Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Hotuba za mama .simekaa kama tupo kwenye kikao cha sacos
Mwacheni Mheshiwa Rais Samia Suluhu afanye kazi upende usipende ndo Raisi wetu watanzania na Mungu anamtambua wewe ni nani hata useme hayo
 
You are very shallow in analysis of issues. and putting each scenario into its right perspective. Wewe kama inawezekna kujiuzulu, mbona hapa una ID fake. Ungeliweka identity yako ukamkosoa Jiwe bila kujali watu wasiojulikana. Kwa Udikiteita wa Jiwe nani angediliki kusema ukweli wake? Kila mmoja na wewe inclusive, ulitenda usichokiamini kutetea kazi yako na maisha yako. Basi na hao mawaziri/VP walitenda hivyo kwa maslahi ya kazi zao na maisha yao! Nani Africa alijiuzulu kupingana na Boss/kiongozi wake?
 
Hakuna Rais hapo,Rais anataka watu wakachimbe madini kwenye hifadhi?,ajui kama madini yatachimbwa yataisha ila hifadhi ni renewable wanyama watakaa hadi mwisho wa ulinwengu.
 
Kwani mwendazake alikuwa anahitaji ushauri toka kwa mtu?kila kitu alikuwa anapuyanga mwenyewe tu anavyotaka, kama waziri mkuu tu alijibiwa vile kwenye sakata la korosho!kwa yaliyotokea awamu ya tano kuwalaumu wasaidizi wake tutakuwa hatuwatendei haki labda kwa wale waliokuwa na vibuli na matendo ya kinyama lakini kwa hayo mengine ya kiuwajibikaji tu hapana, kwani na ukizingatia viongozi wetu ni njaa ndio zinawafanya hivyo.kwani yeye ndio alikuwa mihimili yote mitatu!!ila kwa mama samia alionekana kabisa kuwa ni mengi hakuwa anakubaliana naye.Fuatilia yule jamaa wa tigo aliyekataa uteuzi wake wa kuwa DC, nadhani wilaya moja huko tabora kilichomkuta.
 
Ni swala la muda tu. Hapa hatuna Rais
yaani lais anaongelea suala la unga kama anaongelea unga wa sembe.

tuwalinde watoto wetu na msimu mpya wa heroine maana naamini sasa hivi mzigo uko njiani au unapakiwa.
 
Hakuna Rais hapo,Rais anataka watu wakachimbe madini kwenye hifadhi?,ajui kama madini yatachimbwa yataisha ila hifadhi ni renewable wanyama watakaa hadi mwisho wa ulinwengu.
Ila rais ni huyo aliyeruhusu ujenzi wa bwawa la umeme huko kwenye mbuga ya wanyama??hahaaaa
 
Samia yuko very real, je ni mara ngapi alitaka kujiuzulu?
How old are you? Nashangaa baada ya muda huu wote JF bado unachota mambo ya kijiweni.
Hakika hapa hatuna rais. Mtu anayeita wageni kuajiliwa, mtu anayetaka kodi ilipwe kwa kubembeleza,
 
Mbona kila mtu ni mjuaji jf? Maneno kibao while mama hajafikisha hata mwaka. Hivi nyie mnaoshinda jf na wengine hata hamna uzoefu wa kuongoza nyumba kumi mnapata wapi ujasiri wa kuona mama anatupoteza?
Mnataka mumpangie nini afanye na nini asifanye...duuh This is too much sasa
 
Mkuu watu ni wajinga sana..hawajui wananchi wanahitaji nini na mama nae kafuata huo huo mkumbo..sio kwa zile hotuba zake yaan hata kuziskiliza ni kero..anataka turudi enzi za kina jk.kuchekeana chekeana.. hatutaki uswahili kwenye masuala ya kulipa kodi kwenye masuala ya rasilimali za nchi..
Time will tell..JPM will never be forgoten.
wasukuma aka magoviNDA mfateni govinda hugo malaloni . Mama anawapa furaha watanzania
 
Tukisema huyu Mama hajielewi wala haelewi hii nchi inataka nini kwa sasa,kuna watu wanakuja na hadithi za Sukuma Gang Mara MATAGA!!
Usishangae kuna wakati tunaongozwa na vyeti feki.
Sasa rais anaalika wageni waje na waajiliwa wao wakati yeye akitokea Z'bar ambako hata mtu wa bara hawezi kuajiliwa.
 
MATAGA wamenunuliwa simu na Doto na Bashiru ili wamchafue mh.Rais.

Kazi ipo!
Mataga kazi wanayo,wacha Mama awaonyeshe kazi.

Mama wanyooshe,peleka nchi ujiavyo tunakuamini.
Mataga wanaruka na kukanyagana.
 
Yeye mbona hakuachia ngazi kipindi JK na Pinda wanamzuia kubomoa nyumba za watu hovyo akasubiri mpaka alipopata madaraka makubwa zaidi akabomoa bila kujali hata order ya mahakama?
Kumpinga sio lazima uende ITV. VP alikuwa na uwezo wa kumuona wakati wowote. Kama mambo yalishindikana angeachia ngazi tungemheshimu kwa msimamo wake.
 
Hakika hatupaswi kusahau hilo pia.
Tunashukuru kuwa tumetoka kwenye zama za kutishiwatishiwa na kukaripiwa kama watoto wadogo, na sasa tuko na huyu mama ambaye lugha yake ni laini. Hicho ndicho kitu pekee tulichokipata kufuatia mabadailiko haya ya uongozi. Nothing more, nothing less.

As a nation we are the same headless chickens now, just like we used to be under Magufuli. Clueless!
 
Back
Top Bottom