Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,403
- 4,373
Sina uhakikaHuyo mleta hoja siyo Cdm. Huyo ni Ccm Chato .( Sukuma gang)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina uhakikaHuyo mleta hoja siyo Cdm. Huyo ni Ccm Chato .( Sukuma gang)
Kuondoa retention ya 6% kwa wakopaji wa loan board, kutangaza ajira, promotion,Ogopa sana mtu ambae anapenda kuongea maneno matamu na anaeyependa kumfurahisha kila mtu... watu wa aina hii hawana msimamo na ukikosa msimamo kila mtu utajikuta unafata ushauri wake na mwisho kama ni dereva mtajikuta mpo mtaroni.
Inakwenda miezi 3 niambieni ni kitu gani cha maana ambacho huyu mama amefanya ktk mavitu yote aliyoongea nitajieni kimoja tu. Ila kwa vile wanaopiga mapambio ni wengi watu hawaoni udhaifu wake ila soon mtaona baada ya pombe ya kusifu na kuabudu kuisha kichwani.
Ataweza kuiongoza JK yupoNimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba, hotuba zake, tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji, inaonekana ya mtu aliechooka na kama haitoshi ina kapresha fulani hivi, kapumzi cha kuhema, pengine ni unene alionao au hofu.
Japo anajisifu kuwa anafuata nyayo za Rais aliefariki Marehemu Magufuli na kuyatekeleza yale yote aliyoyaacha Marehemu, nakaribia kuapa kwamba hilo haliwezi hata azikiri...!
Magufuli alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali, halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe. (Alikuwa na kasoro zake nyingi tu, ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).
Huyu Bikashoo nahisi anaona watu wako poa na kila akiitwa mama ,anasahau kama anavishwa kilemba cha ukoka. Mpaka sasa kuna mambo yameshaanza kupwaya, bado nasubiri kuona uchapa kazi wake, ila kwa sasa naona ni mtu wa mikutano wa kupenda kuhudhuria huku na kule akitoa hotuba na matangazo.
Rais Samia bado hajaonyesha uwajibikaji wa aina yoyote ile ,yupo yupo tu ,labda tusubiri mwezi wa ramadhani uishe, hayo ya kupanga Mawaziri ,makatibu ndani ya srikali na ndani ya Chama chake,si ya kushitua ni yao hayo ,na yeyote aakiipata nafasi hiyo ,hayo anaweza kuyafanya kwa mwembwe kuliko zake.
Ni jambo gani mwananchi anaweza kusema hili limefanyika kutokana na amri au uongozi wake,mimi sijaona kama yupo alieona atuwekee, spika amewaumbua askari polisi na kimeeleweka anachokisema, japo nae hana jema hata moja.
Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.
Labda tume kuhusu corona,japo kuunda tume na kuwajibika ni vitu viwili tofauti,hayo mengine yoote ni ablakadabra
Freedom of expression
Unaona hatareee hii ? Kama uhaki utaonywesha Chama hicho alichokuwemo kilishaanguka zamani,na ushahidi mzuri ni Zanzibar na zaidi mkowa wa pemba,tuliache hilo.Hivi kweli Mtu ambaye amehudumu katika Siasa za Tanzania ( akiwa ndani ya Chama Tawala ( CCM ) kwa zaidi ya miaka 26 na ameshika 'Nyadhifa' mbalimbali za Uongozi nchini Visiwani na Bara leo unaweza kusema hafai Kuongoza na kuwa Rais?
Yaani Mama wa Watu 'mnamuandama' kwakuwa tu ni Mwanamke na Kiasili 'Haiba' yake ni ya 'Upole' tofauti na mlivyomzoea 'Mbabe' na 'Mkorofi' wenu?
Mwacheni Mama aandike Kitabu chake.
Ila mkorofi hapana [emoji16][emoji1787]Ulipokosea ni hapo pa 'mbabe' na ' mkorofi' wenu...inaelekea ulikuwa humpendi huyo 'mbabe' na 'mkorofi' na huyu naye inaelekea hampendi 'mpole'..ngoma draw
Tuko pamoja bwasheeSawa nakubali lakini tumpe muda kwanza, kumbuka Rais wa Nchi ana mambo mengi sana na kila zuri na baya yote ni yake, utekelezaji wa maelekezo unaweza kuwa na changamoto pia. Nafikiri mama atalisikia hilo la msemaji wao na yataisha tu kuwa na amani
Wewe tangu mama aingie madarakani miezi yote iyo umefanya nini cha maana mpaka sasa tuanzie hapo kwanzaOgopa sana mtu ambae anapenda kuongea maneno matamu na anaeyependa kumfurahisha kila mtu... watu wa aina hii hawana msimamo na ukikosa msimamo kila mtu utajikuta unafata ushauri wake na mwisho kama ni dereva mtajikuta mpo mtaroni.
Inakwenda miezi 3 niambieni ni kitu gani cha maana ambacho huyu mama amefanya ktk mavitu yote aliyoongea nitajieni kimoja tu. Ila kwa vile wanaopiga mapambio ni wengi watu hawaoni udhaifu wake ila soon mtaona baada ya pombe ya kusifu na kuabudu kuisha kichwani.
Hivi kwani ni jambo gani la kwenye ripoti ya CAG Magufuli alilifanyia kazi ? eg upotevu wa 1.5 T uliishia wapi ?, je yy alifanya nini kwenye hilo ?Labda tume kuhusu corona,japo kuunda tume na kuwajibika ni vitu viwili tofauti,hayo mengine yoote ni ablakadabra
Ogopa sana mtu ambae anapenda kuongea maneno matamu na anaeyependa kumfurahisha kila mtu... watu wa aina hii hawana msimamo na ukikosa msimamo kila mtu utajikuta unafata ushauri wake na mwisho kama ni dereva mtajikuta mpo mtaroni.
Inakwenda miezi 3 niambieni ni kitu gani cha maana ambacho huyu mama amefanya ktk mavitu yote aliyoongea nitajieni kimoja tu. Ila kwa vile wanaopiga mapambio ni wengi watu hawaoni udhaifu wake ila soon mtaona baada ya pombe ya kusifu na kuabudu kuisha kichwan
Wee mpumbafu na spika wako kila siku unamuota lissu tu vp unamtakaHata kichaa Lissu alisema tutaokota maiti barabarani kwa wave hiyo ya India, mbona hata yeye hajatuokotea hata maiti moja?? na wewe na machadema wenzako wave ya India ikipita mniokotee maiti moja mtaani tuone basi!! wacha kututisha!!!
Hata JPM hakuwa nao sio ila leo mkundu wako unapita juu ya Fly Over kila panapokucha!Hana,ila hata JPM hakuwa nao,ni kawaida tu hata Trump hakuwa na uwezo.
Hivi unajuwa kuwa report ya CAG hata bungeni halijajadiliwa ?!. Na Bunge ndiyo yenye kuielekeza serikali nini hatua za kuchukua kufuatia report Ile. So usiwe na haraka kama kijana wa baleheUnaona hatareee hii ? Kama uhaki utaonywesha Chama hicho alichokuwemo kilishaanguka zamani,na ushahidi mzuri ni Zanzibar na zaidi mkowa wa pemba,tuliache hilo.
Si kila mkuu wa jeshi anaweza kuwepo front line hata awemo jeshini kwenye vikundi mbalimbali,front line ni jambo lingine kufa au kupona,kuna Raisi amefariki hivi karibuni akiwepo kwenye vita dhidi ya waasi ,sio wale vita imeisha eti ndio anakwenda mstari wa mbele na mipicha kibao ,turudi kwenye mada.
Kuuliza si ujinga na maendeleo hayana Chama...sawasawa..., Rasi Samia ameingia kwa jazba na kuwaaminisha wengi kuwa anaweza,ripoti ya CAG na yaliojiri BOT yanachemka juu ya mabega yake ,sasa kimya kimekuwa kikubwa,pengine hakujua matokeo yatamgusa aliemteua au aliowateuwa,hatuwezi kujua.
Tunaona amecheza drafti kupanga kete anavyohisi yeye atashinda, kunapotolewa maagizo halafu ukaona kimya na hakuna haua wala update basi ujue hapo kuna tatizo la piga tajame.
Namtaka mama yako, m..b..aaf we!!Wee mpumbafu na spika wako kila siku unamuota lissu tu vp unamtaka