mbona unatafsiri uwajibikaji kwa mawazo yako!!!ambayo hata mleta mada hakuonyesha dalili ya kuyazungunzia??Kwa akili yako uwajibukaji ni kufokea watu, kutukana, kutembea nchi nzima kwa gari na kujisifu na kudhalilisha watu na viongozi?
Yaani asubuhi yote hii unaamka na hangover kwa mama? Wacha ujinga mwamba! Mama mbona kazi anapiga fresh tu? Mlizoea kututukana nyie Wasukuma kila uchao! Tukubali tu kwamba Jiwe limefamba na hatutaliona tena!
wewe mzee kumbe nawe ni mpuùzi kabisa.Ametumbua yale majizi yaliyokuwa yanalindwa na jambazi kuu ....
Bashiru, lile la Bandari, yale ya TASAC, lile la Posta... yote kayafutilia mbali...
Yaende Chattle yakasujudu kaburim la mungu wao...
wewe mzee kumbe nawe ni mpuùzi kabisa.
muwe mnakumbuka umri mliopo kwanza kabla ya kupost chochote humu.
ndufu=ndugu.ni heri tuishi kwa matumaini kuliko hofu.....ni heri tuishi kimasikini kuliko ndufu zetu wapotee na wemgine wapate ulemavu kisa kuhoji.
leo hii hatutoki burundi tena wala sio wahutu.
Mwendazake ni sawa makumbusho na historia....sukuma gang zindukeni mchape kazi kila zama kitabu chake
leo hii hatutoki burundi tena wala sio wahutu.
kwakweli nyumbu ni kiumbe mgumu sana kumuelewa.
Sukuma gang hawaamini bado
Ndio maana mtoto au mwanao akikosea anafokewa, anachapwa viboko hapohapo..na mwizi au jambazi akikamatwa anafungwa jela...wewe jomba naona unapenda kubembelezana eeeh..una akili sana tazama usije ukawaingiza wenzako choo cha like..Kwa akili yako uwajibukaji ni kufokea watu, kutukana, kutembea nchi nzima kwa gari na kujisifu na kudhalilisha watu na viongozi?
Hana sema jungu limemdokea tuu maana ukifuatia elimu aliofikia na elimu /kigezo kinachotakiwa Rais awe nacho ili aweze chaguliwa kuwa Rais mama hana.Nimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba, hotuba zake, tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji, inaonekana ya mtu aliechooka na kama haitoshi ina kapresha fulani hivi, kapumzi cha kuhema, pengine ni unene alionao au hofu.
Japo anajisifu kuwa anafuata nyayo za Rais aliefariki Marehemu Magufuli na kuyatekeleza yale yote aliyoyaacha Marehemu, nakaribia kuapa kwamba hilo haliwezi hata azikiri...!
Magufuli alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali, halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe. (Alikuwa na kasoro zake nyingi tu, ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).
Huyu Bikashoo nahisi anaona watu wako poa na kila akiitwa mama ,anasahau kama anavishwa kilemba cha ukoka. Mpaka sasa kuna mambo yameshaanza kupwaya, bado nasubiri kuona uchapa kazi wake, ila kwa sasa naona ni mtu wa mikutano wa kupenda kuhudhuria huku na kule akitoa hotuba na matangazo.
Rais Samia bado hajaonyesha uwajibikaji wa aina yeyote ile ,yupo yupo tu ,labda tusubiri mwezi wa ramadhani uishe, hayo ya kupanga Mawaziri ,makatibu ndani ya srikali na ndani ya Chama chake,si ya kushitua ni yao hayo ,na yeyote aakiipata nafasi hiyo ,hayo anaweza kuyafanya kwa mwembwe kuliko zake.
Ni jambo gani mwananchi anaweza kusema hili limefanyika kutokana na amri au uongozi wake,mimi sijaona kama yupo alieona atuwekee, spika amewaumbua askari polisi na kimeeleweka anachokisema, japo nae hana jema hata moja.
Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.
Acha ramli chonganishi wewe! Eti mama anahema, wewe hujawahi kuhema? Mwache mama afanye kazi hata miezi mitatu hajamaliza. Yule sio Magufuri aliyetaka kusifiwa na kuwamwagia fedhaNimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba, hotuba zake, tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji, inaonekana ya mtu aliechooka na kama haitoshi ina kapresha fulani hivi, kapumzi cha kuhema, pengine ni unene alionao au hofu.
Japo anajisifu kuwa anafuata nyayo za Rais aliefariki Marehemu Magufuli na kuyatekeleza yale yote aliyoyaacha Marehemu, nakaribia kuapa kwamba hilo haliwezi hata azikiri...!
Magufuli alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali, halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe. (Alikuwa na kasoro zake nyingi tu, ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).
Huyu Bikashoo nahisi anaona watu wako poa na kila akiitwa mama ,anasahau kama anavishwa kilemba cha ukoka. Mpaka sasa kuna mambo yameshaanza kupwaya, bado nasubiri kuona uchapa kazi wake, ila kwa sasa naona ni mtu wa mikutano wa kupenda kuhudhuria huku na kule akitoa hotuba na matangazo.
Rais Samia bado hajaonyesha uwajibikaji wa aina yeyote ile ,yupo yupo tu ,labda tusubiri mwezi wa ramadhani uishe, hayo ya kupanga Mawaziri ,makatibu ndani ya srikali na ndani ya Chama chake,si ya kushitua ni yao hayo ,na yeyote aakiipata nafasi hiyo ,hayo anaweza kuyafanya kwa mwembwe kuliko zake.
Ni jambo gani mwananchi anaweza kusema hili limefanyika kutokana na amri au uongozi wake,mimi sijaona kama yupo alieona atuwekee, spika amewaumbua askari polisi na kimeeleweka anachokisema, japo nae hana jema hata moja.
Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.
Kwa hiyo wewe unataka afanyeje kuhusu corona, hebu tuanzie hapo kwanza maana machadema ndio mnapopang'ang'ania hasa.May 31 ikigonga hakuna jipya kiuthabiti kabisa kwenye angalau lolote katika haya:
1. Ripoti ya CAG BOT na TPA
2. Ripoti ya tume kuhusu Corona
3. Hatua zilizochukuliwa kuhusiana na ripoti za CAG
4. Genge lile pendwa lilotaka kujimilikisha nchi kinyume cha utaratibu.
Mzima mzima atakuwa kasema mwenyewe kama anayaweza au ndiyo hivyo tena.
Mbona hukuyasema hayo alipoteuliwa kuwa makamo wa Rais? Ulikuwa hujui kuna siku anaweza kuwa Rais? Ninyi ndiye mliozoea kusigina katiba kila uchao kwa matakwa yenu. Kubali tu zile zama za ushenzi zimeishaHana sema jungu limemdokea tuu maana ukifuatia elimu aliofikia na elimu /kigezo kinachotakiwa Rais awe nacho ili aweze chaguliwa kuwa Rais mama hana.
Naomba niishie hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kichaa Lissu alisema tutaokota maiti barabarani kwa wave hiyo ya India, mbona hata yeye hajatuokotea hata maiti moja?? na wewe na machadema wenzako wave ya India ikipita mniokotee maiti moja mtaani tuone basi!! wacha kututisha!!!Ndio maana nasema tuelendelee kula mtori nyama tutazikuta chini ila dalili za mvua ni mawingu kiongozi akitoa agizo au tamko linafanyiwa kazi mama ametoa matamko mangapi mpaka sasa hakuna lolote lililofanyiwa kazi? Haya subirini wave ya India hii hamtoki
Hapana Uharo wangu haunukii hivyo,ila huo utawaliwa wako ndio uliokufanya udumae akili,eti kwa wazungu ,wazungu waliowaaminisha nyinyi kuwa Afrika ni watu weusi watupu ,mpaka mmezidiwa na ujuha na kuamini hayo ,unasahau kuwa hata ndani ya Tanganyika vijijini huko misituni kabisaa wapo watu weupe wachilia nchi za afrika ya kaskazini ukivuka kwa wanubi tu hapo,achana nayo hayo maana huna uelewa.Kwa mujibu wa uharo wako kuchapa kazi ni kutumbua watu🥺🥺🥺🥺🥺.
Duuuuuuhhh , kweli Afrika bado tuna safari ndefu.
Kwa Wazungu uchapa kazi ni kusimamia haki na utu kwa wanadamu ila kwa nyie wasukuma kuchapa kazi ni kutekana, kuuana, kudharauliana, kuchota pesa hazina na kupita kuhonga wapinzani, kugawa vyeo kwa uswahiba and so.
Hazijaisha na hazitakaa ziishe.Mbona hukuyasema hayo alipoteuliwa kuwa makamo wa Rais? Ulikuwa hujui kuna siku anaweza kuwa Rais? Ninyi ndiye mliozoea kusigina katiba kila uchao kwa matakwa yenu. Kubali tu zile zama za ushenzi zimeisha
Kwa hiyo wewe unataka afanyeje kuhusu corona, hebu tuanzie hapo kwanza maana machadema ndio mnapopang'ang'ania hasa.