Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo sio mnyonge,huyo ni yule ambaye elimu yake ni majungu,mjinga.
Education may be? Madrasa kiembesamaki Zanzibar. If I was CCM, I would have gone for MwinyiHaya hapa makosa ya umakini ya Rais Samia Suluhu Hassan ambayo nimeya-notice tangu maandalizi mpaka muda alipoingia ofisini. Kama yapo mengine maGT mtaonngezea:
Siku anatangaza taarifa ya msiba wa jpm alifanya makosa mawili:
1. Mapumziko siku 14 badala ya 21
2. Kifo cha JPM kilisababishwa na tatizo la mfumo wa umeme, baadaye akajirudi akasema tatizo la moyo wa mfumo wa umeme.
Siku anafanya kikao cha kwanza cha baraza la mawaziri...
3. alichanganya kalamu ya wino mweusi badala ya mwekundu
Siku anateua wakurugenzi...
4. Aliteua Mkurugenzi asiye na sifa na kumuacha mwenye sifa na baadaye kutengua uteuzi wa asiye na sifa na kumrejesha mwenye sifa.
Bunge la Jamhuri/Bunge la Katiba...
5. Mara moja au mara mbili amekuwa akitaja Bunge la Katiba wakati anapashwa kusema Bunge la Jamhuri.
Vyombo vya habari vilivyofungiwa...
6. Alisikika akisema vyombo vya habari vilivyofungiwa (akitolea mfano online tv na vingine) vifunguliwe lakini badae kauli ile ikahitaji kutolewa ufafanuzi na wasaidizi wake kuwa alimaanisha online tv pekee.
Mpaka sasa nimeona kuna hizo makosa 6 ambazo kwa maoni yangu ni nyingi mno kwa muda ambao amekuwa ofisini.
ushauri rahisi: ajitahidi akiwa kwenye mimbari awe na glass ya maji.
Lakini mbona siri ishavuja? kuna habari inatrendi leo...very sadkuna taratibu na sheria. ndio maana si kila kitu raia wanatakiwa wajue.
kuna nyaraka za siri.. na kila siri ina level nani ajue nani asijue.
Ni utaratib wa ki usalama nchi nyingi duniani.
Kufanya kitu gani kipya?Sio hayo tu, namna mama anaenda kwa sasa sioni Kama anazungukwa na watu makini. Hizi tengua teua nyingi kwa wakati mmoja na kubadili karibu kila kitu inaonyesha hakuwa anakubaliana na marehemu kwa Mambo mengi jambo ambalo sio zuri kwake kwa sasa kutokana na Imani ya watu kwa marehemu. Na mimi sitashangaa kusikia Kuwa tuna lock down.Naamini mama anawaamini sana wanaomshauri kuliko yeye mwenyewe kwa sababu simuoni mama ninayemjua, namuona mama mwingine anayejaribu kufanya vitu vipya.
Na wewe vipi kuhusu "...hizo makosa 6..."? issue ni ujumbe sahihi au niaje mkubwa!!Haya hapa makosa ya umakini ya Rais Samia Suluhu Hassan ambayo nimeya-notice tangu maandalizi mpaka muda alipoingia ofisini. Kama yapo mengine maGT mtaonngezea:
Siku anatangaza taarifa ya msiba wa jpm alifanya makosa mawili:
1. Mapumziko siku 14 badala ya 21
2. Kifo cha JPM kilisababishwa na tatizo la mfumo wa umeme, baadaye akajirudi akasema tatizo la moyo wa mfumo wa umeme.
Siku anafanya kikao cha kwanza cha baraza la mawaziri...
3. alichanganya kalamu ya wino mweusi badala ya mwekundu
Siku anateua wakurugenzi...
4. Aliteua Mkurugenzi asiye na sifa na kumuacha mwenye sifa na baadaye kutengua uteuzi wa asiye na sifa na kumrejesha mwenye sifa.
Bunge la Jamhuri/Bunge la Katiba...
5. Mara moja au mara mbili amekuwa akitaja Bunge la Katiba wakati anapashwa kusema Bunge la Jamhuri.
Vyombo vya habari vilivyofungiwa...
6. Alisikika akisema vyombo vya habari vilivyofungiwa (akitolea mfano online tv na vingine) vifunguliwe lakini badae kauli ile ikahitaji kutolewa ufafanuzi na wasaidizi wake kuwa alimaanisha online tv pekee.
Mpaka sasa nimeona kuna hizo makosa 6 ambazo kwa maoni yangu ni nyingi mno kwa muda ambao amekuwa ofisini.
ushauri rahisi: ajitahidi akiwa kwenye mimbari awe na glass ya maji.
Atake Asitake.Rais ni Samia Suluhu Hassan..
Mengineyo yoote ni maoni tu
Marehemu alisema hapangiwi,acha atapangiwa kazi nyingine huko mbinguni na yeye.
Na wewe vipi kuhusu "...hizo makosa 6..."? issue ni ujumbe sahihi au niaje mkubwa!!
Mbona hata Hayati Jiwe alikuwa anakosea mara nyingi tu na mlikuwa hamuoni makosa kwa kuogopa kutumbuliwa au kupotezwa.Na wewe vipi kuhusu "...hizo makosa 6..."? issue ni ujumbe sahihi au niaje mkubwa!!
Anaturudisha kwa wapumbavu wasukuma na kutupeleka kwenye nchi ya ahadiMama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Naomba chato ichomwe motoSo kwa akili yako miradi ya Chato nayo ataendeleza? Hata daraja la Busisi tunapiga chini kwanza
Baada ya kifo cha aliyekuwa ana imiliki CCM sasa mataga wamepotezana.....!!Maajabu
Baadhi ya wanaCCM kuwa wapinzani wa serikali
Mama atauza nchi mapema dalili zinaonekana kabisa