Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Kikundi cha wapumbavu kama mleta maada ni cha kutokomezwa hiki kinadhani business as usual inaendelea
 
kiongozi aliyefeli yeye na wafuasi wake huwa hawajiamini yaani ukiandika ujumbe hata hauwahusu wao na kiongozi wao wanakuja juu kukushambulia

kiongozi aliyefeli unaweza kumwambia kuwa umetishaa na akafurahi na akajiona kweli yuko matawi hata siku kama ana mwezi mmoja madarakani

kiongozi wa namna hii na wafuasi wake huishia kuaibika kupoteza mvuto na kuleta mateso na manyanyaso kwa wananchi wako
 
Poleni mwenda zake ndo kafa hata mukisema sana hatafufuka, bora Mungu katuponyesha kupigwa risasi na kutekwa kila siku bora nguruwe alikuwa na thamani kuliko mwendazake aliyekuwa amekosa utu.
 
Safari imepwaya imejaa maigizo yanayoleta hofu ya safari yetu ya kujijengea heshima yetu

safari hii imekuwa ya kujishusha sisi yaani tunaonekana ni wakosaji hatuwez

Yule rubani wa kwanza alikuwa akitupa hamasa na nguvu ya kupambaba na kutuambia tunaweza

huyu rubani aliyefuata anatupa hofu tu anajipendekeza tu anatafuta sifa za kulazimisha ambazo hajazifanyia kazi
unataka mama aendelee naule ubabe wakishamba??
anapowaweza zaid nipale anaposema yeye namwendazake nikitu kmoja
 
Ukiona unashangiliwa na chadema rudi ujitazame haraka unakwama wapi.

20210501_204107.jpg
 
Mkuu lengo lako hasa nini, mbn kama umetumwa uvuruge chama na serikali kwa ujumla? Ulianza na JK na familia yake, leo umehamia kwa mama, kesho hatujui utarukia kwa nani na kwa masilahi ya nani na pia unapata faida gani!!
Anasema ukweli, Samia akumbuke kilichompata JK 2010
 
Back
Top Bottom