Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Huo ni ukweli ulio bayana.

Ukiangalia na kusikia ya hapa na pale ndani ya muda ambao Rais Samia amechukua madaraka hakika magomvi, dharau na kutuhumiana waziwazi kwenye kada mbalimbali kumetamalaki.

Mfano ni katika Idara mbalimbali za Serikali Viongozi wengi kwa muda mfupi baada ya kifo cha Magufuli waziwazi ama wanatishana kuuana kwa sababu ya maslahi ama wanadharauliana na kuchongeana ili tu mmoja wao aonekane bora dhidi ya mwingine.

Kinachosikitisha hayupo yeyote anayewakemea ama kuwaadhibu. Mamlaka za wagomvi wale zipo kimya jambo ambalo katika Utawala uliopita kamwe wajinga wale wasingevumiliwa.

Kwa muktadha huo naliona mapema sana anguko la Samia.
Ndugu yangu ni mapema mno kuweza kumuhukumu Raisi aliyekuwepo madarakani kama anafaa au hafai. Kwa maoni yangu mama Samia anatosha kabisa kuwa mkuu wa nchi, kwanza mama Samia alikuwa makamo wa raisi hivyo ni tosha kuwa uraisi kwake si kitu cha kujaribu kwani amekuwa makamo wa raisi kwa miaka mitano ya mwanzo na sasa amekuwa raisi kamili. Mama Samia ni mstaarabu, muungwana na mwenye khofu na Mungu hivyo usidhani atakuwa anatoa maamuzi ya haraka haraka, hao wenye kugombana ndiyo hao watakaopatana kwani wana kamati zao za maadili hivyo wamalizane wenyewe, raisi ana mengi ya kufanya siyo huo ugomvi wa watendaji wa serikali.
 
Ulikiwa unafurahi jiwe anavyowa "trepu" watu anasoma meseji zao wakitukanana na kuwasikiliza wakimuita mshamba.
Rais wa nchi!!!
Hapo ampe nguvu majaliwa , atamsaidia Sana asimbeze jamaa anaweza , vinginevyo mambo yatamharibikia , nchi ni ngumu kuiongoza .... Yeye abaki Tu kusimamia na kurekebisha mana yeye ndo final and high command, Ila asiwe mbishi na asiye jali raia kama alivyokuwa Jiwe....kwenye usimamizi nilikuwa pamoja na Jiwe, Ila kwenye matumizi tulitofautiana vibaya Sana na jamaa
 
Baraza lote ni kanda ya ziwa,DPP,Jaji mkuu,IGP,CDF, MaDeD karibia wote,RC karibia wote, DC karibia wote, takukuru,TISS. Hao wote ukanda ule. Leo mnasema ataongoza Tz. Yetu macho
Kumbuka pia kuwa mama Samia ndiye mteuzi mkuu wa hao woote ulio wataja hapo juu.

Na tayari ashasema kuwa mtu akimzingua basi wanazinguana kwa nguvu zoote.

Kama ndiye mteuzi wao jua pia kuwa anaweza kuwatumbua muda wowote .
 
Ziara za nini?
Nyie mnaelewa kazi za Rais kweli???
Hao mawaziri, manaibu, makatibu wakuu,wakuregenzi, wakuu wa mikoa, wilaya, wana kazi gani kama mnataka kuona sura yake kila mahali??
Jiwe aliwazoesha vibaya sana.
Inasikitisha sana! Toka achaguliwe hajafanya ziara hata moja kwenye miradi mikubwa ya kimkakati

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Tuambie unamtaka nani??

Unapomkataa yeye unamtaka nani?
Unayeona anafaa.

Usiogope mtaje tu hata kama ni Askofu Rashid.
Au waweza hata kusema badala yake awe Bashite.
Pendekeza tu yupi anafaa Bashiru au Slow

Everyday is Saturday............................... 😎
Hata Msukuma Kasheku
 
Kumbuka pia kuwa mama Samia ndiye mteuzi mkuu wa hao woote ulio wataja hapo juu.

Na tayari ashasema kuwa mtu akimzingua basi wanazinguana kwa nguvu zoote.

Kama ndiye mteuzi wao jua pia kuwa anaweza kuwatumbua muda wowote .
CDF anamuangaliaaaaaaa
 
Huo ni ukweli ulio bayana.

Ukiangalia na kusikia ya hapa na pale ndani ya muda ambao Rais Samia amechukua madaraka hakika magomvi, dharau na kutuhumiana waziwazi kwenye kada mbalimbali kumetamalaki.

Mfano ni katika Idara mbalimbali za Serikali Viongozi wengi kwa muda mfupi baada ya kifo cha Magufuli waziwazi ama wanatishana kuuana kwa sababu ya maslahi ama wanadharauliana na kuchongeana ili tu mmoja wao aonekane bora dhidi ya mwingine.

Kinachosikitisha hayupo yeyote anayewakemea ama kuwaadhibu. Mamlaka za wagomvi wale zipo kimya jambo ambalo katika Utawala uliopita kamwe wajinga wale wasingevumiliwa.

Kwa muktadha huo naliona mapema sana anguko la Samia.
Kwa hiyo unamkosoa Mungu aliye amua kwamba mja wake mmoja awe Mwendazake na mja wake mwingine awe rais?! Umechoka kupumua, umekua vere bored?!
 
Kuna watu walikua wanaifaidi keki ya taifa kinyume cha taratibu, hao watu sasa hivi wanaona hiyo nafasi haipo tena sasa wameanza kupiga kelele
 
Urais ni kiti kigum , Kama utajiona unajua kila kitu ,but ukitumia organ au ukirasimisha Mambo na ukabaki kuyasimamia ni kiti chepesi Sana na utalala usingizi mzuri, ila jifanye Kama mwendazake utakufa mapema na kukiacha KWA msongo wa mawazo, hasa ukiwa na ungonjwa wa moyo plus kacorona kidogo wafaaa, mh SSH, Hana Cha kumshinda Hata mie au wewe huna Cha kukushinda Kama kweli umepata nafasi hiyo
 
Ana nia njema na Tanzania but the woman is not realistic.

Ndani ya mwaka atakuja gundua agenda zake sio realistic na kuisogeza Tanzania au nchi yoyote ndani ya Africa its a hands-on job hizi sio nchi za laissez or democratic leadership.

Worst anatoa pressure serikalini investment za kimkakati zikamilike haraka bila hata ya kujua impasse zipo wapi kwenye negotiations, watu watakuja kuingia mikataba ya ovyo huko kwenye Oil and Gas kisa hizo pressure zake.

Mabeberu hawana haraka wana source luluki za hizo resources, Norway ambae ni mmbia kwenye huo mradi, ndio supplier mkubwa wa Gas Europe so wanaweza vumilia mpaka serikali ilegee iingie mkataba wa ovyo wa muda mrefu. Yeye kutwa amekazana plant ya LNG ijengwe not sure ata kama anaelewa elements za negotiation zenyewe.

90% of her speech was pure fantasy, huo ndio ukweli in hayati’s voice; the woman is not realistic.
Na mtazidi kuteseka sana. Maana hata meko hakuna la maana kafanya.
 
Back
Top Bottom