Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Angalia mkuu kama upo kitengo utaletewa barua ya kuachishwa kazi kama yule mwenzio.
 
Duh! Mimi nadhani tuhamasishe JWTZ wachukue nchi kwanza. Halfu mwakani tufanye uchaguzi mkuu.
Ngoja leo nitamgusia hili captain masalu na Kanal Nyingo nione maoni yao then kuanzia kesho nianze kuhamasisha bodaboda wenzangu na walala hoi wengine
 
CCM ishapotezaga malinda kitambo sana, huyu mama mtamzingizia bure muacheni !! Yaani tumo kwenye gari lililokata senta bolt.
 
Kwa vijana anawapeleka huku 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220826-152058.png
    Screenshot_20220826-152058.png
    101.9 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220821-183722.png
    Screenshot_20220821-183722.png
    40.9 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220821-183835.png
    Screenshot_20220821-183835.png
    125.9 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220821-183916.png
    Screenshot_20220821-183916.png
    137.6 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220821-183935.png
    Screenshot_20220821-183935.png
    176.7 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220825-210656.png
    Screenshot_20220825-210656.png
    142.7 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220821-183935.png
    Screenshot_20220821-183935.png
    176.7 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220821-183408.png
    Screenshot_20220821-183408.png
    132.3 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220820-205259.png
    Screenshot_20220820-205259.png
    47.4 KB · Views: 7
Hivi karibuni Samia amenukuliwa akishangaa eti namna wananchi walivyo jiachia bila kuvaa barakoa ilhali corona ingalipo.

Hivi Samia anatoa wapi mshangao huo ilhali hata Viongozi wenzake hawavai hayo ma barakoa?!

Kwamba hatambui Watanzania wengi wanaona corona ni jambo la kizushi tu na kwalo hawaamini?
 
Hivi karibuni Samia amenukuliwa akishangaa eti namna wananchi walivyo jiachia bila kuvaa barakoa ilhali corona ingalipo.

Hivi Samia anatoa wapi mshangao huo ilhali hata Viongozi wenzake hawavai hayo ma barakoa?!

Kwamba hatambui Watanzania wengi wanaona corona ni jambo la kizushi tu na kwalo hawaamini?
Wasaidize wake wanamdanganya
 
Hivi karibuni Samia amenukuliwa akishangaa eti namna wananchi walivyo jiachia bila kuvaa barakoa ilhali corona ingalipo.

Hivi Samia anatoa wapi mshangao huo ilhali hata Viongozi wenzake hawavai hayo ma barakoa?!

Kwamba hatambui Watanzania wengi wanaona corona ni jambo la kizushi tu na kwalo hawaamini?
Asubuhi asubuhi hii ushaamka na masimango tayari. Umeenda kanisani kwanza?
 
Hivi karibuni Samia amenukuliwa akishangaa eti namna wananchi walivyo jiachia bila kuvaa barakoa ilhali corona ingalipo.

Hivi Samia anatoa wapi mshangao huo ilhali hata Viongozi wenzake hawavai hayo ma barakoa?!

Kwamba hatambui Watanzania wengi wanaona corona ni jambo la kizushi tu na kwalo hawaamini?
Pengine anaujua ukweli zaidi kuhusu COVID-19. Na inawezekana ndio ilichangia yeye kuwa First Female President. Kwa hiyo ana kila sababu ya kuiogopa. Pia nimeona hata familia zilipoteza jamaa kwenye janga Hilo,hawana mizaha na COVID-19.
 
Almost Watanzania wote wameachana na mambo ya kuvaa barakoa isipokuwa Rais Samia na wachache wanaomzunguka, licha ya Samia Kuhimiza mara nyng uvaaji ila wananchi wameshindwa kushawishika

Hii inamaanisha mioyoni mwa wananchi wengi sana bado wapo na Magufuli, waliielewa falsafa ya Magufuli, na ndio maana yule meneja wa TRC alifukuzwa alisema kuwa SSH anatumiwa na mabeberu
 
Ana hofu tu.

Ila dakika chache zilizopita nilikua na kundi la wazungu 15 ambao hawana hata habari na barakoa.

Sisi tunshangaa yeye anavyojitesa na hayo mavitambaa ana shindwa kupata hewa nzuri ya Mungu.

Kazi kweli kweli.
 
Hivi karibuni Samia amenukuliwa akishangaa eti namna wananchi walivyo jiachia bila kuvaa barakoa ilhali corona ingalipo.

Hivi Samia anatoa wapi mshangao huo ilhali hata Viongozi wenzake hawavai hayo ma barakoa?!

Kwamba hatambui Watanzania wengi wanaona corona ni jambo la kizushi tu na kwalo hawaamini?
Wewe ndio mnafiki,yeye kama Rais lazima awe kiongozi wa kuonyesha mfano Kwa maelekezo ya Wizara ya Afya..

Tanzania haijawahi weka amri ya kila mtu kuvaa barakoa Kwa lazima ndio maana wengine wanavaa na wengine hawavai..

So Rais Kawa muungwana kwa kuwataka watu wa Afya waseme kama hilo la barakoa bado linasaidia?
 
Sikuwahi kuwaza yupo hivi, ni Rais asiyesikia anayeongozwa ongozwa tu ambaye haeleweki

Anajuwa kabisa kuwa asilimia 98 ya watanzania hawataki tozo ukiachana na hiyo asilimia 2% ya machawa wake na vikundi vya mapambio vinavyolipwa kutetea tozo

Lakini bado hajali, huyu mama ana kiburi sana, anafahamu fika kuwa hizi tozo zinawaumiza watanganyika sana sana, lakini hajali maana waumiao sio wenziwe.

Ule wembe tulomnyolea mtangulizi wake tutaendelea kumnyoa akiendelea na hii kiburi yake, ni kichaa tu anayeweza kuunga mkono tozo, itampasa Mwanaume kuwa kama "chachi" ndo aunge mkono tozo maana ni jambo ambalo haliungiki mkono

Ndipo nagunduwa ana kiburi sana huyu mama ukimuona nje na muonekano wake wa rohoni ni tofauti kabisa, hana sifa za kuwa kiongozi, huyu bibi hatufai kabisa.

Lakini nakwambieni asifikiri tutamchekea, tutaendelea kumkomalia hadi hii jeuri,ngendembwe, tambo na kiburi chake kimkwishe.
 
Back
Top Bottom