Come ooon!!!! Uzito kwenye mahindi? Seriously??Jinga kabisa.
Kuna uzito wa kuonana mtu ana kwa ana na kumpigia simu.
Wewe unaetegemea salary unajua nini ilipo hapo fala wewetatizo si kuwa chuma. hata ww unaeza kuwa chuma.. ila urais si kumaga kampuni.. unamanage 60mil people na resources ziwatoshe.
kula maindi kutaleta maendeleo gani?
Mambo yapi yataje hapaHamna kitu hapo.hii issue ya mahindi ni ndogo sana ukilinganisha na mambo makubwa anayotakiwa kufanya kwa sasa. Kwanza hakutakiwa kwenda kama aliona ni la muhimu sana ilibidi amtume hata waziri.
Lazima aangalie mambo makubwa yenye kuleta maendeleo, issue ya mahindi ni minor kabisa.
Hii nchi tunapoelekea hata sipaon kabisa tunajizika kabisa Kabla hujaleta sifa za kusifu na kuabudu embu Tuambie kwenye ziara ya Mama na Rais Museven unafikir ni Nan kafaidika na Nan kaliwa kichwa? Watanzania nchi hii tunaiteketeza yani pamoja na mambo yote Rais Samia alio waachia wakenya juu yetu ikiwemo na gas yetu ila wao wameruhusu Mahind tu? Na kuruhusu watu wapite mipakan alafu mama Atarud tz kifua mbele kua katoka kwenye ziara??? Rais kawakaribisha wakenya waje kulima tz Sasa najiuliza io ziara alio enda Kenya kuomba tuuze maindi kwao wakenya wakisha Anza kuvuna sijui Hao watanzania watamuuzia Nan yani Kuna vitu mtu anafanya unajiuliza how Yani Rais wetu hajamaliza migogoro ya Ardh tanzania Kuna watu wanauana ila kapanda ndege kwenda Kenya kuwaahid watu Ardhi Tanzanian hii sijui Tunaenda wap yani kutoka Tanzania mpaka kwenda nchi ambayo inashindwa mamilionea na watz kuwaomba waje kuwekeza ni uji kabisa kwa hasira mpaka point zimeniishia
Kwani Kuna wakenya wangap wanaish mipakan kwao uko na wala serikal yao haijal na imesubir mpaka sis tuingie kichwa kichwaKuna watanzania wengi wanaishi mipakani huko wanategemea biashara kati ya hizi nchi mbili maisha yao yasogee, wewe ukiona hakuna maana kuna wenzio wanaona maana ipo.
Kavuta wawekezaji toka Kenya waje kuwekeza hapa, unaweza pata ajira au hata ufanye biashara jirani na alipo muwekezaji (duka, babalishe etc) tulalamike kwa mambo ya msingi tu wandugu, sio yote.
Tumekuwa frustrated sana, tuwe na subira mambo hubadilika taratibu.
Tuambie lingine ulilo sikia wewe tofaut na mahindi na mipaka?Hapa nimegundua Watanzania wenzangu kama mleta mada hapa ni wajibu kufuatilia mambo.
Yaani wanayuatilia headline ya maandishi matatu kutoka kurasa ya FB ya Millard Ayo kisha wanaandika ujinga kama huu kwenye jukwaa la great thinkers.
Nimefuatilia ziara ya Rais toka inaanza kiukweli kulikuwa na mijadala ya namna ya kuboresha mahusiano ya kibiashara baina ya nchi hizi mbili. Awali wadau mbalimbali kutoka Kenya na Tanzania walitema madini mazito kabla ya Marais kufika kwenye ukumbi.
Pia mengi yamejadiliwa ambayo yakifanyiwa kazi yatatupeleka kwenye tija kiuchumi zaidi ya anacholeta huyu jamaa kwenye bandiko ambaye anaonekana hakufuatilia chochote zaidi ya kusoma kipeperushi cha Millard Ayo.
Let's discuss things critically. Mleta bandiko huna lolote
Haiwezekani kufurahisha kila Mtu.
Hii apple punch walikunywa wao tu....😂😂😂View attachment 1774476safari ya kufuata hii juice ilikua na manufaa gani kwa wananchi walioko nanjilinji?
wamezowea ukatili wa kuchoma moto vifaranga kutoka kenya hawa wana roho chafuYaani hizi chuki sijui mnazitoa wapi sijui. Sielewi kama ni za kuzaliwa nazo au mmejifunzia ukubwani.
We ulichoona hapo ni kuuza mahindi tu basi??
Tabu sana kama Taifa. Watu gani nyie kila kitu mnatazama negative tu aisee. Hebu badilikeni basi. Na hili tuliliona sana wakati uliopita mlijifunza kuishi na chuki kali sana mioyoni mwenu bahati yenu nzuri mlikuwa mmeshika mpini. Sasa mpini umechomoka ghafla kwenye kisu mmejikuta mmeshika makali bila kupenda. Hebu tulieni maisha yaendelee.
Magufuli alituwezesha kuuza nini?Hii nchi tunapoelekea hata sipaon kabisa tunajizika kabisa
Kabla hujaleta sifa za kusifu na kuabudu embu Tuambie kwenye ziara ya Mama na Rais unafikir ni Nan kafaidika na Nan kaliwa kichwa? Watanzania nchi hii tunaiteketeza yani pamoja na mambo yote Rais Samia alio waachia wakenya juu yetu ikiwemo na gas yetu ila wao wameruhusu Mahind tu? Na kuruhusu watu wapite mipakan alafu mama Atarud tz kifua mbele kua katoka kwenye ziara???
Rais kawakaribisha wakenya waje kulima tz Sasa najiuliza io ziara alio enda Kenya kuomba tuuze maindi kwao wakenya wakisha Anza kuvuna sijui Hao watanzania watamuuzia Nan yani Kuna vitu mtu anafanya unajiuliza how
Yani Rais wetu hajamaliza migogoro ya Ardh tanzania Kuna watu wanauana ila kapanda ndege kwenda Kenya kuwaahid watu Ardhi
Tanzanian hii sijui Tunaenda wap yani kutoka Tanzania mpaka kwenda nchi ambayo inashindwa mamilionea na watz kuwaomba waje kuwekeza ni uji kabisa kwa hasira mpaka point zimeniishia
hahahaa hunijui sikujui. instead of kutukuana hapa.stick to the topicWewe unaetegemea salary unajua nini ilipo hapo fala wewe
Tuendelee hivyo hivyo, muamuzi mzuri ni muda.Nyie wakati mnachoma vifaranga na kula rambirambi na kusafiri Rwanda na Malawi mlitufaidisha na nini?
kwamba kabla hajaenda haku consider hilo? aliamka tu na kukurupuka kwenda?Hamna kitu hapo.hii issue ya mahindi ni ndogo sana ukilinganisha na mambo makubwa anayotakiwa kufanya kwa sasa. Kwanza hakutakiwa kwenda kama aliona ni la muhimu sana ilibidi amtume hata waziri.
Lazima aangalie mambo makubwa yenye kuleta maendeleo, issue ya mahindi ni minor kabisa.
Nonsense!Hii nchi tunapoelekea hata sipaon kabisa tunajizika kabisa
Kabla hujaleta sifa za kusifu na kuabudu embu Tuambie kwenye ziara ya Mama na Rais unafikir ni Nan kafaidika na Nan kaliwa kichwa? Watanzania nchi hii tunaiteketeza yani pamoja na mambo yote Rais Samia alio waachia wakenya juu yetu ikiwemo na gas yetu ila wao wameruhusu Mahind tu? Na kuruhusu watu wapite mipakan alafu mama Atarud tz kifua mbele kua katoka kwenye ziara???
Rais kawakaribisha wakenya waje kulima tz Sasa najiuliza io ziara alio enda Kenya kuomba tuuze maindi kwao wakenya wakisha Anza kuvuna sijui Hao watanzania watamuuzia Nan yani Kuna vitu mtu anafanya unajiuliza how
Yani Rais wetu hajamaliza migogoro ya Ardh tanzania Kuna watu wanauana ila kapanda ndege kwenda Kenya kuwaahid watu Ardhi
Tanzanian hii sijui Tunaenda wap yani kutoka Tanzania mpaka kwenda nchi ambayo inashindwa mamilionea na watz kuwaomba waje kuwekeza ni uji kabisa kwa hasira mpaka point zimeniishia
Tuwaulize mliogeuka pinga pinga waenzi hizi mnaelekea walk,mnakwama wapi,tuanzie happy kwanza.Hii nchi tunapoelekea hata sipaon kabisa tunajizika kabisa
Kabla hujaleta sifa za kusifu na kuabudu embu Tuambie kwenye ziara ya Mama na Rais unafikir ni Nan kafaidika na Nan kaliwa kichwa? Watanzania nchi hii tunaiteketeza yani pamoja na mambo yote Rais Samia alio waachia wakenya juu yetu ikiwemo na gas yetu ila wao wameruhusu Mahind tu? Na kuruhusu watu wapite mipakan alafu mama Atarud tz kifua mbele kua katoka kwenye ziara???
Rais kawakaribisha wakenya waje kulima tz Sasa najiuliza io ziara alio enda Kenya kuomba tuuze maindi kwao wakenya wakisha Anza kuvuna sijui Hao watanzania watamuuzia Nan yani Kuna vitu mtu anafanya unajiuliza how
Yani Rais wetu hajamaliza migogoro ya Ardh tanzania Kuna watu wanauana ila kapanda ndege kwenda Kenya kuwaahid watu Ardhi
Tanzanian hii sijui Tunaenda wap yani kutoka Tanzania mpaka kwenda nchi ambayo inashindwa mamilionea na watz kuwaomba waje kuwekeza ni uji kabisa kwa hasira mpaka point zimeniishia