Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Nimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba, hotuba zake, tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji, inaonekana ya mtu aliechooka na kama haitoshi ina kapresha fulani hivi, kapumzi cha kuhema, pengine ni unene alionao au hofu.

Japo anajisifu kuwa anafuata nyayo za Rais aliefariki Marehemu Magufuli na kuyatekeleza yale yote aliyoyaacha Marehemu, nakaribia kuapa kwamba hilo haliwezi hata azikiri...!

Magufuli alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali, halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe. (Alikuwa na kasoro zake nyingi tu, ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).

Huyu Bikashoo nahisi anaona watu wako poa na kila akiitwa mama ,anasahau kama anavishwa kilemba cha ukoka. Mpaka sasa kuna mambo yameshaanza kupwaya, bado nasubiri kuona uchapa kazi wake, ila kwa sasa naona ni mtu wa mikutano wa kupenda kuhudhuria huku na kule akitoa hotuba na matangazo.

Rais Samia bado hajaonyesha uwajibikaji wa aina yeyote ile ,yupo yupo tu ,labda tusubiri mwezi wa ramadhani uishe, hayo ya kupanga Mawaziri ,makatibu ndani ya srikali na ndani ya Chama chake,si ya kushitua ni yao hayo ,na yeyote aakiipata nafasi hiyo ,hayo anaweza kuyafanya kwa mwembwe kuliko zake.

Ni jambo gani mwananchi anaweza kusema hili limefanyika kutokana na amri au uongozi wake,mimi sijaona kama yupo alieona atuwekee, spika amewaumbua askari polisi na kimeeleweka anachokisema, japo nae hana jema hata moja.

Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.
Kuna nn kwan? Sometimes tuwe waelewa yaan hana miezi sita tayar wakuda washaanza mara hawezi mara hivi. Ok bas arudi anaeweza, OVER!
 
Nimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba, hotuba zake, tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji, inaonekana ya mtu aliechooka na kama haitoshi ina kapresha fulani hivi, kapumzi cha kuhema, pengine ni unene alionao au hofu.

Japo anajisifu kuwa anafuata nyayo za Rais aliefariki Marehemu Magufuli na kuyatekeleza yale yote aliyoyaacha Marehemu, nakaribia kuapa kwamba hilo haliwezi hata azikiri...!

Magufuli alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali, halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe. (Alikuwa na kasoro zake nyingi tu, ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).

Huyu Bikashoo nahisi anaona watu wako poa na kila akiitwa mama ,anasahau kama anavishwa kilemba cha ukoka. Mpaka sasa kuna mambo yameshaanza kupwaya, bado nasubiri kuona uchapa kazi wake, ila kwa sasa naona ni mtu wa mikutano wa kupenda kuhudhuria huku na kule akitoa hotuba na matangazo.

Rais Samia bado hajaonyesha uwajibikaji wa aina yeyote ile ,yupo yupo tu ,labda tusubiri mwezi wa ramadhani uishe, hayo ya kupanga Mawaziri ,makatibu ndani ya srikali na ndani ya Chama chake,si ya kushitua ni yao hayo ,na yeyote aakiipata nafasi hiyo ,hayo anaweza kuyafanya kwa mwembwe kuliko zake.

Ni jambo gani mwananchi anaweza kusema hili limefanyika kutokana na amri au uongozi wake,mimi sijaona kama yupo alieona atuwekee, spika amewaumbua askari polisi na kimeeleweka anachokisema, japo nae hana jema hata moja.

Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.

Tatizo la Tanzania ndio hili
Yan kila mtu anauwezo wa kuisema the way anataka taasisi ya urais!

Ww ujui kuwa urais ni taasisi?
 
Nimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba, hotuba zake, tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji, inaonekana ya mtu aliechooka na kama haitoshi ina kapresha fulani hivi, kapumzi cha kuhema, pengine ni unene alionao au hofu.

Japo anajisifu kuwa anafuata nyayo za Rais aliefariki Marehemu Magufuli na kuyatekeleza yale yote aliyoyaacha Marehemu, nakaribia kuapa kwamba hilo haliwezi hata azikiri...!

Magufuli alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali, halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe. (Alikuwa na kasoro zake nyingi tu, ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).

Huyu Bikashoo nahisi anaona watu wako poa na kila akiitwa mama ,anasahau kama anavishwa kilemba cha ukoka. Mpaka sasa kuna mambo yameshaanza kupwaya, bado nasubiri kuona uchapa kazi wake, ila kwa sasa naona ni mtu wa mikutano wa kupenda kuhudhuria huku na kule akitoa hotuba na matangazo.

Rais Samia bado hajaonyesha uwajibikaji wa aina yeyote ile ,yupo yupo tu ,labda tusubiri mwezi wa ramadhani uishe, hayo ya kupanga Mawaziri ,makatibu ndani ya srikali na ndani ya Chama chake,si ya kushitua ni yao hayo ,na yeyote aakiipata nafasi hiyo ,hayo anaweza kuyafanya kwa mwembwe kuliko zake.

Ni jambo gani mwananchi anaweza kusema hili limefanyika kutokana na amri au uongozi wake,mimi sijaona kama yupo alieona atuwekee, spika amewaumbua askari polisi na kimeeleweka anachokisema, japo nae hana jema hata moja.

Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.
Ni mapema mno...let us give her time ...
 
Nimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba, hotuba zake, tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji, inaonekana ya mtu aliechooka na kama haitoshi ina kapresha fulani hivi, kapumzi cha kuhema, pengine ni unene alionao au hofu.

Japo anajisifu kuwa anafuata nyayo za Rais aliefariki Marehemu Magufuli na kuyatekeleza yale yote aliyoyaacha Marehemu, nakaribia kuapa kwamba hilo haliwezi hata azikiri...!

Magufuli alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali, halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe. (Alikuwa na kasoro zake nyingi tu, ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).

Huyu Bikashoo nahisi anaona watu wako poa na kila akiitwa mama ,anasahau kama anavishwa kilemba cha ukoka. Mpaka sasa kuna mambo yameshaanza kupwaya, bado nasubiri kuona uchapa kazi wake, ila kwa sasa naona ni mtu wa mikutano wa kupenda kuhudhuria huku na kule akitoa hotuba na matangazo.

Rais Samia bado hajaonyesha uwajibikaji wa aina yeyote ile ,yupo yupo tu ,labda tusubiri mwezi wa ramadhani uishe, hayo ya kupanga Mawaziri ,makatibu ndani ya srikali na ndani ya Chama chake,si ya kushitua ni yao hayo ,na yeyote aakiipata nafasi hiyo ,hayo anaweza kuyafanya kwa mwembwe kuliko zake.

Ni jambo gani mwananchi anaweza kusema hili limefanyika kutokana na amri au uongozi wake,mimi sijaona kama yupo alieona atuwekee, spika amewaumbua askari polisi na kimeeleweka anachokisema, japo nae hana jema hata moja.

Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.
Kumpima Mtu ambaye hata tu Siku 30 ( Miezi Miwili ) Ofisini ( Ikulu ) hana si tu ni dalili ya Upumbavu bali pia ni Roho Mbaya ya Kichawichawi.

Hivi 'Logically' Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan angekuwa 'incompetent' angekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Hivi kweli Mtu ambaye amehudumu katika Siasa za Tanzania ( akiwa ndani ya Chama Tawala ( CCM ) kwa zaidi ya miaka 26 na ameshika 'Nyadhifa' mbalimbali za Uongozi nchini Visiwani na Bara leo unaweza kusema hafai Kuongoza na kuwa Rais?

Baadhi ya Watanzania tumezidi sana 'Nongwa' yaani kila Rais wa nchi hii akipatikana ni lazima tu 'tutamchokonoa' kutafuta Mapungufu yake ( hasa ya Kiubinadamu ) utadhani Sisi wengine tulioko huku nyuma ya hizi 'Keyboards' tumekamilika 100% kama Malaika wa Mbinguni.

Yaani Mama wa Watu 'mnamuandama' kwakuwa tu ni Mwanamke na Kiasili 'Haiba' yake ni ya 'Upole' tofauti na mlivyomzoea 'Mbabe' na 'Mkorofi' wenu?

Sasa kama Wewe unaona Rais Mama Samia hawezi Kuongoza vyema na kuwa Rais umtakaye Wewe kwanini Usijitokeze na Ugombee Wewe au uwashawishi Wajomba zako au Baba yako Mzazi atuongoze? Mnakera sana 'Fools: wachache nyie.

Na Wewe bila kuficha unaonekana ni Team Pro - Hayati na huenda ulikuwa ukifaidika nae 'Kimfumo' na sasa Mama ( Rais Samia ) kaingia ama amekutoa katika 'Ulaji' wako au unahisi kwa aina ya Roho Mbaya yako na 'Unafiki' uliokutukuka anaenda Kukutoa hapo na kurejea katika 'Umasikini' wako unaostahili kuwa nao.

Kama nyie 'Fools' wachache hamumuelewi na hamumpendi Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan basi tupo Sisi akina GENTAMYCINE tunaompenda ( bila Kufaidika na chochote Personally ) kutoka Kwake na tuna Imani nae Kubwa tu pia katika huu Uongozi na Utawala wake.

Mwacheni Mama aandike Kitabu chake.
 
Nimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba, hotuba zake, tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji, inaonekana ya mtu aliechooka na kama haitoshi ina kapresha fulani hivi, kapumzi cha kuhema, pengine ni unene alionao au hofu.

Japo anajisifu kuwa anafuata nyayo za Rais aliefariki Marehemu Magufuli na kuyatekeleza yale yote aliyoyaacha Marehemu, nakaribia kuapa kwamba hilo haliwezi hata azikiri...!

Magufuli alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali, halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe. (Alikuwa na kasoro zake nyingi tu, ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).

Huyu Bikashoo nahisi anaona watu wako poa na kila akiitwa mama ,anasahau kama anavishwa kilemba cha ukoka. Mpaka sasa kuna mambo yameshaanza kupwaya, bado nasubiri kuona uchapa kazi wake, ila kwa sasa naona ni mtu wa mikutano wa kupenda kuhudhuria huku na kule akitoa hotuba na matangazo.

Rais Samia bado hajaonyesha uwajibikaji wa aina yeyote ile ,yupo yupo tu ,labda tusubiri mwezi wa ramadhani uishe, hayo ya kupanga Mawaziri ,makatibu ndani ya srikali na ndani ya Chama chake,si ya kushitua ni yao hayo ,na yeyote aakiipata nafasi hiyo ,hayo anaweza kuyafanya kwa mwembwe kuliko zake.

Ni jambo gani mwananchi anaweza kusema hili limefanyika kutokana na amri au uongozi wake,mimi sijaona kama yupo alieona atuwekee, spika amewaumbua askari polisi na kimeeleweka anachokisema, japo nae hana jema hata moja.

Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.
Aisee Maghufuli amekufa na hatarudi tena amini hilo. Pro Maghufuli mna shida sana. Mlitaka atawale maisha. Haikuwezekana , Leo kila moja mnamuona hafai. Nenda Chato. Ingawa hata mama Janet ameshatokako.

Pia ujue kila mtu ana namna yake ya uongozi . Na kama huamini ingia kwenye 18 zake . Uje ulete mrejesho .
 
Ili itakuwa Ni genge la BPS, mama ahakikishe analivunjilia mbali hili genge, other wise litamkwamisha Sana.
Kusifu na kuabudu philosophy za mwendazake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba, hotuba zake, tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji, inaonekana ya mtu aliechooka na kama haitoshi ina kapresha fulani hivi, kapumzi cha kuhema, pengine ni unene alionao au hofu.

Japo anajisifu kuwa anafuata nyayo za Rais aliefariki Marehemu Magufuli na kuyatekeleza yale yote aliyoyaacha Marehemu, nakaribia kuapa kwamba hilo haliwezi hata azikiri...!

Magufuli alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali, halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe. (Alikuwa na kasoro zake nyingi tu, ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).

Huyu Bikashoo nahisi anaona watu wako poa na kila akiitwa mama ,anasahau kama anavishwa kilemba cha ukoka. Mpaka sasa kuna mambo yameshaanza kupwaya, bado nasubiri kuona uchapa kazi wake, ila kwa sasa naona ni mtu wa mikutano wa kupenda kuhudhuria huku na kule akitoa hotuba na matangazo.

Rais Samia bado hajaonyesha uwajibikaji wa aina yeyote ile ,yupo yupo tu ,labda tusubiri mwezi wa ramadhani uishe, hayo ya kupanga Mawaziri ,makatibu ndani ya srikali na ndani ya Chama chake,si ya kushitua ni yao hayo ,na yeyote aakiipata nafasi hiyo ,hayo anaweza kuyafanya kwa mwembwe kuliko zake.

Ni jambo gani mwananchi anaweza kusema hili limefanyika kutokana na amri au uongozi wake,mimi sijaona kama yupo alieona atuwekee, spika amewaumbua askari polisi na kimeeleweka anachokisema, japo nae hana jema hata moja.

Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.
Urais ni taasisi bwashee, tumpe ushirikiano atatuvusha....
 
Kumpima Mtu ambaye hata tu Siku 30 ( Miezi Miwili ) Ofisini ( Ikulu ) hana si tu ni dalili ya Upumbavu bali pia ni Roho Mbaya ya Kichawichawi.

Hivi 'Logically' Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan angekuwa 'incompetent' angekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Hivi kweli Mtu ambaye amehudumu katika Siasa za Tanzania ( akiwa ndani ya Chama Tawala ( CCM ) kwa zaidi ya miaka 26 na ameshika 'Nyadhifa' mbalimbali za Uongozi nchini Visiwani na Bara leo unaweza kusema hafai Kuongoza na kuwa Rais?

Baadhi ya Watanzania tumezidi sana 'Nongwa' yaani kila Rais wa nchi hii akipatikana ni lazima tu 'tutamchokonoa' kutafuta Mapungufu yake ( hasa ya Kiubinadamu ) utadhani Sisi wengine tulioko huku nyuma ya hizi 'Keyboards' tumekamilika 100% kama Malaika wa Mbinguni.

Yaani Mama wa Watu 'mnamuandama' kwakuwa tu ni Mwanamke na Kiasili 'Haiba' yake ni ya 'Upole' tofauti na mlivyomzoea 'Mbabe' na 'Mkorofi' wenu?

Sasa kama Wewe unaona Rais Mama Samia hawezi Kuongoza vyema na kuwa Rais umtakaye Wewe kwanini Usijitokeze na Ugombee Wewe au uwashawishi Wajomba zako au Baba yako Mzazi atuongoze? Mnakera sana 'Fools: wachache nyie.

Na Wewe bila kuficha unaonekana ni Team Pro - Hayati na huenda ulikuwa ukifaidika nae 'Kimfumo' na sasa Mama ( Rais Samia ) kaingia ama amekutoa katika 'Ulaji' wako au unahisi kwa aina ya Roho Mbaya yako na 'Unafiki' uliokutukuka anaenda Kukutoa hapo na kurejea katika 'Umasikini' wako unaostahili kuwa nao.

Kama nyie 'Fools' wachache hamumuelewi na hamumpendi Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan basi tupo Sisi akina GENTAMYCINE tunaompenda ( bila Kufaidika na chochote Personally ) kutoka Kwake na tuna Imani nae Kubwa tu pia katika huu Uongozi na Utawala wake.

Mwacheni Mama aandike Kitabu chake.
Ulipokosea ni hapo pa 'mbabe' na ' mkorofi' wenu...inaelekea ulikuwa humpendi huyo 'mbabe' na 'mkorofi' na huyu naye inaelekea hampendi 'mpole'..ngoma draw
 
Hazijaisha na hazitakaa ziishe.
Nukuu:mimi na magufuli ni kitu kimoja kazi iendelee;
Hivi unajua /elewa maana ya hii kauli?
Kingine kuchaguliwa kuwa makamu ile ni kama kivuli tuu maana haijawahi tokea kama kilichotokea ndioaana nikasema hapo juu kuwa "jungu limemdondokea"

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewe, ila kumbuka kauli na matendo ni vitu tofauti, na neno " kazi iendelee" haimaanishi atafuata ya Magufuri. Mbona huoji alivyotamka kufungulia uhuru wa vyombo vya habari na kila raia anaongea atakalo, wakati wa Magufuri nani alikuwa na uwezo wa kuongea atakalo?
 
Nafikiri kila raisi anapoingia madarakani anakuta nchi ina changamoto furani hivyo inabidi adili na hiyo changamoto

Tanzania aliyoikuta JPM ilihitaji afanye alivyo fanya na hasa lile la kutumbua maana alikuta watu waliobweka kstika nafasi zao na kuifanya hi nchi kama Mali yao ( wazee wa vijicent) hivyo JPM ilikuwa lazima afanye alivyo Fanya ili nchi ikae katika mstali na kweli walinyooka wazembe, mafisadi na mabeberu

Wazembe wameshaisha, mafisadi wameisha na mabeberu walisha nyooka mwacheni mama sasa angalie nyanja nyingine
 
Inaonekana umeanza kukua nyakati za hayati Magufuli inaonekana enzi za Mkapa na JK ulikuwa bado huelewi maana ya urais na namna gani Rais anafanya kazi.

Kosa lako linafanywa na wengi, kuamini kuwa ni lazima Rais Samia afanane mia kwa mia na hayati. Hakuna ulazima huo kila Rais ana vipaumbele vyake, ana hekima yake inayojitegemea na anayo haki ya kuwa yeye kama yeye.

Ondokana na dhana potofu ya kufananisha marais.
Ngwanabukililo,umelielewa swali mwandishi aliloliuliza?, kama wewe unalojibu lake,mpe,
 
Nakubaliana na wewe, ila kumbuka kauli na matendo ni vitu tofauti, na neno " kazi iendelee" haimaanishi atafuata ya Magufuri. Mbona huoji alivyotamka kufungulia uhuru wa vyombo vya habari na kila raia anaongea atakalo, wakati wa Magufuri nani alikuwa na uwezo wa kuongea atakalo?
Hapo kwenye uhuru wa vyombo vya habari sio vyote bado kuna mkanganyiko wa baadhi wanatoa malalamiko wao hawajafunguliwa.
Kama umwsikikiza jana msemaji wao jana kwenye maadhimisho ya siju ya uhuru wa vyombo vya habari bwana balile hili swala aliliongelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana nasema tuelendelee kula mtori nyama tutazikuta chini ila dalili za mvua ni mawingu kiongozi akitoa agizo au tamko linafanyiwa kazi mama ametoa matamko mangapi mpaka sasa hakuna lolote lililofanyiwa kazi? Haya subirini wave ya India hii hamtoki
suala la maji unauhakika halijafanyiwa kazi jadi sasahivi?
 
May 31 ikigonga hakuna jipya kiuthabiti kabisa kwenye angalau lolote katika haya:

1. Ripoti ya CAG BOT na TPA
2. Ripoti ya tume kuhusu Corona
3. Hatua zilizochukuliwa kuhusiana na ripoti za CAG
4. Genge lile pendwa lilotaka kujimilikisha nchi kinyume cha utaratibu.

Mzima mzima atakuwa kasema mwenyewe kama anayaweza au ndiyo hivyo tena.
Labda tume kuhusu corona,japo kuunda tume na kuwajibika ni vitu viwili tofauti,hayo mengine yoote ni ablakadabra
 
Hapo kwenye uhuru wa vyombo vya habari sio vyote bado kuna mkanganyiko wa baadhi wanatoa malalamiko wao hawajafunguliwa.
Kama umwsikikiza jana msemaji wao jana kwenye maadhimisho ya siju ya uhuru wa vyombo vya habari bwana balile hili swala aliliongelea

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nakubali lakini tumpe muda kwanza, kumbuka Rais wa Nchi ana mambo mengi sana na kila zuri na baya yote ni yake, utekelezaji wa maelekezo unaweza kuwa na changamoto pia. Nafikiri mama atalisikia hilo la msemaji wao na yataisha tu kuwa na amani
 
Back
Top Bottom