Acha kulisha watu Matangopori kenge wewe kwa mahaba yako binafsi na jiweBisha kwa hoja! Ni uamuzi gani mgumu hawa wengine wamewahi kufanya?
Hata 2015 NEC meeting kwa ajili ya nomination ya CCM presidential candidate tu JKM ilimshinda mpaka BWM akalazimika kuokoa jahazi!
Wasukuma watu wanaofanya kz kwa kutotegemea ajira wala teuzi serikalini kukaa unawataja kwenye ujingaujinga wa kibaguzi ni kupoteza muda wakoWasukuma roho zinawauma
ID ya ole sabaya au rc chalamila hii.Mungu wenu kafa,mtajijuMama itamdhinda hii nchi, wanaijua vizuri wanamshangaa tu, kazi aliyoifanya Magu haina ya kiufananisha na raisi awaye yote aliyepita. Mama analijua hilo, ila unafiki wake wa kujipendekeza kutaka kupendwa na kila MTU itamgharimu tu.
Muda utaongea, mama anachemka sana
Ndo acheni kumsakama madam President, zama zenu zishapita,mshukuru mmepata mbuga ya wanyama uko kwenuWasukuma watu wanaofanya kz kwa kutotegemea ajira wala teuzi serikalini kukaa unawataja kwenye ujingaujinga wa kibaguzi ni kupoteza muda wako
Tukisema huyu Mama hajielewi wala haelewi hii nchi inataka nini kwa sasa,kuna watu wanakuja na hadithi za Sukuma Gang Mara MATAG
Mimi ni Mtanzania sio Msukuma acha kutuletea ukabilaNdo acheni kumsakama madam President, zama zenu zishapita,mshukuru mmepata mbuga ya wanyama uko kwenu
naona unalalamikia vitu vya ajabu ww. kuna protocol za kiusalama.Yaani wakilega lega kidogo tu kina ridhiwani watatake over. inasikitisha vp na pm walivyotudangaya wakati uleraisi anaumwa na amezidiwa...sasa imani yetu kwao ishapungu na tunaamini pia hawajatuambia ukweli kuhusu kifo chake. kwanini wasimtaje aliyemchoma sindano na aliyeagiza achomwe? huu ni unafiki gani jamani. yaani tusipoangalia nchi itauzwa na wananchi wake. tusifanye mzaha...DR JPM ALITUTOA KUBAYA...TUSIRUDI HUKO KAMWE. Mungu atusaidie sana
huwezi kukwepa kulipa kodi maana iko kisheria kabisa. ukikwepa sheria ziko wazi nn kifanyike.Najua fursa za kukwepa kodi na kupiga dili ndiyo aina ya ustaarabu mnayopigania!
Sukuma gang au ?Kwani rais gani wa nchi hakuwa hakuwa ombaomba?
cheap popularity? Mtu asifanye kazi kisa aogope maneno, henu tumia akili
waliopanguliwa hawakuwa good enough, amefanya immediate fix kwa kuwapangua ili apate quick results ila akipata muda atawaondoa wemgi sana.....
mridhike na uwanja wa ndege, hospital, ajira nyeti kwa ukanda na daraja vinatosha sana.
Waislamu... mtume amesemaje juu ya swala la uongozi.Baadhi ya kauli ambazo tumezisikia kutoka kwa Mama Samia na viongozi wengine fulani waliohudumu chini ya JPM zinaonesha kwamba hao viongozi walikuwa wanahubiri na kusimamia wasichokiamini. Kitendo hicho cha kuhubiri na kusimamia wasichokiamini kilikuwa unafiki na utovu mkubwa wa nidhamu kwa wapigakura wa nchi hii....
Mbona JPM hakujitenga na BM au JK , badala yake alipokuwa Rais ndo akaanza kutenda tofauti na kuwananga watangulizi wake?Hizo ni porojo za vijiweni. JPM hakuwa mtu wa kubembeleza mtu mwingine. Hata uchaguzi wa term ya pili ilikuwa fursa nzuri ya Samia kujiengua, kama angetaka!
Yeah that's trueUmekosa Elimu bora mchimbachumvi tuu fulani harafu dharau kibao upo kwenye kipasso hapo kila mtu unamuona pimbi...