Ndio maana nasema tuelendelee kula mtori nyama tutazikuta chini ila dalili za mvua ni mawingu kiongozi akitoa agizo au tamko linafanyiwa kazi mama ametoa matamko mangapi mpaka sasa hakuna lolote lililofanyiwa kazi? Haya subirini wave ya India hii hamtokiJPM ameshaondoka duniani ameshakuwa sehemu ya historia.
Cha muhimu mpe muda Rais wako afanye kazi. Yule ni Rais wa nchi sio admin wa group la whatsapp la chuo au la mliosoma wote shule ya msingi.
Kile ni cheo kikubwa sana, matunda ya kazi yake hayaonekani ndani ya mwezi mmoja au miwili.
Una uhakika upi kuwa maagizo hayo hayajafanyiwa kazi?.Ndo maana nasema tuelendelee kula mtori nyama tutazikuta chini ila dalili za mvua ni mawingu kiongozi akitoa agizo au tamko linafanyiwa kazi mama ametoa matamko mangapi mpk sasa hakuna lolote lililofanyiwa kazi? Haya subirini wave ya India hii hamtoki
May 31 ikigonga hakuna jipya kiuthabiti kabisa kwenye angalau lolote katika haya:
1. Ripoti ya CAG BOT na TPA
2. Ripoti ya tume kuhusu Corona
3. Hatua zilizochukuliwa kuhusiana na ripoti za CAG
4. Genge lile pendwa lilotaka kujimilikisha nchi kinyume cha utaratibu.
Mzima mzima atakuwa kasema mwenyewe kama anayaweza au ndiyo hivyo tena.
Yaani asubuhi yote hii unaamka na hangover kwa mama? Wacha ujinga mwamba! Mama mbona kazi anapiga fresh tu? Mlizoea kututukana nyie Wasukuma kila uchao! Tukubali tu kwamba Jiwe limefamba na hatutaliona tena!Nimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba,hotuba zake ,tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji,inaonekana ya mtu aliechooka na kama haitoshi ina kapresha fulani hivi,kapumzi cha kuhema,pengine ni unene alionao au hofu.
Japo anajisifu kuwa anafuata nyayo za Raisi aliefariki Marehemu Magufuli na kuyatekeleza yale yote aliyoyaacha Marehemu.nakaribia kuapa kwamba hilo haliwezi hata azikiri...!
Magu alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali,halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe.(Alikuwa na kasoro zake nyingi tu,ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).
Huyu Bikashoo nahisi anaona watu wako poa na kila akiitwa mama ,anasahau kama anavishwa kilemba cha ukoka. Mpaka sasa kuna mambo yameshaanza kupwaya,bado nasubiri kuona uchapa kazi wake,ila kwa sasa naona ni mtu wa mikutano wa kupenda kuhudhuria huku na kule akitoa hotuba na matangazo.
Raisi Samia bado hajaonyesha uwajibikaji wa aina yeyote ile ,yupo yupo tu ,labda tusubiri mwezi wa ramadhani uishe,hayo ya kupanga Mawaziri ,makatibu ndani ya srikali na ndani ya Chama chake,si ya kushitua ni yao hayo ,na yeyote aakiipata nafasi hiyo ,hayo anaweza kuyafanya kwa mwembwe kuliko zake.
Ni jambo gani mwananchi anaweza kusema hili limefanyika kutokana na amri au uongozi wake,mimi sijaona kama yupo alieona atuwekee,spika amewaumbua askari polisi na kimeeleweka anachokisema ,japo nae hana jema hata moja.
Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.
kwanza technically ni miez miwili. second nakushangaa unapima urais in two month eti nn kafanya?Ogopa sana mtu ambae anapenda kuongea maneno matamu na anaeyependa kumfurahisha kila mtu... watu wa aina hii hawana msimamo na ukikosa msimamo kila mtu utajikuta unafata ushauri wake na mwisho kama ni dereva mtajikuta mpo mtaroni.
Inakwenda miezi 3 niambieni ni kitu gani cha maana ambacho huyu mama amefanya ktk mavitu yote aliyoongea nitajieni kimoja tu. Ila kwa vile wanaopiga mapambio ni wengi watu hawaoni udhaifu wake ila soon mtaona baada ya pombe ya kusifu na kuabudu kuisha kichwani.
ivi mzee ccm kuna mtu wamaana ujuwe ccm huu sasa ni mwaka wa 60 wanatawala hivi kuna la maana umeliona bro.Nimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba,hotuba zake ,tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji,inaonekana ya mtu aliechooka na kama haitoshi ina kapresha fulani hivi,kapumzi cha kuhema,pengine ni unene alionao au hofu.
Japo anajisifu kuwa anafuata nyayo za Raisi aliefariki Marehemu Magufuli na kuyatekeleza yale yote aliyoyaacha Marehemu.nakaribia kuapa kwamba hilo haliwezi hata azikiri...!
Magu alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali,halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe.(Alikuwa na kasoro zake nyingi tu,ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).
Huyu Bikashoo nahisi anaona watu wako poa na kila akiitwa mama ,anasahau kama anavishwa kilemba cha ukoka. Mpaka sasa kuna mambo yameshaanza kupwaya,bado nasubiri kuona uchapa kazi wake,ila kwa sasa naona ni mtu wa mikutano wa kupenda kuhudhuria huku na kule akitoa hotuba na matangazo.
Raisi Samia bado hajaonyesha uwajibikaji wa aina yeyote ile ,yupo yupo tu ,labda tusubiri mwezi wa ramadhani uishe,hayo ya kupanga Mawaziri ,makatibu ndani ya srikali na ndani ya Chama chake,si ya kushitua ni yao hayo ,na yeyote aakiipata nafasi hiyo ,hayo anaweza kuyafanya kwa mwembwe kuliko zake.
Ni jambo gani mwananchi anaweza kusema hili limefanyika kutokana na amri au uongozi wake,mimi sijaona kama yupo alieona atuwekee,spika amewaumbua askari polisi na kimeeleweka anachokisema ,japo nae hana jema hata moja.
Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.
Mama atafeli akitaka kupendwa na Kila mtu,watu Wana uchu wa pesa na Mali ndo Mana Kila mtu anataka lake litimie.Nimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba,hotuba zake ,tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji,inaonekana ya mtu aliechooka na kama haitoshi ina kapresha fulani hivi,kapumzi cha kuhema,pengine ni unene alionao au hofu.
Japo anajisifu kuwa anafuata nyayo za Raisi aliefariki Marehemu Magufuli na kuyatekeleza yale yote aliyoyaacha Marehemu.nakaribia kuapa kwamba hilo haliwezi hata azikiri...!
Magu alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali,halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe.(Alikuwa na kasoro zake nyingi tu,ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).
Huyu Bikashoo nahisi anaona watu wako poa na kila akiitwa mama ,anasahau kama anavishwa kilemba cha ukoka. Mpaka sasa kuna mambo yameshaanza kupwaya,bado nasubiri kuona uchapa kazi wake,ila kwa sasa naona ni mtu wa mikutano wa kupenda kuhudhuria huku na kule akitoa hotuba na matangazo.
Raisi Samia bado hajaonyesha uwajibikaji wa aina yeyote ile ,yupo yupo tu ,labda tusubiri mwezi wa ramadhani uishe,hayo ya kupanga Mawaziri ,makatibu ndani ya srikali na ndani ya Chama chake,si ya kushitua ni yao hayo ,na yeyote aakiipata nafasi hiyo ,hayo anaweza kuyafanya kwa mwembwe kuliko zake.
Ni jambo gani mwananchi anaweza kusema hili limefanyika kutokana na amri au uongozi wake,mimi sijaona kama yupo alieona atuwekee,spika amewaumbua askari polisi na kimeeleweka anachokisema ,japo nae hana jema hata moja.
Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.
ni heri tuishi kwa matumaini kuliko hofu.....ni heri tuishi kimasikini kuliko ndugu zetu wapotee na wemgine wapate ulemavu kisa kuhoji.Ogopa sana mtu ambae anapenda kuongea maneno matamu na anaeyependa kumfurahisha kila mtu... watu wa aina hii hawana msimamo na ukikosa msimamo kila mtu utajikuta unafata ushauri wake na mwisho kama ni dereva mtajikuta mpo mtaroni.
Inakwenda miezi 3 niambieni ni kitu gani cha maana ambacho huyu mama amefanya ktk mavitu yote aliyoongea nitajieni kimoja tu. Ila kwa vile wanaopiga mapambio ni wengi watu hawaoni udhaifu wake ila soon mtaona baada ya pombe ya kusifu na kuabudu kuisha kichwani.
Ametumbua yale majizi yaliyokuwa yanalindwa na jambazi kuu ....Ogopa sana mtu ambae anapenda kuongea maneno matamu na anaeyependa kumfurahisha kila mtu... watu wa aina hii hawana msimamo na ukikosa msimamo kila mtu utajikuta unafata ushauri wake na mwisho kama ni dereva mtajikuta mpo mtaroni.
Inakwenda miezi 3 niambieni ni kitu gani cha maana ambacho huyu mama amefanya ktk mavitu yote aliyoongea nitajieni kimoja tu. Ila kwa vile wanaopiga mapambio ni wengi watu hawaoni udhaifu wake ila soon mtaona baada ya pombe ya kusifu na kuabudu kuisha kichwani.