Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Sasa kama kafa mbona umeanza kumuongelea apa?Magufuli is dead, dead for good
Like it or not, Samia ndiye rais na ni bora 100 times kuliko magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama kafa mbona umeanza kumuongelea apa?Magufuli is dead, dead for good
Like it or not, Samia ndiye rais na ni bora 100 times kuliko magufuli
Coming from an average mind, kama kweli Sa100 ni bora kuliko Magu kiutendaji hili ni taifa la wasio na akili.Magufuli is dead, dead for good
Like it or not, Samia ndiye rais na ni bora 100 times kuliko magufuli
Sawa mpiga diliMagufuli is dead, dead for good
Like it or not, Samia ndiye rais na ni bora 100 times kuliko magufuli
Sasa Hayati Rais Magufuli ameingiaje hapa? Mbona bado unahangaika naye tu karibu miaka miwili hayupo lakini bado unaweweseka tu. Vipi alikuacha na mimba yake nini!! tupo sisi tunaweza kukusaidia kulea mimba hiyo. Pole sana.Magufuli is dead, dead for good
Like it or not, Samia ndiye rais na ni bora 100 times kuliko magufuli
Samia anauwezo Mara 100 ya Magufuli taahira mmoja alisikika akiongea na bakuri la asali!Sawa mpiga dili
Ni mtu asiejiamini hata punje " mimi ndie rais" I mean
Yaani akiachia ngazi 2025 atakua kalitendea taifa jambo jema sana. kiitikadi sio mjamaa wala sio mwanamapinduzi. Hastahili kuongoza chama cha mapinduzi.Peace,
Awali niweke wazi sina chama, sio mwanasiasa ni raia ninaeipenda nchi yangu.
Back to my point. Bibi hana sifa za kua rais.
1. Ni mtu asiejiamini hata punje " mimi ndie rais" I mean WTF tangu lini kiongozi ajisifie kua kiongozi.
2. Hana utashi wa uongozi. Niambie kiongozi gani kila kitu anawaambia wasaidizi wake ati "hili nalo mkalitizameni" Yeye maono yake ni yapi ku muktadha wa kiongozi mwenye dira ?!
3. Kapatikana kwa kubwebwa na sio utendaji kazi wake. Kama wanawake wengine wanavyopata nafasi kwa upendeleo, haina utofauti na mtu ambaye alikua tu secretary kwenye asasi ya kiraia akashawishiwa kujiunga na siasa na kupata ubunge, uwaziri wa kupewa kisha kuzawadiwa umakamu wa raisi kisha booom !! Rais kafa yeye akawa rais.
4. Udini, bibi udini upo mpaka kwenye mifupa mpaka Ngorongoro kawagawia ndugu zake wa Oman na kuwapiga risasi wazawa waMasai kuwafurusha kama wakimbizi.
5. Hana dira yoyote. Muulizeni tunaelekea wapi atajibu "hebu kalitizameni"
6. Hisia nyingi. Kiongozi unawezaje kuwaambia wasaidizi wako "kuleni msiviwbiwe" au "mimi sikuumbwa kufoka" ! Kwahyo kama haukuumbwa kufoka unafanya nini kwenye nafasi ya kiongozi katika taifa la mawaziri walafi na mafisadi ?! Kwahiyo waendelee kujineemesha na wewe hautafoka uko kimya ?!
Kuleni lakini msivimbiwe 😂kuleni msiviwbiwe
Alimtia mimba?Vipi alikuacha na mimba yake nini!! tupo sisi tunaweza kukusaidia kulea mimba hiyo. Pole sana.