Dah, mkuu wasukuma wamekufanya nini mbona umejaa sumu hivyo?.
Aisee Maghufuli amekufa na hatarudi tena amini hilo. Pro Maghufuli mna shida sana. Mlitaka atawale maisha. Haikuwezekana , Leo kila moja mnamuona hafai. Nenda Chato. Ingawa hata mama Janet ameshatokako.
Pia ujue kila mtu ana namna yake ya uongozi . Na kama huamini ingia kwenye 18 zake . Uje ulete mrejesho .
Kumpima Mtu ambaye hata tu Siku 30 ( Miezi Miwili ) Ofisini ( Ikulu ) hana si tu ni dalili ya Upumbavu bali pia ni Roho Mbaya ya Kichawichawi.
Hivi 'Logically' Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan angekuwa 'incompetent' angekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Hivi kweli Mtu ambaye amehudumu katika Siasa za Tanzania ( akiwa ndani ya Chama Tawala ( CCM ) kwa zaidi ya miaka 26 na ameshika 'Nyadhifa' mbalimbali za Uongozi nchini Visiwani na Bara leo unaweza kusema hafai Kuongoza na kuwa Rais?
Baadhi ya Watanzania tumezidi sana 'Nongwa' yaani kila Rais wa nchi hii akipatikana ni lazima tu 'tutamchokonoa' kutafuta Mapungufu yake ( hasa ya Kiubinadamu ) utadhani Sisi wengine tulioko huku nyuma ya hizi 'Keyboards' tumekamilika 100% kama Malaika wa Mbinguni.
Yaani Mama wa Watu 'mnamuandama' kwakuwa tu ni Mwanamke na Kiasili 'Haiba' yake ni ya 'Upole' tofauti na mlivyomzoea 'Mbabe' na 'Mkorofi' wenu?
Sasa kama Wewe unaona Rais Mama Samia hawezi Kuongoza vyema na kuwa Rais umtakaye Wewe kwanini Usijitokeze na Ugombee Wewe au uwashawishi Wajomba zako au Baba yako Mzazi atuongoze? Mnakera sana 'Fools: wachache nyie.
Na Wewe bila kuficha unaonekana ni Team Pro - Hayati na huenda ulikuwa ukifaidika nae 'Kimfumo' na sasa Mama ( Rais Samia ) kaingia ama amekutoa katika 'Ulaji' wako au unahisi kwa aina ya Roho Mbaya yako na 'Unafiki' uliokutukuka anaenda Kukutoa hapo na kurejea katika 'Umasikini' wako unaostahili kuwa nao.
Kama nyie 'Fools' wachache hamumuelewi na hamumpendi Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan basi tupo Sisi akina GENTAMYCINE tunaompenda ( bila Kufaidika na chochote Personally ) kutoka Kwake na tuna Imani nae Kubwa tu pia katika huu Uongozi na Utawala wake.
Mwacheni Mama aandike Kitabu chake.
Mbona uwezo wako wa kiakiri hauendani na maneno yako au umerogwa brazaKiboko yenu alikuwa Magufuli tu waropokaji hovyo! Maana ukiwasikiliza wabongo kwa kila lalamiko lao utajikuta unaogopa kufanya kila kitu!
Watakuyumbisha vibaya mno yani!
Wasukuma wa mataga ndivyo walivyo...
View attachment 1772782
Mkuu itoshe kusema: "hiiiiii bagosha!"
Hivi uwezo wa mtu wa kiakili unapimwa na mtu kuwa mjumbe ndio au kukubaliana na kile ambacho wewe unafikiri ni sahihi tu?Mbona uwezo wako wa kiakiri hauendani na maneno yako au umerogwa braza
Kwani anayekupinga kwa maneno na hana uwezo wa kufanya unayofanya wewe inakuwa unapungukiwa nini..Wabongo ni vichwa vya wendawazimu kila mtu akija ananyoa tu atakavyo! Sasa Magufuli alitaka kuset standards na kama uliona alianza kuwa kavu baada ya wapinzani kuongoza genge la raia ambao wao kazi yao ni kupinga tu na kuropoka hovyo mitandaoni na kuidhihaki taasisi ya uraisi!
This was also done by the late Nyerere ila approach yake ilikuwa kuwachapa fimbo hao watu wasiojielewa sasa sijui walitaka na Magufuli aanze kuwachapa bakora akina Mbowe?
kila rais anavipaumbele vyake tuanzie hapo, unaposema vipaumbele pas na shaka unamanisha ni ilani iliyopo kama sio ilani bas wewe nae ni zwazwa huelewi mana ya vipaumbele katika awamu. Huyu rais ni mwendelezo wa mwenzake ambae walikuwa pamoja na ilani ni ile ile moja kwa kipindi cha 10 yr.samia hana kipaumbele chake mbali na vile vya kwenye ilani. La sivyo aje na ilani yake ya miaka 4 iliyobaki.Inaonekana umeanza kukua nyakati za hayati Magufuli inaonekana enzi za Mkapa na JK ulikuwa bado huelewi maana ya urais na namna gani Rais anafanya kazi.
Kosa lako linafanywa na wengi, kuamini kuwa ni lazima Rais Samia afanane mia kwa mia na hayati. Hakuna ulazima huo kila Rais ana vipaumbele vyake, ana hekima yake inayojitegemea na anayo haki ya kuwa yeye kama yeye.
Ondokana na dhana potofu ya kufananisha marais.
Mataga noma sana...Mbona uwezo wako wa kiakiri hauendani na maneno yako au umerogwa braza
Na mimi nakujua una uwezo mkubwa wa argument sasa mbona unatoa argument zenye mashakaHivi uwezo wa mtu wa kiakili unapimwa na mtu kuwa mjumbe ndio au kukubaliana na kile ambacho wewe unafikiri ni sahihi tu?
I think IQ ya mtu ni based on arguments he/she can make to prove a point!
AnawezaaNimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba, hotuba zake, tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji, inaonekana ya mtu aliechooka na kama haitoshi ina kapresha fulani hivi, kapumzi cha kuhema, pengine ni unene alionao au hofu.
Japo anajisifu kuwa anafuata nyayo za Rais aliefariki Marehemu Magufuli na kuyatekeleza yale yote aliyoyaacha Marehemu, nakaribia kuapa kwamba hilo haliwezi hata azikiri...!
Magufuli alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali, halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe. (Alikuwa na kasoro zake nyingi tu, ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).
Huyu Bikashoo nahisi anaona watu wako poa na kila akiitwa mama ,anasahau kama anavishwa kilemba cha ukoka. Mpaka sasa kuna mambo yameshaanza kupwaya, bado nasubiri kuona uchapa kazi wake, ila kwa sasa naona ni mtu wa mikutano wa kupenda kuhudhuria huku na kule akitoa hotuba na matangazo.
Rais Samia bado hajaonyesha uwajibikaji wa aina yoyote ile ,yupo yupo tu ,labda tusubiri mwezi wa ramadhani uishe, hayo ya kupanga Mawaziri ,makatibu ndani ya srikali na ndani ya Chama chake,si ya kushitua ni yao hayo ,na yeyote aakiipata nafasi hiyo ,hayo anaweza kuyafanya kwa mwembwe kuliko zake.
Ni jambo gani mwananchi anaweza kusema hili limefanyika kutokana na amri au uongozi wake,mimi sijaona kama yupo alieona atuwekee, spika amewaumbua askari polisi na kimeeleweka anachokisema, japo nae hana jema hata moja.
Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.
Mkuu kwani we ulitaka nani aongoze?Nimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba, hotuba zake, tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji, inaonekana ya mtu aliechooka na kama haitoshi ina kapresha fulani hivi, kapumzi cha kuhema, pengine ni unene alionao au hofu.
Japo anajisifu kuwa anafuata nyayo za Rais aliefariki Marehemu Magufuli na kuyatekeleza yale yote aliyoyaacha Marehemu, nakaribia kuapa kwamba hilo haliwezi hata azikiri...!
Magufuli alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali, halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe. (Alikuwa na kasoro zake nyingi tu, ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).
Huyu Bikashoo nahisi anaona watu wako poa na kila akiitwa mama ,anasahau kama anavishwa kilemba cha ukoka. Mpaka sasa kuna mambo yameshaanza kupwaya, bado nasubiri kuona uchapa kazi wake, ila kwa sasa naona ni mtu wa mikutano wa kupenda kuhudhuria huku na kule akitoa hotuba na matangazo.
Rais Samia bado hajaonyesha uwajibikaji wa aina yoyote ile ,yupo yupo tu ,labda tusubiri mwezi wa ramadhani uishe, hayo ya kupanga Mawaziri ,makatibu ndani ya srikali na ndani ya Chama chake,si ya kushitua ni yao hayo ,na yeyote aakiipata nafasi hiyo ,hayo anaweza kuyafanya kwa mwembwe kuliko zake.
Ni jambo gani mwananchi anaweza kusema hili limefanyika kutokana na amri au uongozi wake,mimi sijaona kama yupo alieona atuwekee, spika amewaumbua askari polisi na kimeeleweka anachokisema, japo nae hana jema hata moja.
Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.
Inakera sometimes, sisi kama binadamu tuna nyongo unajua! Kitu ambacho nitafanya tu ni kukuonya kuwa mambo ya kufuatiliana sihitaji fata yako!Kwani anayekupinga kwa maneno na hana uwezo wa kufanya unayofanya wewe inakuwa unapungukiwa nini..
Yaani hapo kwako una jirani yako anatangaza kwa watu kuwa huna uwezo wa kuweka umeme nyumbani kwako na wewe uwezo unao na umeme umeweka kwa muhuri zako apo wewe unapungukiwa nini
Kwaio jirani auwawe kwa kuwa kasema ati hauna uwezo wa kuweka umeme ..??
Sukuma gang kama sukuma gangs katika ubora wenu nendeni chato ndio mtaamini mwamba wenu apumui tena.Nimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba, hotuba zake, tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji, inaonekana ya mtu aliechooka na kama haitoshi ina kapresha fulani hivi, kapumzi cha kuhema, pengine ni unene alionao au hofu.
Japo anajisifu kuwa anafuata nyayo za Rais aliefariki Marehemu Magufuli na kuyatekeleza yale yote aliyoyaacha Marehemu, nakaribia kuapa kwamba hilo haliwezi hata azikiri...!
Magufuli alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali, halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe. (Alikuwa na kasoro zake nyingi tu, ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).
Huyu Bikashoo nahisi anaona watu wako poa na kila akiitwa mama ,anasahau kama anavishwa kilemba cha ukoka. Mpaka sasa kuna mambo yameshaanza kupwaya, bado nasubiri kuona uchapa kazi wake, ila kwa sasa naona ni mtu wa mikutano wa kupenda kuhudhuria huku na kule akitoa hotuba na matangazo.
Rais Samia bado hajaonyesha uwajibikaji wa aina yoyote ile ,yupo yupo tu ,labda tusubiri mwezi wa ramadhani uishe, hayo ya kupanga Mawaziri ,makatibu ndani ya srikali na ndani ya Chama chake,si ya kushitua ni yao hayo ,na yeyote aakiipata nafasi hiyo ,hayo anaweza kuyafanya kwa mwembwe kuliko zake.
Ni jambo gani mwananchi anaweza kusema hili limefanyika kutokana na amri au uongozi wake,mimi sijaona kama yupo alieona atuwekee, spika amewaumbua askari polisi na kimeeleweka anachokisema, japo nae hana jema hata moja.
Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.
πππ na mimi mwenyewe Msukuma mkuu, ila mzee wetu alituchafua sana ile haikuwa roho ya Msukuma ile, hatuko hivyo!Dah, mkuu wasukuma wamekufanya nini mbona umejaa sumu hivyo?.
Hii inaitwa hatutaliona jiwe milele! Imekuwa hudhuni kwa Sukuma na Masela, alale pema peponi jiwe.Yaani asubuhi yote hii unaamka na hangover kwa mama? Wacha ujinga mwamba! Mama mbona kazi anapiga fresh tu? Mlizoea kututukana nyie Wasukuma kila uchao! Tukubali tu kwamba Jiwe limefamba na hatutaliona tena!