Gamal Sankara
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 301
- 265
Jamaa alikuwa populist sana, alikuwa ywapendelea sifa. Mambo ya diplomacy hakuwa anashikanisha.Jpm alikuwa kichaa fulani mwenye roho mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa alikuwa populist sana, alikuwa ywapendelea sifa. Mambo ya diplomacy hakuwa anashikanisha.Jpm alikuwa kichaa fulani mwenye roho mbaya
Akikujibu nishtue mkuuView attachment 1774476safari ya kufuata hii juice ilikua na manufaa gani kwa wananchi walioko nanjilinji?
Kajifunze kuandika kwanza. Kusoma na kuandika tu ni shida, halafu bado unaamini una uwezo wa kufanya analyis and assessment ya achievement ya Rais.Hii nchi tunapoelekea hata sipaon kabisa tunajizika kabisa
Kabla hujaleta sifa za kusifu na kuabudu embu Tuambie kwenye ziara ya Mama na Rais Museven unafikir ni Nan kafaidika na Nan kaliwa kichwa? Watanzania nchi hii tunaiteketeza yani pamoja na mambo yote Rais Samia alio waachia wakenya juu yetu ikiwemo na gas yetu ila wao wameruhusu Mahind tu? Na kuruhusu watu wapite mipakan alafu mama Atarud tz kifua mbele kua katoka kwenye ziara???
Tanzanian hii sijui Tunaenda wap yani kutoka Tanzania mpaka kwenda nchi ambayo inashindwa mamilionea na watz kuwaomba waje kuwekeza ni uji kabisa kwa hasira mpaka point zimeniishia
Hii nchi tunapoelekea hata sipaon kabisa tunajizika kabisa
Kabla hujaleta sifa za kusifu na kuabudu embu Tuambie kwenye ziara ya Mama na Rais Museven unafikir ni Nan kafaidika na Nan kaliwa kichwa? Watanzania nchi hii tunaiteketeza yani pamoja na mambo yote Rais Samia alio waachia wakenya juu yetu ikiwemo na gas yetu ila wao wameruhusu Mahind tu? Na kuruhusu watu wapite mipakan alafu mama Atarud tz kifua mbele kua katoka kwenye ziara???
Rais kawakaribisha wakenya waje kulima tz Sasa najiuliza io ziara alio enda Kenya kuomba tuuze maindi kwao wakenya wakisha Anza kuvuna sijui Hao watanzania watamuuzia Nan yani Kuna vitu mtu anafanya unajiuliza how
Tanzanian hii sijui Tunaenda wap yani kutoka Tanzania mpaka kwenda nchi ambayo inashindwa mamilionea na watz kuwaomba waje kuwekeza ni uji kabisa kwa hasira mpaka point zimeniishia
Kiasi fulani mama kama naanza kutokuelewa hiviHii nchi tunapoelekea hata sipaon kabisa tunajizika kabisa
Kabla hujaleta sifa za kusifu na kuabudu embu Tuambie kwenye ziara ya Mama na Rais Museven unafikir ni Nan kafaidika na Nan kaliwa kichwa? Watanzania nchi hii tunaiteketeza yani pamoja na mambo yote Rais Samia alio waachia wakenya juu yetu ikiwemo na gas yetu ila wao wameruhusu Mahind tu? Na kuruhusu watu wapite mipakan alafu mama Atarud tz kifua mbele kua katoka kwenye ziara???
Rais kawakaribisha wakenya waje kulima tz Sasa najiuliza io ziara alio enda Kenya kuomba tuuze maindi kwao wakenya wakisha Anza kuvuna sijui Hao watanzania watamuuzia Nan yani Kuna vitu mtu anafanya unajiuliza how
Tanzanian hii sijui Tunaenda wap yani kutoka Tanzania mpaka kwenda nchi ambayo inashindwa mamilionea na watz kuwaomba waje kuwekeza ni uji kabisa kwa hasira mpaka point zimeniishia
Nimecheka Sana alienda Zambia pia akatoa kamus ya kiswahili hahaha..Magu aliwahi kwenda Afrika Kusini akapeleka kamusi za kiswahili.[emoji1787][emoji1787]
..ndio fursa aliyokwenda kutafuta South Africa.
Na kuuza ardh piaNimecheka Sana alienda Zambia pia akatoa kamus ya kiswahili hahaha
Lakn jamaa hakumbuki hili la serikal ilijaza mafuta ndege kwenda kuchukua dawa ya mitishamba ya korona na sijui iliishia wapi
KIPI BORA KUPELEKA KAMUSI NCHI ZA NJE AU KUUZA MAHINDI NJE YA NCHI
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe jamaa umenifurahisha mimechekaNenda unapotaka hata Somalia hujagundishwa kukaa hapa.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] wamekosa vyeo na hakuna nafasi ya mapambio na mama anaenda opp na mwendazakeYaani hizi chuki sijui mnazitoa wapi sijui. Sielewi kama ni za kuzaliwa nazo au mmejifunzia ukubwani.
We ulichoona hapo ni kuuza mahindi tu basi??
Tabu sana kama Taifa. Watu gani nyie kila kitu mnatazama negative tu aisee. Hebu badilikeni basi. Na hili tuliliona sana wakati uliopita mlijifunza kuishi na chuki kali sana mioyoni mwenu bahati yenu nzuri mlikuwa mmeshika mpini. Sasa mpini umechomoka ghafla kwenye kisu mmejikuta mmeshika makali bila kupenda. Hebu tulieni maisha yaendelee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1774476safari ya kufuata hii juice ilikua na manufaa gani kwa wananchi walioko nanjilinji?
Nyie wakati mnachoma vifaranga na kula rambirambi na kusafiri Rwanda na Malawi mlitufaidisha na nini?Uwekezaji upi sasa? Ule ule wa kubadili jina kila baada ya miaka 4 kukwepa kodi baada ya kuvuna?
Nenda pale kwa Bakhresa na the like uone kazi za kawaida kabisa zilivyokamatwa na Wahindi, kisha Wakenya, kisha tunalalamika serikali itoe ajira.
Tengeneza mazingira bora kwa manufaa ya nchi kwanza, ukifungua milango, kila mtu aweze kupambania lake, sio hivi mnavyotaka kufanya.
Hakuna suala la tunachelewa. Tumewahi kuuza wanyama, madini, tumebinafsisha vitalu vya uwindaji, tumeuza gesi, viwanda vyote tukawapa wawekezaji n.k, NINI TUMEFAIDIKA? Katika utawala wa miaka 10, siku zinazotimiza miaka 4 taslimu, mkwere alikuwa nje ya Tz, tulifaidika na nini, chandarua?
Mbwa kama nyie ndio mumetutia hasara kwa sababu mnakula salary kwa jasho letu, pumbavu nyieMagufuli was super bana, vitu vidogo kama hivi avifate kenya? Angepiga simu moja tu wasipotaka waache.watanunua wengine au sisi tutakula wenyewe kwani sh ngapi basii??
Ila jpm alikuwa chuma aisee
Hamna kitu hapo.hii issue ya mahindi ni ndogo sana ukilinganisha na mambo makubwa anayotakiwa kufanya kwa sasa. Kwanza hakutakiwa kwenda kama aliona ni la muhimu sana ilibidi amtume hata waziri.tatizo si kuwa chuma. hata ww unaeza kuwa chuma.. ila urais si kumaga kampuni.. unamanage 60mil people na resources ziwatoshe.
kula maindi kutaleta maendeleo gani?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] yule jamaa alikuwa ni kiazi hajui kutengeneza fursa kwa watu wake ,alikalia Tzn ni tajiri kwa hiyo?..Magu aliwahi kwenda Afrika Kusini akapeleka kamusi za kiswahili.[emoji1787][emoji1787]
..ndio fursa aliyokwenda kutafuta South Africa.
Hamna kitu hapo.hii issue ya mahindi ni ndogo sana ukilinganisha na mambo makubwa anayotakiwa kufanya kwa sasa. Kwanza hakutakiwa kwenda kama aliona ni la muhimu sana ilibidi amtume hata waziri.
Lazima aangalie mambo makubwa yenye kuleta maendeleo, issue ya mahindi ni minor kabisa.