Nilidhani mimi tu sielewi, kumbe tuko kadhaa. Mama wa mipasho ni anaimba halafu haijulikani anaimba nini. Tumepatwa.Awamu zote za marais dizaini ya mama nchi huwa inayumba kwanza, ajae atarekebisha. Baba wa taifa alijenga misingi, akaja mzee ruksa akaivuruga hadi kuhonga mbuni wa ikulu. Mkapa akaijenga misingi upya na kuweka pato la taifa angalau. Kijana wa msoga akakomba mboga zote, tukabaki na ugali dona kavu. Magu kajaribu kurekebisha kwa nguvu, njia ikaanza kuonekana. Mama hajamaliza hata mwezi, mwelekeo umeanza kupotea.
Twende tutakakopelekwa.
Kama suala ni katiba, kuna haja ya kuwa na sera/policy, strategy/mikakati, plan/mipango kweli !? Au sielewi mie!?Kumbe nchi uongozwa na maono ya mtu na sio taasisi katiba na sheria ilizojiwekea?
Mkishaongozwa na wala pweza sijui ngisi wa nazi.. Mnaishi kiswahili swahili tu kujifanya wastaarabuuu... wajanja wa mjini.. but nothing will be serious zaidi ya maneno mdomoni.Nilidhani mimi tu sielewi, kumbe tuko kadhaa. Mama wa mipasho ni anaimba halafu haijulikani anaimba nini. Tumepatwa.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Hakuna malaika anayeongoza nchi yoyote duniani. Tumia akili ya kawaida tu.Nchi sio mahabara.... Its a real staff with real people... Apishe kisitaarabu tu.
Sijaongelea malaika mbona mna hangaika sanaHakuna malaika anayeongoza nchi yoyote duniani. Tumia akili ya kawaida tu.
Utamnyima kura peke yako lakini Watanzania halali watampa,vitisho vya nini??Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Usukuma usukuma sasa basi.Wale tuliokua tunawaita nyumbu naona sasa ndo wako na mama. Maneno yao ya kejeli na ushabiki tu. Kinachonisikitisha hakuna chama cha upinzani serious ila kama kitakuja kuwepo ntakupigia kura za hasiraaaa
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
JPM ameshaondoka duniani ameshakuwa sehemu ya historia.Ogopa sana mtu ambae anapenda kuongea maneno matamu na anaeyependa kumfurahisha kila mtu... watu wa aina hii hawana msimamo na ukikosa msimamo kila mtu utajikuta unafata ushauri wake na mwisho kama ni dereva mtajikuta mpo mtaroni.
Inakwenda miezi 3 niambieni ni kitu gani cha maana ambacho huyu mama amefanya ktk mavitu yote aliyoongea nitajieni kimoja tu. Ila kwa vile wanaopiga mapambio ni wengi watu hawaoni udhaifu wake ila soon mtaona baada ya pombe ya kusifu na kuabudu kuisha kichwani.