Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

 

Wasukuma na Utopolo akili zao zinafanana kabisa...
Mwacheni Mama aandike Kitabu chake.
 
Mbona uwezo wako wa kiakiri hauendani na maneno yako au umerogwa braza
Hivi uwezo wa mtu wa kiakili unapimwa na mtu kuwa mjumbe ndio au kukubaliana na kile ambacho wewe unafikiri ni sahihi tu?

I think IQ ya mtu ni based on arguments he/she can make to prove a point!
 
Kwani anayekupinga kwa maneno na hana uwezo wa kufanya unayofanya wewe inakuwa unapungukiwa nini..
Yaani hapo kwako una jirani yako anatangaza kwa watu kuwa huna uwezo wa kuweka umeme nyumbani kwako na wewe uwezo unao na umeme umeweka kwa muhuri zako apo wewe unapungukiwa nini
Kwaio jirani auwawe kwa kuwa kasema ati hauna uwezo wa kuweka umeme ..??
 
kila rais anavipaumbele vyake tuanzie hapo, unaposema vipaumbele pas na shaka unamanisha ni ilani iliyopo kama sio ilani bas wewe nae ni zwazwa huelewi mana ya vipaumbele katika awamu. Huyu rais ni mwendelezo wa mwenzake ambae walikuwa pamoja na ilani ni ile ile moja kwa kipindi cha 10 yr.samia hana kipaumbele chake mbali na vile vya kwenye ilani. La sivyo aje na ilani yake ya miaka 4 iliyobaki.
 
Hivi uwezo wa mtu wa kiakili unapimwa na mtu kuwa mjumbe ndio au kukubaliana na kile ambacho wewe unafikiri ni sahihi tu?

I think IQ ya mtu ni based on arguments he/she can make to prove a point!
Na mimi nakujua una uwezo mkubwa wa argument sasa mbona unatoa argument zenye mashaka
Nikasema za kitoto ntakuwa makosa sababu wapo watoto wenye reasoning na argument SAHIHI kuliko watu wazima
 
Anawezaa
 
Mkuu kwani we ulitaka nani aongoze?
 
Inakera sometimes, sisi kama binadamu tuna nyongo unajua! Kitu ambacho nitafanya tu ni kukuonya kuwa mambo ya kufuatiliana sihitaji fata yako!

Ukiendelea kuingilia njia zangu basi kitachokukuta hutakuwa na sababu ya kunilaumu!
 
Sukuma gang kama sukuma gangs katika ubora wenu nendeni chato ndio mtaamini mwamba wenu apumui tena.
 
SN.BARRY
Povu la nini? Ndo uhuru wenyewe,Mpe elimu tu ya kutosha sio kukimbilia kutukana haisaidii,watu kama hawa wanapaswa kupewa elimu!
Si kila mtu wa kupewa elimu, Tz wameishapita ma Rais wengi tu. Kwanini atumie mfano wa kiongozi mmoja?
 
Yaani asubuhi yote hii unaamka na hangover kwa mama? Wacha ujinga mwamba! Mama mbona kazi anapiga fresh tu? Mlizoea kututukana nyie Wasukuma kila uchao! Tukubali tu kwamba Jiwe limefamba na hatutaliona tena!
Hii inaitwa hatutaliona jiwe milele! Imekuwa hudhuni kwa Sukuma na Masela, alale pema peponi jiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…