Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, zezeta yuko ubeleji anashikishwa ukuta na akina rob amsterMazezeta ndio wataomkubuka Shujaa wao wa Mazezeta
unataka mama aendelee naule ubabe wakishamba??Safari imepwaya imejaa maigizo yanayoleta hofu ya safari yetu ya kujijengea heshima yetu
safari hii imekuwa ya kujishusha sisi yaani tunaonekana ni wakosaji hatuwez
Yule rubani wa kwanza alikuwa akitupa hamasa na nguvu ya kupambaba na kutuambia tunaweza
huyu rubani aliyefuata anatupa hofu tu anajipendekeza tu anatafuta sifa za kulazimisha ambazo hajazifanyia kazi
Ukiona unashangiliwa na chadema rudi ujitazame haraka unakwama wapi.
Anasema ukweli, Samia akumbuke kilichompata JK 2010Mkuu lengo lako hasa nini, mbn kama umetumwa uvuruge chama na serikali kwa ujumla? Ulianza na JK na familia yake, leo umehamia kwa mama, kesho hatujui utarukia kwa nani na kwa masilahi ya nani na pia unapata faida gani!!
Sisi yetu ni kusema'mtanikumbuka'