Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

1000030845.jpg
 
Mama alianza vizuri lakini anapoelekea ameingia uwoga unaomfanya awe dictator! Waingereza wanasema uoga hauleti ushauri mzuri! Anasema lile, anatenda tofauti kabisa! 4R hazimwongozi kabisa. Alichowatendea Chadema hakina tofauti na Magufuli aliyekataza mikutano. Nilikuwa namuona kama mtu atakeyebaki katika historia Tanzania kama mtu wa pekee lakini kwa sasa hata kura yangu sintompa!
 
Ttz Kwa CCM hawana shida na kura Yako mkuu maana wenzio walishakwambia hata Kwa goli la kisigino watashinda asubuhi tuu

Safari n ndefu sanaa
 
Back
Top Bottom