Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndio ukweli, wengi wanajificha kwenye mambo ambayo hayapo, lkn nyuma yake wanamchukia kisa MWANAMKE, MZANZIBAR na DINI yake.Hayo ya dini yamekujaje tena?
Tunaomkubali tutakuonesha wakati wa uchaguzi!!saa mbili asubuhi tunatangaza ushindi wa kishindo,na akitoka tunamweka MwiguluKama kuna watu 1000 hapa Tz ambao sio wanasiasa wala watumishi wa umma wala wafanyabiashara wanaomkubali rais samia basi nipo tayari kutoa gari yangu
Wanaomkubali Samia kwasasa kati ya watu milioni 60 huku Bara basi hata 1000 hawafiki
Nimetafuta raia wa kawaida anayemuunga mkono huyu bibi hayupo hata 1000 hawafiki nchi nzima
Hakubaliki, hapendwi wala hakuna mwenye hamu ya kumsikia huo ndio ukweli, mtaani ni ngumu sana kumkuta mtu anamkumbali rais Samia ukiachana na watumishi wachache wa umma na wanasiasa, na wafanyabiashara baadhi.
Huo ndio ukweli, mwambieni Rais ukweli kuwa hakubaliki kabisa kwa upande wa Tanzania bara.
Hicho ndoo unachokijuaAmeagiza watu wake wakayatazame. Hilo limenigusa kabisa, maana wanayatazama indeed. Hakuna wanachofanya, ni kuyatazama tuu.
Hili nililosema nalo wakalitazame.
Mkuu kuna panya road.MBOLEA YA RUZUKUUU, SOKO LA MAZAO KUFUNGUKAAA, AMANI NA UTULIVUU KUONGEZEKAA
Dini yake imefanya nini hadi wamchukie na ndio unataka kusema waislamu wote wanampenda Samia?Huo ndio ukweli, wengi wanajificha kwenye mambo ambayo hayapo, lkn nyuma yake wanamchukia kisa MWANAMKE, MZANZIBAR na DINI yake.
Kwnye maendeleo ya watu MAMA SAMIA AMEMUACHA MBALI MNO MAGUFULI.
Mimi namkubali sana MAGUFULI ila kwenye maendeleo ya watu ameachwa mbali na SAMIA.
Viongozi wote wanaofanya hivyo hawafai.Hiyo point no 5 nakumbuka Chato ilivyokuwa ikibebwa kiupendeleo mazuzu ya Jiwe yalikuwa yakikimbilia kujibu 'kwani Chato siyo Tanzania, basi halikadhalika hata Zanzibar ni Tanzania pia'.
Zamu yao wala urojo, kutesa kwa zamu.
Hakuna.Mnaweza kunambia ni kipi cha maana alichokifanya rais Samia hadi sasa ambacho kimegusa raia wa kawaida au kumsaidia??
Nambieni ni kipi kakifanya ambacho kinaweza kuwa sababu ya yeye kusema amefanya kazi ya kusaidia wananchi wake
Nataka kimoja tu ambacho kakifanya ambacho tunaweza kusema kimemgusa mtu wa chini tokea awe Rais
Kwa hiyo Samia anaweza kukaa Madarakani mpk 2035!?Hahaha!...mbona huelewi ndugu, NAULIZA HIVII KATIKA MAZINGIRA YOYOTE YALE HAKUNA MTU DUNIANI ANAYEPEWA MAMLAKA NA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA RAIS BILA KUAPISHWA/KIAPO...AU wewe uliona wapi hii??...toa mfano hapa.
Na hakuna mahali nimesema rais samia sio RAIS KAMILI, Bali naungana nawewe kabisa hapo kusema ni rais kamili na ana mamlaka yote ya kiutendaji kama amiri jeshi na maamuzi yote ndani na nje ya nchi kwa niaba yetu watanzania(Maana ata akienda kukopa mikopo hakopi kwa jiani lake bali jina la TZ)
Mbona katiba ilishaweka wazi hili ndugu...
"Kwa mujibu wa kifungu cha 37 (5) cha Katiba ya nchi hiyo iliyotungwa mwaka 1977, nafasi ya urais inapokuwa wazi kwa sababu yoyote ikiwemo kifo, viongozi watatu wameorodheshwa na ni Makamu wa Rais, na endapo hatakuwepo atachukua Spika wa Bunge na kama hayupo atachukua Jaji Mkuu"
Hivyo "endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi au kutomudu kazi zake kutokana na maradhi ya mwili au kushindwa kutekeleza kazi na shughuli za Rais, basi Makamu wa Rais ataapishwa na atakuwa Rais kwa muda uliobaki katika kipindi cha miaka mitano..." inaeleza katiba ya Tanzania katika kifungu cha 37 (5).
KWA MUJIBU WA MANENO HAYO HAPO MWISHONI(atakuwa Rais kwa MUDA ULIOBAKI katika kipindi cha miaka mitano..). HIVYO YEYE ATAMLIZIA TU KIPINDI KILICHOBAKIA KATIKA HIYO MIAKA MITANO ILIYOSALIA YA AWAMU HUSIKA NA NDIO MAANA NIKASEMA BADO TUPO AWAMU YA TANO...HAISTAHILI KUWA AWAMU YA SITA. Na ndio maana hana/hakuna ilani/Dira ya awamu ya sita Kama mpango wa utekelezaji miradi na Vipaumbele vya Maendeleo kwa awamu yake mpya ya.6.
Na ukiulizwa hapa Vipaumbele vya maendeleo katika awamu ya sita ni vipi utasemaje?...na vimeainishwa wapi??...kama unavyo viweke hapa tafadhali.
Wewe huzioni kero zinazoikumba hii Nchi?Kero gani