwa lichawa lake humu wewe?

Ulifikiri kwa vile muislamu mwenzio hutafikiwa?

By the way,, si unapumua baada ya kuonewa sana kwa miaka 5 wewe?
 
  • Thanks
Reactions: nao
Mwishoni mwa mwaka 2023 ndiyo vita kamili ya kuwapiga wahuni wa sa100 na yeye mwenyewe ...maana tumempa muda ili asije kusema kakwamisha na watu waliompinga tumemwacha acheze yeye mwenyewe hatakavyo ...kwa sasa mambo yanazidi kufa serikali inafirisika awezi kusingizia tena watu wa JPM .
Kwahiyo ndio sasa mwambuka shuka wakati jua lishachomoza?
 
Mimi CCM damu siwezi kuandamana.... kazi iendelee na hapa nakwenda kufata buku saba yangu na t-shirt la chama nilale
 
Atakayehamasisha maandamano ya kupinga tozo na kumuondoa Samia nitamuunga mkono kwa asilimia 100

Nipo tayar kuunga mkono vuguvugu lolote la maandamano ya kupinga tozo na maandamano ya amani ya kumng'oa Samia madarakani.

Sio tu support ya kuingia barabarani, bali hata support ya kifedha, nipo tayari kutoa hata nusu ya uwezo wangu kusaidia maandamano ya kumng'oa huyu chifu madarakani

Hatuwezi kuongozwa na mtu ambaye Hata kujiongoza mwenyewe hawezi, urais wenyewe haongozi yeye anaongozwa ongozwa tu..

Hana brain ya kuongoza nchi, hana ubunifu, hana mawazo yeye yupo bora liende tu, anafanya hivyo kwa kua anajua hii nchi ya Watanganyika, anajua kabisa mwishoni hata akipambana watakaonufaika ni watanganyika, yeye anajijazia tu CV yake akimaliza muda wake akampumzike zake pale kisiwani

Anachokifanya Samia kwa Tanganyika ni sawa na umchukue rais wa Kenya umlete aje kutawala TZ hapo moyo wa kutumikia tz hatokua nao atafanya mambo yaende tu hivyo hivyo maana mwishoni anajua atarudi zake Nairobi the same to Hangaya, hivi mnadhani Samia angekua rais wa ZANZIBAR angeyafanya haya anayotufanyia watanganyika?Jibu ni hapana...

Huyu kilichobaki ni wananchi tumkatae hadi aondoke uchaguzi uitishwe hatuwezi tukaongozwa na huyu bibi ambaye yeye anaongozwa na kina msoga na mwigulu zile story zake za kutuambia huwa halali ni urongo wa zama!!eti asilale kisa watanganyika[emoji32] sio kweli kabisa

Nipo tayari kushiriki maandamano ya kumng'oa huyu bibi, nitatoa nusu ya uwezo wangu kuwasapoti watakaoanzisha maandamano ya amani na ya kisheria ya kumpinga huyu Chief...

Useless kabisa!!!hamna kitu pale tumepigwa!!

Mkuu wewe unayo majibu kwenye maswali 3 hapa, lakini si viongozi wetu:

IMG_20220823_134516_288.jpg


Kabla ya kuvaana naye ana kwa ana ushauri wangu ni kuvaana na hawa wetu kwanza. Hawa ndiyo sehemu kubwa ya huu uozo tuuonao:

Muda wa mapinduzi vyamani ni sasa

Kwani hata tutafikia huko aliko huyu?

Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir.

Mbona chap chap atajifunza kutusikiliza na mambo yote yatanyooka?
 
Awali ya yote naomba nimshukru mwenyezi Mungu kwa kibali chake kwa kunijalia afya njema.

Moja kwa moja kwenye lengo.
Ni ukweli kabisa usiopingika kwamba kwa Tanzania hatuna Rais wa nchi ,na hii yote inadhihirisha kwa haya yanayoendelea kila uchwao, na hali ya wananchi inazidi kuwa mbaya zaidi kwa kipato cha mtu mmoja mmoja.

Nasema hivyo kwasababu zifuatazo:
1.Kama nchi hii ingekuwa na Rais asingeruhusu mfumuko wa bei wa kila kitu ...na yeye akaenda mbali zaidi mbele ya media anasema vitu vitapanda bila aibu ndo hapo nilipobaina nchi haina rais.
2.Mlundikano wa tozo....hii ndo imekuja kudhihirisha uwezo mdogo wa kuongoza na kushindwa kutengeneza njia rafiki za kukusanya kodi , naamini kama Tanzania ingekuwa na Rais angezumzia hili na angeleta matumaini kwa wananchi wa kawaida.


Niseme tu kwa upeo wangu huu muda wa kulipigania taifa letu, sote kwa pamoja tunahitaji kupaza sauti zetu kudai katiba mpya na hiyo ndo itakuwa mwarobaini wa haya yote yanayoendelea.

#No tozo#
 
Back
Top Bottom