Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

tulishasema toka mwanzo kbs hpo hamna kitu,tuliliwa mapema mno sasa kinachotokea nadhani kila mmoja anajionea

dawa za kuleeeee ,ujambazi,kuporoka mapato,kurudi kuwa omba omba itachukua miaka mingi sana kupata dira ya tuliyokuwa tumeipata pengine hiki kizazi kitapita lkn sio sasa

ngojeni moto ukolee wa kutawanya rasilimali za nchi nadhani tutaelewana tu
 
Nenda kaufufueni ule mzoga wenu kule kenge nyinyi,
 
Wasukuma mtatembea mkiongea peke yenu safari hii mbwa nyinyi
 
Matagaa tuliwaambia akili ndogo haiwezi shindana na akili kubwa ona Sasa mmebaki yatima
 
Umasikini tu,,, hakuna kingine..

Huwezi kufikiri kitajiri kama hujawai kuwa tajiri...
 
Ondoa neno Tajiri.... Weka mwajiri.....
Sasa Ukiona kuajiliwa ni utumwa jiajiri
 
Nikisemaga hawa Jamaa ni Mazezeta nina maanisha hawa mataga uzezeta wa fikra hawajui vipaumbele hawajui sisi kama Taifa tunataka nini.

Ajira Ajira Ajira Mama afungue Nchi tupate Ajira
badala ya kuwaza kuwekeza na kuajiri unawaza ajira 1q CXCR4 GP120 zimeumana
 
Poverty mentality. Typical poor african thinking
without poor people then hakuna matajiri thats the truth, kama kila mtu akigaiwa pesa zote duniani kiusawa kila mtu duniani ataoata tsh mil 40, kwahio kila anaetengeneza zaidi ya mil 40 anakula pesa ya mtu mwingine!
 
Huyu ni mshamba mwenye akili za kimasikini! Huyu ni jamii ya wale walioamini Magufuli atatawala milele! Pole sana ngh'wanone!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…