Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,106
- 6,678
Tuunde group la kuhamasisha MAPINDUZ YAANI UHAIN
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimekupata nini ndugu maana ilikua mama mama mama anaupiga mwingi nafuu yeyeAtakayehamasisha maandamano ya kupinga tozo na kumuondoa Samia nitamuunga mkono kwa asilimia 100
Nipo tayar kuunga mkono vuguvugu lolote la maandamano ya kupinga tozo na maandamano ya amani ya kumng'oa Samia madarakani.
Sio tu support ya kuingia barabarani, bali hata support ya kifedha, nipo tayari kutoa hata nusu ya uwezo wangu kusaidia maandamano ya kumng'oa huyu chifu madarakani
Hatuwezi kuongozwa na mtu ambaye Hata kujiongoza mwenyewe hawezi, urais wenyewe haongozi yeye anaongozwa ongozwa tu..
Hana brain ya kuongoza nchi, hana ubunifu, hana mawazo yeye yupo bora liende tu, anafanya hivyo kwa kua anajua hii nchi ya Watanganyika, anajua kabisa mwishoni hata akipambana watakaonufaika ni watanganyika, yeye anajijazia tu CV yake akimaliza muda wake akampumzike zake pale kisiwani
Anachokifanya Samia kwa Tanganyika ni sawa na umchukue rais wa Kenya umlete aje kutawala TZ hapo moyo wa kutumikia tz hatokua nao atafanya mambo yaende tu hivyo hivyo maana mwishoni anajua atarudi zake Nairobi the same to Hangaya, hivi mnadhani Samia angekua rais wa ZANZIBAR angeyafanya haya anayotufanyia watanganyika?Jibu ni hapana...
Huyu kilichobaki ni wananchi tumkatae hadi aondoke uchaguzi uitishwe hatuwezi tukaongozwa na huyu bibi ambaye yeye anaongozwa na kina msoga na mwigulu zile story zake za kutuambia huwa halali ni urongo wa zama!!eti asilale kisa watanganyika[emoji32] sio kweli kabisa
Nipo tayari kushiriki maandamano ya kumng'oa huyu bibi, nitatoa nusu ya uwezo wangu kuwasapoti watakaoanzisha maandamano ya amani na ya kisheria ya kumpinga huyu Chief...
Useless kabisa!!!hamna kitu pale tumepigwa!!
Pamoja na magumu tunayopitia kwa Hangaya lakini ni bora Hangaya kuliko Mwendazake
Pamoja na magumu tunayopitia kwa Hangaya lakini ni bora Hangaya kuliko Mwendazake Hangaya ni afadhali mara milioni kuliko yule dikteta Sitaki kukumbuka mateso ya yule mwendazake Utawala ulonuka damu na machozi na manung'uniko, maiti kila mahali, utekaji na manyanyaso ya kila aina kipindi...www.jamiiforums.com
Si,tumekubaliana bora hangaya kuliko Jiwe?
Tuunde group la kuhamasisha MAPINDUZ YAANI UHAIN
Mwishoni mwa mwaka 2023 ndiyo vita kamili ya kuwapiga wahuni wa sa100 na yeye mwenyewe ...maana tumempa muda ili asije kusema kakwamisha na watu waliompinga tumemwacha acheze yeye mwenyewe hatakavyo ...kwa sasa mambo yanazidi kufa serikali inafirisika awezi kusingizia tena watu wa JPM .Atakayehamasisha maandamano ya kupinga tozo na kumuondoa Samia nitamuunga mkono kwa asilimia 100
Nipo tayar kuunga mkono vuguvugu lolote la maandamano ya kupinga tozo na maandamano ya amani ya kumng'oa Samia madarakani.
Sio tu support ya kuingia barabarani, bali hata support ya kifedha, nipo tayari kutoa hata nusu ya uwezo wangu kusaidia maandamano ya kumng'oa huyu chifu madarakani
Hatuwezi kuongozwa na mtu ambaye Hata kujiongoza mwenyewe hawezi, urais wenyewe haongozi yeye anaongozwa ongozwa tu..
Hana brain ya kuongoza nchi, hana ubunifu, hana mawazo yeye yupo bora liende tu, anafanya hivyo kwa kua anajua hii nchi ya Watanganyika, anajua kabisa mwishoni hata akipambana watakaonufaika ni watanganyika, yeye anajijazia tu CV yake akimaliza muda wake akampumzike zake pale kisiwani
Anachokifanya Samia kwa Tanganyika ni sawa na umchukue rais wa Kenya umlete aje kutawala TZ hapo moyo wa kutumikia tz hatokua nao atafanya mambo yaende tu hivyo hivyo maana mwishoni anajua atarudi zake Nairobi the same to Hangaya, hivi mnadhani Samia angekua rais wa ZANZIBAR angeyafanya haya anayotufanyia watanganyika?Jibu ni hapana...
Huyu kilichobaki ni wananchi tumkatae hadi aondoke uchaguzi uitishwe hatuwezi tukaongozwa na huyu bibi ambaye yeye anaongozwa na kina msoga na mwigulu zile story zake za kutuambia huwa halali ni urongo wa zama!!eti asilale kisa watanganyika[emoji32] sio kweli kabisa
Nipo tayari kushiriki maandamano ya kumng'oa huyu bibi, nitatoa nusu ya uwezo wangu kuwasapoti watakaoanzisha maandamano ya amani na ya kisheria ya kumpinga huyu Chief...
Useless kabisa!!!hamna kitu pale tumepigwa!!
Kwahiyo ndio sasa mwambuka shuka wakati jua lishachomoza?Mwishoni mwa mwaka 2023 ndiyo vita kamili ya kuwapiga wahuni wa sa100 na yeye mwenyewe ...maana tumempa muda ili asije kusema kakwamisha na watu waliompinga tumemwacha acheze yeye mwenyewe hatakavyo ...kwa sasa mambo yanazidi kufa serikali inafirisika awezi kusingizia tena watu wa JPM .
Mimi nasupport aondelewe madarakani aidha na JWTZ au popular revolution yani wananchi.
hamkosi nyieMimi CCM damu siwezi kuandamana.... kazi iendelee na hapa nakwenda kufata buku saba yangu na t-shirt la chama nilale
Waliokwenda JKNIA au Kiluvya wakati wa jiwe walitokea Burundi?Watanzania hawa hawa walio kuwa wanakanyagana kumuona hangaya huko mbeya?
Atakayehamasisha maandamano ya kupinga tozo na kumuondoa Samia nitamuunga mkono kwa asilimia 100
Nipo tayar kuunga mkono vuguvugu lolote la maandamano ya kupinga tozo na maandamano ya amani ya kumng'oa Samia madarakani.
Sio tu support ya kuingia barabarani, bali hata support ya kifedha, nipo tayari kutoa hata nusu ya uwezo wangu kusaidia maandamano ya kumng'oa huyu chifu madarakani
Hatuwezi kuongozwa na mtu ambaye Hata kujiongoza mwenyewe hawezi, urais wenyewe haongozi yeye anaongozwa ongozwa tu..
Hana brain ya kuongoza nchi, hana ubunifu, hana mawazo yeye yupo bora liende tu, anafanya hivyo kwa kua anajua hii nchi ya Watanganyika, anajua kabisa mwishoni hata akipambana watakaonufaika ni watanganyika, yeye anajijazia tu CV yake akimaliza muda wake akampumzike zake pale kisiwani
Anachokifanya Samia kwa Tanganyika ni sawa na umchukue rais wa Kenya umlete aje kutawala TZ hapo moyo wa kutumikia tz hatokua nao atafanya mambo yaende tu hivyo hivyo maana mwishoni anajua atarudi zake Nairobi the same to Hangaya, hivi mnadhani Samia angekua rais wa ZANZIBAR angeyafanya haya anayotufanyia watanganyika?Jibu ni hapana...
Huyu kilichobaki ni wananchi tumkatae hadi aondoke uchaguzi uitishwe hatuwezi tukaongozwa na huyu bibi ambaye yeye anaongozwa na kina msoga na mwigulu zile story zake za kutuambia huwa halali ni urongo wa zama!!eti asilale kisa watanganyika[emoji32] sio kweli kabisa
Nipo tayari kushiriki maandamano ya kumng'oa huyu bibi, nitatoa nusu ya uwezo wangu kuwasapoti watakaoanzisha maandamano ya amani na ya kisheria ya kumpinga huyu Chief...
Useless kabisa!!!hamna kitu pale tumepigwa!!