Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Binafsi nashauri uhame nchi kama umeumia sana, Jiwe is no more, gereza liko wazi sepa zako acha kuwa mtumwa wa kujitakia
 
Cha kupoteza unacho, na bado vipo vingi vitapotea, wew kaa kwa kutulia usikilizie tu. Yaani mimi siku bashite naye akichunguzwa ntakuwa na raha sana
 
Aisee wewe ni mpuuzi kweli.
wakati wa Jiwe alikuwa anademka tu katikati ya mkutano wamama wakiwa wananengua anawauliza"nimtumbue nisimtumbue ?"mtumbueeeeeee!anamtumbua kweli,hakuna cha uchunguzi wala nini

Sasa mama kamsimamisha kazi Kwa uchunguzi,na huo ndio utaratibu mzuri wa kiuongozi na kiutumishi.
Funza Kama wewe unalalamika Wakati Jiwe ulikuwa unaona sawa
 
Hiki unachohubiri kilikuwa kinafanyika kipindi kile ..hivi sasa hicho hakipo ndio maana kunafanyika uchunguzi.
Tafuta ajenda nyingine.
 
Kwamba miaka mitano ya utawala wa jiwe ulikiwa shimoni ndio umeibuka sasa hivi?!
Hi

Hiyo kama kweli ilitokea mie siiungi mkono! Ni mbaya sana kuonewa i see!
 
Heh, usenge tena!? Kama wamefilisiwa kwa mujibu wa sheria sioni shida! Hata hivyo kwa siasa za wapinga vyote walioionesha miaka ya hivi karibuni...kufirisiwa lilikuwa fungu lao😜!
Na kwa siasa za uhasama mlizofundishwa na mwendazake, kuchunguzwa ni fungu lenu. Vumilieni tu machungu kama tuliyoyavumilia kipindi cha mwendazake
 
Kundi hili jaman linateseka 🤣🤣🤣👆👆👆 halaf ndo miez miwil tu shubaaamiiit!!!
 
Na kwa siasa za uhasama mlizofundishwa na mwendazake, kuchunguzwa ni fungu lenu. Vumilieni tu machungu kama tuliyoyavumilia kipindi cha mwendazake
Nyie tuchunguzeni tu, mtakapomaliza kutuchunguza, nchi itakuwa low income country tena chini ya somalia na south sudan! Yetu macho kushuhudia mnaanza tembeza bakuli😠😠!
 
Ndomu imekutwa na Yale Maji kabisa na walikuwa uchi ndio walikuwa wanaingia round ya pili ulitaka ushahidi UPI mkuu watu wameanza kumuimba tangu lini jamaa kuwa ni Kero ushahidi wa clips nyingi tu kwanza mama ni mstaarabu unakumbuka tumbua ya makufuli wewe? Anakutengua mkutanoni ...au mkuu ulikuwa moja ya wale bodyguards?
..wewe nyamaza bhannaa Jamaa alishaona yuko juu ya police...tulia Dawa iingie
 
Labda ingawa Kuna Kila sababu ya kufanya uchunguzi
Your browser is not able to display this video.
 
Kwa mara ya kwanza naweza kujikuta sipingi kura 2025
 
Huyu atakuwa OLE huyu co kwa mapovu haya
 
Kuna watu wanajua kukopa then wanadanganya chawa wao(ukiwemo wewe) kwambi ni pesa za ndani, deni limepaa hatari, pole vumilia tu utapona
 
Huu mwaka mama atawapeleka ninyi msiopenda kufuata sheria mpaka mioyoyenu ivimbe na ipasuke yaani
 
Mbona inatumika nguvu Kubwa sana kumtetea ole sabaya
 
Mama hana tabia za baba yenu mwenda zake. Mshukuruni kwa hili anafuata sheria kwa kumpa mtuhumiwa nafasi ya kusikilizwa. Huu ndio uongozi. Shida ni kwamba huku kusikilizwa kama kukipatikana na ushahidi wa kutosha kijana wenu atakwenda kukaguliwa na ile ndikolo yake itaonekana. Mpeni pole, mfarijini pia kwamba huu ndio uongozi, ajifunze huku na sio kule kwa mtawala alikokuwa.
Kama anauhakika na hizo allegations kwa nini asimtumbue nq kuteua wengine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…