Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Kubalini tu Samia ndo Rais wa JMT hadi 2030. Poleni sna sukuma gangHahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, kicheko cha jamaa fulani akiona hii comment yako.
Hafu nimekosea, nimecheka kisukuma sukuma badala ya ki...
Ila wewe nadhani huwezi na sidhani kama una akili huru.Uko sahihi, lakini hakuna mtu yoyote mwenye akili atashindwa kuwa rais wa nchi hii.
Kuna picha hapo naomba ipeleke kule jukwaa la special.. waremboPeace,
Awali niweke wazi sina chama, sio mwanasiasa ni raia ninaeipenda nchi yangu.
Back to my point. Bibi hana sifa za kua rais.
1. Ni mtu asiejiamini hata punje " mimi ndie rais" I mean WTF tangu lini kiongozi ajisifie kua kiongozi.
2. Hana utashi wa uongozi. Niambie kiongozi gani kila kitu anawaambia wasaidizi wake ati "hili nalo mkalitizameni" Yeye maono yake ni yapi katika muktadha wa kiongozi mwenye dira ?!
3. Kapatikana kwa kubebwa na sio utendaji kazi wake. Kama wanawake wengine wanavyopata nafasi kwa upendeleo, haina utofauti na mtu ambaye alikua tu secretary kwenye asasi ya kiraia akashawishiwa kujiunga na siasa na kupata ubunge, uwaziri wa kupewa kisha kuzawadiwa umakamu wa raisi kisha booom !! Rais kafa yeye akawa rais.
4. Udini, bibi udini upo mpaka kwenye mifupa mpaka Ngorongoro kawagawia ndugu zake wa Oman na kuwapiga risasi wazawa waMasai kuwafurusha kama wakimbizi.
5. Hana dira yoyote. Muulizeni tunaelekea wapi atajibu "hebu kalitizameni"
View attachment 2422603
6. Hisia nyingi. Kiongozi unawezaje kuwaambia wasaidizi wako "kuleni msivimbiwe" au "mimi sikuumbwa kufoka" ! Kwahyo kama haukuumbwa kufoka unafanya nini kwenye nafasi ya kiongozi katika taifa la mawaziri walafi na mafisadi ?! Kwahiyo waendelee kujineemesha na wewe hautafoka uko kimya ?!
Samia ni masters holder na ana uwezo wa akili na kupambanua mambo ikiwemo kujieleza vizuri kwa lugha ya malkia kuliko muhuni mmoja anaitwa jiwe ambaye hakuwa anajuwa hata kujieleza kiufasaha kwa lugha ya kiingereza pamoja na kuwa na phdNaskia kwa elimu na taaluma ana certificate ya ukarani
Mwashambwa ?Kuna chawa mmoja sijui bado yupo kilabuni, akitoka huko atakuporomoshea matusi mazito.
Kwani kuna sehemu nimekataaa? Au una upopoma wa kujua kusoma na kushindwa kuelewa ulichosoma?Kubalini tu Samia ndo Rais wa JMT hadi 2030. Poleni sna sukuma gang
Kama hujakataa basi kubali Samia ndo Rais na uwezo anao ndo mana yupo paleKwani kuna sehemu nimekataaa? Au una upopoma wa kujua kusoma na kushindwa kuelewa ulichosoma?
Yaani wewe jamaa nahisi ni mwenyekiti wa mapopoma na mazuzu Tanzania.Kama hujakataa basi kubali Samia ndo Rais na uwezo anao ndo mana yupo pale
Mpaka unaamua kutukana ni dhahiri Huna hoja. KalaleYaani wewe jamaa nahisi ni mwenyekiti wa mapopoma na mazuzu Tanzania.
Ipi mkuuKuna picha hapo naomba ipeleke kule jukwaa la special.. warembo
,🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kuna mtu analuka kwenye majiniIpi mkuu
Alaa, kuna sehemu nimekutukana? Nimekwambia ukweli wa ulivyo. Umenilazimisha niseme Rais Samia atatawala hadi 2030 ili hali sijaandika kupinga suala hilo, rudia post ya kwanza(uliyoninukuu) hadi hii uone kama nilisema Rais Samia hatafika 2030 akiwa Rais. Kama nimeandika hatakuwa Rais hadi 2030, basi utakuwa jiniazi la Tz nzima, kama sikuandika basi jua ya kuwa wewe ni mwenyekiti wa machawa Tanzania.Mpaka unaamua kutukana ni dhahiri Huna hoja. Kalale
Inabidi huko mwanza lifunguliwe tawi la mirembe inaonekana machizi mpo wengi sanaMimi nimependa Ile swimming pool,vipi Ile picha ilipigwa Mchambawima au Kijito upele?🤣🤣🤣
Alafu uku Mwanza vituo vingi vya Polisi kawaleta Wazanzibar wenzake ndiyo wakuu wa vituo,kwa mfano Kituao cha Polisi Morongo na JWTZ pia.Bibi hajiamini kabisa yaani.
Ila JW wanatuangusha sana basi labda tusubiri Masii aingilie Kati, vinginevyo twafwa!!
Ujio wake Samia umeleta kipi kipya.?Watano waliomtangulia walikuwa na dira gani? Maana miaka 60 ya uhuru nchi bado iko hovyo.
Tafuta tiba tu ndugu. Msongo wa mawazo au depression ni ugonjwa mbaya sanaAlaa, kuna sehemu nimekutukana? Nimekwambia ukweli wa ulivyo. Umenilazimisha niseme Rais Samia atatawala hadi 2030 ili hali sijaandika kupinga suala hilo, rudia post ya kwanza(uliyoninukuu) hadi hii uone kama nilisema Rais Samia hatafika 2030 akiwa Rais. Kama nimeandika hatakuwa Rais hadi 2030, basi utakuwa jiniazi la Tz nzima, kama sikuandika basi jua ya kuwa wewe ni mwenyekiti wa machawa Tanzania.