Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Dhambi ya uchafuzi uliotendeka 28/10 itaendelea kuwatafuna. Ila "tune" ya andiko lako ina vinasaba vya mwendazake.
 
Ziara za nini?
Nyie mnaelewa kazi za Rais kweli???
Hao mawaziri, manaibu, makatibu wakuu,wakuregenzi, wakuu wa mikoa, wilaya, wana kazi gani kama mnataka kuona sura yake kila mahali??
Jiwe aliwazoesha vibaya sana.
Hawa mwendazake alikuwa hasafiri nje ya nchi, ila ndani ya nchi ilikuwa Dar Chato mara 4 kwa mwaka, wanakula miposho ya SAFARI, kuliko hata anayeenda New York.

Bado kutembelea mikoa mingine, mama Rais Samia hajamaliza hata miezi miwili wanataka naye awasafirishe vilevile, watulie wacheze ngoma ka wengine.

Eti miradi ya kimkakati, wanahofu, hawajui hatma ya maslahi yao binafsi, wala hawana interest na maslahi mapana ya nchi.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Inasikitisha sana! Toka achaguliwe hajafanya ziara hata moja kwenye miradi mikubwa ya kimkakati

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hapa nikumwonea wazi wazi, yaani mtu hata kujipanga vizuri bado aanze na maziara?

Yupo kwenye conceptualization ya vipi aendelee na kwa jinsi ipi kwakua kwanza hili hakulitegemea kama lingetokea na kisha yeye siyo replica ya Hayati, sasa mpaka asome vizuri na kuji align unafikiri mchezo?

Draft yote hii ya uongozi hayakuwa original thinking yake ni kwamba alishiriki na alikuwa katika kusaidia siyo ku originate...Sasa unaachiwa mchoro ambao wewe siyo origin uuongoze kama original unafikiri ni kazi rahisi?

Tuache uonevu, tuwe objective na wenye mtizamo chanya. Tuepuke kumdharau Mh. Rais kwakuangalia gender yake, urais ni taasisi na humo kuna gender zote katika kuliongoza taifa...Tumpe muda, too early kum attack tena negatively!
 
Ni kweli mama Ana uwezo mdogo lakini kama wasaidizi wake wakiwa wazuri Basi hamna shida.

Siku zote wanawake huwa Wana uwezo mdogo ndo maana 99.999% ya manabii Ni wanaume...walioacha legacy Wengi Ni wanaume
Mkuu; "you seem to be gender insensitive". Wanawake wanaweza bila kuwezeshwa.
 
Inasikitisha sana! Toka achaguliwe hajafanya ziara hata moja kwenye miradi mikubwa ya kimkakati

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Uchaguzi ulifanyika lini??
Tokea aingie kikatiba, kikatiba, kisheria.

Hujui hata mambo yanafanyikaje.

Safari za Dar Chato mara 4 kwa mwaka, mkiwa misafara ya magari 50, sasa basi!
Poleni mno! Karibuni kwa wanyonge huku.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Inasikitisha sana! Toka achaguliwe hajafanya ziara hata moja kwenye miradi mikubwa ya kimkakati

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hill ni jawabu sahahi. Hana interest na hiyo miradi. Anaota mambo yanayo husu taifa la kudemka .
Haijawahi kutokea miradi ikafanyika bila kuitembelea. Tusubiri miujiza .
 
A lift in CCM ranks in offing?
 
Ushahidi naleta mimi au alete yeye kunithibitishia hajaiba? Unatumia nini kufikiri?
Sasa mnataka aendeleze ya hayati, akiendeleza mnasema kaiba, afanyeje nyie binadamu?

Mpeni heshima Rais wa nchi ni nembo ya taifa letu...Kama tulimlinda Hayati na mama pia ana haki hiyo, tusiwe na double standard...Rais ni mbeba maono wetu akivurunda ni sisi watanzania tumevurunda, nguvu yetu ni yake...Tusimvunje moyo please, Tanzania ni nchi yetu, tuipende tuilinde...Katupa uhuru wa kukosoa lakini siyo kumdhalilisha na kumkosea heshima hii siyo kabisa!
 
Kuna watu uwa wanajisikia kuwashwa washwa makalio pale wanapoona mtu anamponda jiwe wanataka kila mtu amsifie,binafsi siwezi kulisifia jitu lenye roho mbaya,katiri na fedhuli.

DED wa Bumbuli aliyempitisha January bila kupingwa atakiwa na Waziri Ummy kujitathmini kama bado anazo sifa!​

 
Kwani anaibeba Tanzania kichwani?
Kwwnza Mh. Samia ana upeo mkubwa kuliko yule mpenda masifa
Upeo mkubwa kusema "kile kitalu C asiweke mtu mkono wake, kina kazi maalum!". Kweli nyumbu mko brain washed kwa kweli.
 
Kumbe nchi uongozwa na maono ya mtu na sio taasisi katiba na sheria ilizojiwekea?
 
Tumwombee afya njema ni kiongozi mzuri. Kwake yeye JK ndio alimkaribisha katika maisha ya kiuongozi alipokuja huku Bara.

Ni vigumu kwake kwenda kinyume na mitazamo ya JK . Ni sawa na mchezaji nyota wa mpira wa miguu anavyomheshimu kocha aliyemtoa timu ndogo na kumpeleka Yanga au Simba, hawezi kuja kumsahau hata siku moja.

Sidhani kama kila mkakati wa JK hauifai Tanzania ya leo na kesho. Anaweza kuwa alijisahau na watu wakapiga sana serikalini na ikakosekana heshima lakini bado alikuwa na maono mengi mazuri.
 
Hapo sio sawa, hiyo ni kumpa free ride. Akivurunda awajibike kivyake.
Kama unasema hivyo basi hayati was right kufanya alichoona kinafaa sawasawa na katiba ilivyompa privillage...To every right there is a responsibility kama tunataka asivurunde ni jukumu letu kumpa viable options ili yeye akiacha kuchagua au akachagua vibaya awe responsible, short of that ni uonevu na tunakinbia uwajibikaji kama raia wa nchi yetu.
 
Tarrtiibu nitakukuza binti hahaa.
 
Nchi sio mahabara.... Its a real staff with real people... Apishe kisitaarabu tu.
 
Alichomekewa hakuwahi mpendekeza... She was there for the purpose, chaguo lake was Dr Mwinyi... But kwa kuwa Msoga aliwahi kutafuna (ndio ukweli) akamguide.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…