Nasisitiza, unauliza vumbi darini?Nauliza,wewe umewahi kukuona Rais anakula maisha ?
Jibu swaliNasisitiza, unauliza vumbi darini?
Una marking scheme hapo?Jibu swali
Nini hujaelewa topic? His ni ya wasomi. Nimeweka hivyo ili ngombaro wasielewe!Bado hujasema
Achana na Kinega hichoNini hujaelewa topic? His ni ya wasomi. Nimeweka hivyo ili ngombaro wasielewe!
Sema wewe.Bado hujasema
TUTAMBANA NJE NDANI! WAKATI HUU HATUTAKUBALI!Ttz Kwa CCM hawana shida na kura Yako mkuu maana wenzio walishakwambia hata Kwa goli la kisigino watashinda asubuhi tuu
Safari n ndefu sanaa
Tunataka CCM isifikiri wakati huu ni Business as usual Tutapambana hata physically!Chadema punguzeni uzi bhn.
Upo sahihi kabisa! Tunywe supu ya mbwa kabla haijapoa!Wakati ni sasa
Nasema! Mama anaupiga mwingi,Mama ameleta utulivu!!Bado hujasema
Strike the iron while hot!Upo sahihi kabisa! Tunywe supu ya mbwa kabla haijapoa!