Timu Chato mnahangaika sana, Kiongozi tumeshapewa na Mungu tayari...wewe subiria ufufuoNajua walalahoi wengi, mama ntilie, wamachinga na wakulima wanahofu kubwa kuwa itakuwaje sasa baada ya mtetezi wa wanyonge kuondoka kiaina. Wengi mpaka sasa vichwa vinagonga na kuhoji. Itakuwaje sasa maana mtetezi wao alikuwa akitoa tamko nchi nzima inatambua kuwa kuna tamko limetoka...
Kwa waliokwamia awamu iliyopita kamwe hawawezi kumwona ila walio awamu ya sita wanaweza kuona.Yupo wapi?
Timu Chato mnahangaika sana, Kiongozi tumeshapewa na Mungu tayari...wewe subiria ufufuo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani aje yupi mwingine? Tatizo mmezoea dezo, the universe is a wicked place, it's a gang world, there is no place for the innocent.
Keep on playing innocent mtakoma mlizoea kujinyongesha mnanunuliwa mapapai tu. Watu tunahitaji zaidi ya mapapai na mahindi ya kuchoma.
Alisema tutahama mjini na hatujahama na mlifurahia sana , sasa nanyi mtahama mjini. Zamu yenu
Dont cry for a little boy.Yani aje yupi mwingine? Tatizo mmezoea dezo, the universe is a wicked place, it's a gang world, there is no place for the innocent.
Keep on playing innocent mtakoma mlizoea kujinyongesha mnanunuliwa mapapai tu. Watu tunahitaji zaidi ya mapapai na mahindi ya kuchoma.
Alisema tutahama mjini na hatujahama na mlifurahia sana , sasa nanyi mtahama mjini. Zamu yenu
Na wewe uzidi kufokolewa huku, ngoma dorooAendelee kufokolewa huko na wazungu
Ameisha mwinua Mama Samia ndo maana umeona amekuwa rais bila kuiba kuraNajua walalahoi wengi, mama ntilie, wamachinga na wakulima wanahofu kubwa kuwa itakuwaje sasa baada ya mtetezi wa wanyonge kuondoka kiaina. Wengi mpaka sasa vichwa vinagonga na kuhoji. Itakuwaje sasa maana mtetezi wao alikuwa akitoa tamko nchi nzima inatambua kuwa kuna tamko limetoka...