antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
MATAGA bhana..
Kwani jiwe alikuwa anakubaliana na kuendeleza ya mtangulizi wake yoote?
Mfano 1 tu, Bandari ya Bagamoyo vipi?
Kila mmoja anakuwa na MAONO, hawezi kuenenda kwa kufuata tu nyayo kama kasuku.
Mfano, angalia USA. Siku ya kwanza tu rais mpya akiingia ofisini, anabatilisha "presidential decrees" kibao za mtangulizi wake na ku saini "executive orders" na "memorandum" nyiiiingi utafikiri ndo kwanza nchi imepata uhuru siku hiyo!
MATAGA mlizoea kukalia wananchi vichwani, tena kwa uonevu na dharau.
Mkombozi wa kweli kapatikana, muacheni afanye kazi ya UKOMBOZI kuitoa nchi UTUMWANi
Kwani jiwe alikuwa anakubaliana na kuendeleza ya mtangulizi wake yoote?
Mfano 1 tu, Bandari ya Bagamoyo vipi?
Kila mmoja anakuwa na MAONO, hawezi kuenenda kwa kufuata tu nyayo kama kasuku.
Mfano, angalia USA. Siku ya kwanza tu rais mpya akiingia ofisini, anabatilisha "presidential decrees" kibao za mtangulizi wake na ku saini "executive orders" na "memorandum" nyiiiingi utafikiri ndo kwanza nchi imepata uhuru siku hiyo!
MATAGA mlizoea kukalia wananchi vichwani, tena kwa uonevu na dharau.
Mkombozi wa kweli kapatikana, muacheni afanye kazi ya UKOMBOZI kuitoa nchi UTUMWANi