Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Hizo ni porojo za vijiweni. JPM hakuwa mtu wa kubembeleza mtu mwingine. Hata uchaguzi wa term ya pili ilikuwa fursa nzuri ya Samia kujiengua, kama angetaka!
Kitu ambacho hufahamu JPM alipenda kuonekana perfect and invulnerable so angeruhusu Samia ajiuzulu au amkate second round ingeonyesha kuna tatizo kati yao na vitu hivo hakutaka.

Ndio maana akiugusa anakanusha, kifo walikanusha, Corona kuwepo TZ walipinga, biashara kufungwa walipinga, CCM wakashinda majimbo yote hayo yote kuonekana perfect ili tu apate Authority na Credibility ya kuogopwa na kutawala.

That was JPM otherwise Rais asingejaribu kukosoa legacy za mzee. Hyo audacity angetoa wapi?
 
Mama Samia sasa cha kufanya rejesha mchakato wa katiba mpya ili hawa mataga wakikususa uiache nchi salama hawana nia njema na wewe, hali ya kuwa wewe una nia njema na Taifa, lete Tume huru ya uchaguzi halafu hiyo miaka yako minne itaonekana ya maana kuliko ya mwenda zake.
 
Mama ameanza vizuri sana kwa Taifa lake, anazo sifa kede wa kede kuliweka Taifa letu pamoja; anaijua nchi yake vizuri wala sina mashaka naye, muacheni atawale kwa Amani .

Sent from my Redmi Note 3 using JamiiForums mobile app
 
Mama uaiwasikilize hao mbwa,who is Jiwe kwamba awe reference ya nchi hii,uliwahi.kuona nani anajiuzulu nchi hii?

Safi Sana komaa na msimamo wako achana na kiwingu na kivuli cha pombe
 
Sasaiv Kuna watumish wa umma hawatupokelei cm ili kutatua kero zetu maisha yamesha Anza kwenda kasi kama Rais na yeye Ataamin kipaombele cha watanzania ni kuongeza mishahara na kuajir walim huu ni ujinga wa kiwango cha lami nchi zote dunian miundombinu ndio hutaji la kila mtu
 
Mnateseka mkiwa wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nawasalimu kwa jina la muungano nanyi mtaitika kazi iendelee🥱🥱shenzi zenu kabisa muache SASHA Achape kazi.
 
Mama hawezi kamilisha hio miradi, kaanza na gia mbaya ya kufurahisha watu badala ya kuonyesha ni mtu wa kufanya maamuzi magumu. Kama hiyo miradi itakamilika itakamilika michache na kwa kusuasua sana na ni ile mbayo wafadhili wanaisapoti, mambo ya stiglers gorge ambayo yalipingwa sana na wahisani atasua sua sana kuimaliza. Sababu ya kusuasua kuimaliza ni kukosa hela ya kuifanya hiyo miradi, pesa nyingi inaenda kutoka sababu wajanja wengi wanarudi kwa mgongo wa rais kakaribisha wawekezaji, pia kudai pesa iwekwe mifukomi kwa watu, ili ufike mahali fulani ni lazima ujibane bane. Ndio hatua ambayo tulikua nayo kwa JPM, ilikua hatua ya mpito.
Yaani hata mwezi haujapita keshaanza kupigiwa simu na wawekezaji ikulu. Picha mbaya wanaenda muweka kiganjani mwao.
Namuhurumia sana Mama, Hotuba yake ya Mwisho inaonekana ni Jinsi gani Genge la "Wezi wa Nchi Hii" linamtamani na Limeshaanza kumuingia. Mama Ajiangalie Kuna Baadhi ya Mambo kwenye nchi hii sio ya Kuhitaji Majadiliano na Mtu, yanahitaji mkono wa Chuma kwa manufaa ya Vizazi Vijavyo.
 
Tumuombeeni ataweza tu, Kwa Mungu kila kitu kinawezekana
Honestily nimesikiliza hotuba zote za Mhe.Rais SSH, na hatua alizochukua , ninaweza kusema bila shaka tuko kwenye njia sahihi kama Nchi! Inawezekeana tu kila mmoja wetu akitimiza wajibu wake!
 
Maza kawaminya kende kwa kucha ndefu ya dole gumba halaf anazivuta kama hataki vile[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mama Napwaya Sana.
Yaani Mama as if alikuwa sio sehemu ya Baraza la mawaziri.

Wacha tuone hii cheap popularity inako mpeleka.

Huyu ataishia kuwa omba omba huko ng'ambo.
 
Wafuasi wa Jiwe hamuamini macho yenu. Jiwe halinyanyuki tena . Muosha huoshwa . Wakati Jiwe linasema nchi inaibiwa kupitia mikataba mibovu. Kwani hakuemo kwenye baraza la Mkapa (rip) na baraza la Kikwete ?!. So kilichosababisha Maghufuli kukaa kimya kwa waliomtangulia ndicho kilichosababisha Rais Samia kukaa kimya kwa Maghufuli.

Odhis *
Samia ana tatizo kubwa. niulize nikwambie tatizo lake
 
Wasukuma na team dikteta na wasiojulikana mtaumia sana huyu mama siyo mtu wa kuwashia kwenye gia.
 
Back
Top Bottom