Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hujielewi tatizo la kichwa yako naona USUKUMA unakusumbuaDont cry for a little boy.
Hatukujua kama msiba huu utawacha msibani jamani!Najua walalahoi wengi, mama ntilie, wamachinga na wakulima wanahofu kubwa kuwa itakuwaje sasa baada ya mtetezi wa wanyonge kuondoka kiaina. Wengi mpaka sasa vichwa vinagonga na kuhoji. Itakuwaje sasa maana mtetezi wao alikuwa akitoa tamko nchi nzima inatambua kuwa kuna tamko limetoka...
Najua we mhalifu ujumbe nilioutoa unakuuma sana. Maana wewe ni mtu usiefaa.Hatukujua kama msiba huu utawacha msibani jamani!!!
Kwani ni kweli hamuwezi kuishi bila mjomba wenu?
Hahahaha si mlisema hakuna kiongozi mwingine atakuja kuwepo Kama mwendazake? Hata mkampa utukufu asioustahili? Pumbavu kabisaNajua walalahoi wengi, mama ntilie, wamachinga na wakulima wanahofu kubwa kuwa itakuwaje sasa baada ya mtetezi wa wanyonge kuondoka kiaina. Wengi mpaka sasa vichwa vinagonga na kuhoji. Itakuwaje sasa maana mtetezi wao alikuwa akitoa tamko nchi nzima inatambua kuwa kuna tamko limetoka..
Huyo aliyekuwa anaita watu wanyonge halafu yeye kazungukwa na mitutu na magari lundo yamemzunguka.Najua walalahoi wengi, mama ntilie, wamachinga na wakulima wanahofu kubwa kuwa itakuwaje sasa baada ya mtetezi wa wanyonge kuondoka kiaina. Wengi mpaka sasa vichwa vinagonga na kuhoji. Itakuwaje sasa maana mtetezi wao alikuwa akitoa tamko nchi nzima inatambua kuwa kuna tamko limetoka...
Hiyo fokafoka ni wewe wasemaMnataka anaye fokafoka kama kifaru? Nani aliwadanganya kuwa kufoka foka ndio uongozi?
Anapatikana sana Chamwino na MagogoniYupo wapi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani aje yupi mwingine? Tatizo mmezoea dezo, the universe is a wicked place, it's a gang world, there is no place for the innocent.
Keep on playing innocent mtakoma mlizoea kujinyongesha mnanunuliwa mapapai tu. Watu tunahitaji zaidi ya mapapai na mahindi ya kuchoma.
Alisema tutahama mjini na hatujahama na mlifurahia sana , sasa nanyi mtahama mjini. Zamu yenu
Tena bila ya uchaguziTimu Chato mnahangaika sana, Kiongozi tumeshapewa na Mungu tayari...wewe subiria ufufuo
Najua walalahoi wengi, mama ntilie, wamachinga na wakulima wanahofu kubwa kuwa itakuwaje sasa baada ya mtetezi wa wanyonge kuondoka kiaina. Wengi mpaka sasa vichwa vinagonga na kuhoji. Itakuwaje sasa maana mtetezi wao alikuwa akitoa tamko nchi nzima inatambua kuwa kuna tamko limetoka...
Mungu ni fundi sana, tumehangaika na mauchaguzi yeye anatuchora tu, kwa wakati wake ametuletea chombo ndani ya box, asante MunguTena bila ya uchaguzi
Umemsahau bwana yule aliye kuwa anatukana watu majukwaani umesha msahau mapema hivi kweli hukumpenda.Hiyo fokafoka ni wewe wasema
Hamna kitu hapo, tumelamba garasa.Tunay
Tunaye zaidi ya mtetezi wa wanyonge.