kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Juzi dakika kidogo wote walifyata!Umeongea suala la muhimu sana bila viboko hawaendi hawa.
Sawa, yataenda kwa viboko, ila hayo MAPUNDA yakifika mtoni kunywa maji hayalazimishwi..!! Ni nature (kiu) pekee ndo itawafanya wanywe maji. Tena hata bila viboko, kiu ikiwashika tu watakunywa maji. Hivyo mama anatakiwa ayafanye yatakayowapa kiu hayo MAPUNDA, ataona YENYEWE yanaongoza mto ulipo..!!Huku Dp world,huku umeme unakatika,huku bandari imeuzwa,huku ngororo wamasai huko katiba mara mafuta mara jamhuri ya twitter huko mara, tutaipindua nchi na meza yake.
Mama watoto ni hatari dawa yao mwendo kama ule wa marehemu baba walshazoea kuzungumzia vyumbani na kuchezea varandani
Hayo ni mapunda bila viboko hayaendi.
Safarini Gibraltar.
Baada ya kazi ngumu na mijeledi tu kama sultan sayyid!Sawa, yataenda kwa viboko, ila hayo MAPUNDA yakifika mtoni kunywa maji hayalazimishwi..!! Ni nature (kiu) pekee ndo itawafanya wanywe maji. Tena hata bila viboko, kiu ikiwashika tu watakunywa maji. Hivyo mama anatakiwa ayafanye yatakayowapa kiu hayo MAPUNDA, ataona YENYEWE yanaongoza mto
Ujumbe umewafikia punda wa kihongwe!Sawa punda. Ndugu zako CHAWA wamekusikia.
Hujaelewa. Mapunda yatafika mtoni, lakini kunywa maji nakuhakikisha hayatakunywa.Baada ya kazi ngumu na mijeledi tu kama sultan sayyid!
Huku Dp world,huku umeme unakatika,huku bandari imeuzwa,huku ngororo wamasai huko katiba mara mafuta mara jamhuri ya twitter huko mara, tutaipindua nchi na meza yake.
Mama watoto ni hatari dawa yao mwendo kama ule wa marehemu baba walshazoea kuzungumzia vyumbani na kuchezea varandani
Hayo ni mapunda bila viboko hayaendi.
Safarini Gibraltar.
Itafamika tu!Maza kadata.
Hiyo amani ni kichaka tu cha wachache waendelea kuneemeka na hii nchi na wengien wish kama wapo moto hatutakubali bora tumwage mbogaWakuu tumepigwa.
Tuendelee kuomba amani tu. Ila mtahadithia.
Tutamkumbuka Sana JPM.
Mzilankende Anakumbukwa Siyo Kwa Mabaya Ila Mazuri Ndugu ZanguWakuu tumepigwa.
Tuendelee kuomba amani tu. Ila mtahadithia.
Tutamkumbuka Sana JPM.
Siku Ile ya Tarehe 17/3 , nipo Lodge Mara TV linatangaza habari ,Samia anamtangaza Kifo Cha JPM.
Kwanza shoo ikaishia palepale, nikaanza kububujikwa na machozi.
Kilichoniliza , sio Kifomcha JPM pekee, Niliwaza, nikaanza kumbuka Maujinga ya wakati wa JK MASIKIN alivyokua choka mbaya kabwera, Tajir akawa Tajiri wa kutupwa,, ukimsifia Papa nani huko anakumwagua Hela , Nchi ikachakaa kwelikweli, Rushwa, ufisadi ulokithiri ,Nchi ikafubaaaa.
Kwa ujanja wa Jakaya, akawa anaajiri Kila mwaka, akaacha watu waongee wanavyotaka , wajinga wakafurahia mambo mepesi, ila nchin ikazidi kuliwaaa.
Oyaaaaa, nikasema Moyoni mwangu, Hivi ndiko Sasa tunarudi tulipokua??.
JPM kafa, watanzania na mabeberu yakaanza kufungua kesi mahakamani, Yanarudishiwa Pesa yalotuibiaa .
JPM Kafa, Wamasai wanahamishwa.
JPM kafa, Wafanyabiashara wanajiamlia bei.
JPM kafa, Nchi Haina bei elekezi.
JPM Kafa, Rushwa ufisadi ndo usiseme.
JPM kafa, Tunaambiwa JNHEPP Ina nyufa.
JPM kafa, Bandari zote kapewa Mwarabu .
Kuna wakati kama mwanadam ,unaweza jikuta unavuka ukomo wa Uvumilivu na kuanza kumhoji Mungu, kwanini ulimchukua JPM???.
Binafsi katika Moja ya Maombi nayoomba Kila siku ni huyu kiumbe Mmoja kuaga Dunia....
JK.
Huwa niliona hizi picha machizi na huzuni vinautawala moyo wangu