TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,465
- 3,459
Wai na gwajima mkamfufue,wenzio washaendaPole mkuu, tunajua uliumizwa sana
kutengeneza kwa siku 3million mara mzoga ukakufanya utengeneze elfu 3 kwa siku si mchezo
Kama ulikuwa clean, unaingiza kipato bila shida, wala hauna janja janja, JPM alipendeka
sasa hata unikasirikia,mzoga umelala na sina namna ya kukurudishia upate 3m kwa siku
Utakasirika mpaka unakufa, Mwamba ule mtausema kila siku mpaka kushtuka usingizini
Nikaumbie kitu?
Forever anabaki shujaa kwangu!!!
inauma hee ....jizabe kibao
ili umkomoe nani?So kwa akili yako miradi ya Chato nayo ataendeleza? Hata daraja la Busisi tunapiga chini kwanza
SiendiKwendraaaaaaaa una mwambia mleta mada atafute kazi wewe nani kakwambia hana kazi? Mmezoea lelelemama ndo maana mnamchukia jpm
Sas a hivi Wafanyabiashara wengi hawatoi risiti za EFD wanatoa za makaratasi kwa kisingizio kwamba mashine ni mbovu. Samia endelea kuwatetea Wafanya biashara wa Bongo huku ukiwaponda TRA, utavuna mabuaMama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Good ongeza tusi jingine ufurahi.Duu kweli mwanamke mwenye midomo myeusi kama ya kunguru huwa kicheche
Haki ya Faragha mambo ya chumbani yabaki chumbaniMkuu, zezeta yuko ubeleji anashikishwa ukuta na akina rob amster
Mzoga wenu unaliwa mtaro na funzaMkuu, zezeta yuko ubeleji anashikishwa ukuta na akina rob amster
Mmmm!!wapi alisema kuwa vibali vya kazi amefuta?uhuru yeye ndie amefuta vibali hivyo, kuhusu gesi, ina maana, wewe uganda na zambia wanakuuzia umeme, je wanafanya kosa?nyie pambaneni muwavutie wawekezaji waje wajenge viwanda, duniani kote kama una nishati ya kutosha lakini, lazima uwauzie majirani zako, wale walioko mbali zaidi ndio watakuja kujenga viwanda kwako, sasa kila anayetaka, umwambie eti aje kujenga kiwanda kwako?inaingia akilini hiyo?kwani kenya mbona anawauma sana wakuu?mtu aliyekuzidi , kimaendeleo , kumchukia hakukufanyi umzidi, cha msingi changa karata zako vizuri uone kupitia kwake unaweza inuka vipi, kwa hiyo huyo meko aliyekuwa anasema kuwa umeme huo wa bwawa la nyerere tutakuwa tunauuza nje , je walengwa walikuwa ni nchi gani?, ni majirani zetu au mtauuza CAPE VERDE?, CHINA, AUSTRALIA, mbali huko(hahaa)ili hata wakijenga viwanda ni mbali huko?!!Rais wetu ,mama Samia ,ulipofanya ziara huko Kenya ,nilitegemea kwamba utawashawishi wakenya waje wafanye uwekezaji.DFI.Ili tuweze kupata kodi,ajira na technology. Hii ingetusaidia sana kusonga mbele,kwa kuwa tungepata mapato ya kodi,vijana wetu ambao hawana ajira wangepata ajira sasa.Na ungewambia waje wajenge viwanda hapa Ili tupate technology. Nimeshituka na kushangazwa ,eti unasema unaondoa vibali vya ajira.Ina maana haujui hatuna ajira?Unataka waje huku waajiriwe,na sisi tuwe tunaangalia tu?Unapeleka gesi huko Kenya.Kwanini hukuwambia waje wajenge viwanda hapa Bongo Ili tufaidike .Kuwapelekea gesi ,je umeshafanya cost benefit analysis? Kwamba wataendelea na viwanda huko kwao,huku hakuna.Tutajenga bomba.Tutatumia gharama.Kwann wasingekuja hapa kwetu?Wapatie gesi hapa kwetu na ajira kwa watu wetu .Na kodi ingeingia nyingi.Nimeshituka na kusikitishwa sana.
Wai na gwajima mkamfufue,wenzio washaenda
Kama tumeshindwa kuleta tija tulipoaminiwa ,acha tujifunze kutoka kwa wenzetu huenda,akili zikatukaa sawa na kuacha uvivu na mchezo pindi tuwapo makazini.Rais wetu ,mama Samia ,ulipofanya ziara huko Kenya ,nilitegemea kwamba utawashawishi wakenya waje wafanye uwekezaji.DFI.Ili tuweze kupata kodi,ajira na technology. Hii ingetusaidia sana kusonga mbele,kwa kuwa tungepata mapato ya kodi,vijana wetu ambao hawana ajira wangepata ajira sasa.Na ungewambia waje wajenge viwanda hapa Ili tupate technology. Nimeshituka na kushangazwa ,eti unasema unaondoa vibali vya ajira.Ina maana haujui hatuna ajira?Unataka waje huku waajiriwe,na sisi tuwe tunaangalia tu?Unapeleka gesi huko Kenya.Kwanini hukuwambia waje wajenge viwanda hapa Bongo Ili tufaidike .Kuwapelekea gesi ,je umeshafanya cost benefit analysis? Kwamba wataendelea na viwanda huko kwao,huku hakuna.Tutajenga bomba.Tutatumia gharama.Kwann wasingekuja hapa kwetu?Wapatie gesi hapa kwetu na ajira kwa watu wetu .Na kodi ingeingia nyingi.Nimeshituka na kusikitishwa sana.
You should accept he is in hell burning theremnavotoa hukumu Nyie Mungu?
poor thinking capacity shame on you......................So kwa akili yako miradi ya Chato nayo ataendeleza? Hata daraja la Busisi tunapiga chini kwanza
Huna uwezo huo.Ndio tunachotaka atekeleze miradi tutampa kura tofauti na hapo tutamfurusha yeye na CCM yake