JF watu wanajua kutoa makavu jamani.Wewe tunakujua kuwa ni mpinga maendeleo na utangamano kwa watanzania.
Na uliingia nchini kutoka burundi kuja muvuruga umoja wetu.
Comments reservedNi kweli sasa Raisi Samia anafuata nyayo za Mareemu Magufuli na kila siku zinavyozidi kwenda ndivyo nae anavyozidi kuzoea mazingira mepya ,tunasema ameanza kushika hatamu za uongozi na kuanza kujijengea himaya.
Nionavyo hana jipa ni yayo kwa yayo maji ya futi na nyayo.
Ni bora sasa CCM tujipange kuwa na chaguo la Raisi mwenye muelekeo,huyu hadi leo namuona bado anapapasa ,na ameshaanza kushindwa kushughulikia hotuba ya mkaguzi wa mahesabu,wakuu tuelezeni ni wapi ameyachukulia hatua maovu yote yaliyogundulika na kugunduliwa na CAG.
Raisi Samia sasa namuona ni mutu au Raisi wa matukio,tutarajie kumuona sana kwenye makongamano mahafali ,a mambo makubwa makubwa ikiwemo misafara huenda akamshinda vasco wa Tz.
Hiyo ni kusema CCM mumeshindwa kuongoza , kila anayekuja anakuja na visa vyake.Ni kweli sasa Raisi Samia anafuata nyayo za Mareemu Magufuli na kila siku zinavyozidi kwenda ndivyo nae anavyozidi kuzoea mazingira mepya ,tunasema ameanza kushika hatamu za uongozi na kuanza kujijengea himaya.
Nionavyo hana jipa ni yayo kwa yayo maji ya futi na nyayo.
Ni bora sasa CCM tujipange kuwa na chaguo la Raisi mwenye muelekeo,huyu hadi leo namuona bado anapapasa ,na ameshaanza kushindwa kushughulikia hotuba ya mkaguzi wa mahesabu,wakuu tuelezeni ni wapi ameyachukulia hatua maovu yote yaliyogundulika na kugunduliwa na CAG.
Raisi Samia sasa namuona ni mutu au Raisi wa matukio,tutarajie kumuona sana kwenye makongamano mahafali ,a mambo makubwa makubwa ikiwemo misafara huenda akamshinda vasco wa Tz.
Benzi linagharimu Tshs 250,000,000?
Labda reconditioned au second hand...
Mercedes Benz Brand New kutegemeana na model ina bei kati ya $600,000 na 3,000,000 (kabla ya kodi na tozo zingine)
View attachment 1779262
Lol, kumbe unajitafutia ulaji? Wabongo acha kabisa !NB: Naomba nafasi kwenye DCT nikusaidie Mama yangu.
Yeah, tena nimebadili kabisa na ID. Yaani nipo very determined yaani. Sitaki tena kuchat kijinga kijinga mtandaoni, nachat ki manufaa zaidi na kuonyesha potential yangu kwa wanaonifuatilia. Yaani sasa hv nipo ki manufaa zaidi ujinga ujinga tupe kule. Ndio.Lol, kumbe unajitafutia ulaji? Wabongo acha kabisa !
Yupo wapi?Tunaye zaidi ya mtetezi wa wanyonge.
Yani aje yupi mwingine? Tatizo mmezoea dezo, the universe is a wicked place, it's a gang world, there is no place for the innocent.Najua walalahoi wengi, mama ntilie, wamachinga na wakulima wanahofu kubwa kuwa itakuwaje sasa baada ya mtetezi wa wanyonge kuondoka kiaina. Wengi mpaka sasa vichwa vinagonga na kuhoji. Itakuwaje sasa maana mtetezi wao alikuwa akitoa tamko nchi nzima inatambua kuwa kuna tamko limetoka..
Kweli Mungu ni mwema kusikia sala za Watanzania walio wengi kuukataa unyonge ulioasisiwa na jiwe.Najua walalahoi wengi, mama ntilie, wamachinga na wakulima wanahofu kubwa kuwa itakuwaje sasa baada ya mtetezi wa wanyonge kuondoka kiaina. Wengi mpaka sasa vichwa vinagonga na kuhoji. Itakuwaje sasa maana mtetezi wao alikuwa akitoa tamko nchi nzima inatambua kuwa kuna tamko limetoka...
Mama Samia SuluhuYupo wapi?