Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Mazimu wa Magufuli bado unawatesa wengi.
Ndo mjue mkichagua rais mnachagua na makamu
 
Mkuu kwani we ulitaka nani aongoze?
Kitu kama kizito unabwaga manyanga usisubiri mpaka kikuvunje mgongo, ni vyema kama hawezi asilazimishwe wala asijilazimishe ,kuliko kuanza kuweka ahadi ambazo zitamgarimu na likitota atatupiwa yeye mzigo ya kwamba amevuruga,aweke tume huru nzuri aweke katiba mpya nzuri kisha ajiuzulu,ingetosha ,watanzania wazito hasa waTanganyika hawabebeki.
 
Kitu kama kizito unabwaga manyanga usisubiri mpaka kikuvunje mgongo, ni vyema kama hawezi asilazimishwe wala asijilazimishe ,kuliko kuanza kuweka ahadi ambazo zitamgarimu na likitota atatupiwa yeye mzigo ya kwamba amevuruga,aweke tume huru nzuri aweke katiba mpya nzuri kisha ajiuzulu,ingetosha ,watanzania wazito hasa waTanganyika hawabebeki.
Mkuu wa nchi sio kocha!
 
Kitu kama kizito unabwaga manyanga usisubiri mpaka kikuvunje mgongo, ni vyema kama hawezi asilazimishwe wala asijilazimishe ,kuliko kuanza kuweka ahadi ambazo zitamgarimu na likitota atatupiwa yeye mzigo ya kwamba amevuruga,aweke tume huru nzuri aweke katiba mpya nzuri kisha ajiuzulu,ingetosha ,watanzania wazito hasa waTanganyika hawabebeki.
Akishajiuzulu ,unapendelea msukuma gani aje aongoze?
 
Watanzania mnapenda rough Sana,kuongoza watu sio makelele,sio kujinadi ila kuongoza ni kujenga kwa haki ..tusonge mbele tuache uzamani
 
Rais wetu si mtu wa mihemuko na kupiga kelele huku watu wapiga/wanaiba mali ya umma kama urithi wa baba na wajomba zao. Unaulizq amefanya nini ?? Ndani ya muda mchache ameondoa 6% VRF kwa wanufaika wa bodi, ameshusha mpaka 8% PAYE kwa wafanyakazi maskini, anahakikisha wastaafu wanapewa stahiki zao halali ndani ya muda, anapandisha madaraja wafanyakazi wote wanaostahili na kulipa malimbikizo, ameondoa uozo na wizi bandarini na kuweka mchwa/wapigaji/wezi wa mali ya umma kizuizini, huku kesi zao zikitokota na muda wowote watapandishwa kizimbani na hatimaye kuzitapika mali zote za umma walizokwapua, ndani ya siku chache amesimamia maslahi ya TZ ktk bomba la mafuta la hoima EACOP na kuhakikisha mkataba unasainiwa, mkataba uliosua sua kwa muda wa miaka wadau wakijivuta vuta. Hayo yote ameyafanya ndani ya muda mfupi .
 
.sukuma gang
Matumizi ya haya maneno ni sumu kwa umoja wa kitaifa.

Bahati mbaya yawezekana unalitumia bila kujua wabaya wa nchi yetu wanakufurahi ama unajua kuwa upo kwenye payroll ya wabaya wa nchi yetu!

Maneno ya namna hii yatawatafuna, na kuhakikishia hili.
 
May 31 ikigonga hakuna jipya kiuthabiti kabisa kwenye angalau lolote katika haya:

1. Ripoti ya CAG BOT na TPA
2. Ripoti ya tume kuhusu Corona
3. Hatua zilizochukuliwa kuhusiana na ripoti za CAG
4. Genge lile pendwa lilotaka kujimilikisha nchi kinyume cha utaratibu.

Mzima mzima atakuwa kasema mwenyewe kama anayaweza au ndiyo hivyo tena.
Genge lile pendwa lilotaka kujimilikisha nchi kinyume cha utaratibu.
Ebu nitonye what happened, akina Bashu? Lepolepo?
 
Rais wetu si mtu wa mihemuko na kupiga kelele huku watu wapiga/wanaiba mali ya umma kama urithi wa baba na wajomba zao. Unaulizq amefanya nini ?? Ndani ya muda mchache ameondoa 6% VRF kwa wanufaika wa bodi, ameshusha mpaka 8% PAYE kwa wafanyakazi maskini, anahakikisha wastaafu wanapewa stahiki zao halali ndani ya muda, anapandisha madaraja wafanyakazi wote wanaostahili na kulipa malimbikizo, ameondoa uozo na wizi bandarini na kuweka mchwa/wapigaji/wezi wa mali ya umma kizuizini, huku kesi zao zikitokota na muda wowote watapandishwa kizimbani na hatimaye kuzitapika mali zote za umma walizokwapua, ndani ya siku chache amesimamia maslahi ya TZ ktk bomba la mafuta la hoima EACOP na kuhakikisha mkataba unasainiwa, mkataba uliosua sua kwa muda wa miaka wadau wakijivuta vuta. Hayo yote ameyafanya ndani ya muda mfupi .
Hapo ndipo unapobakia kufungwa tun'fungwa lakini chenga tun'walaa.
Nisikie nauli za ndege zimeshuka,nauli za meli zimeshuka,treni ,mabasi, mchele,maharage,sukari na vitu kadhaa vimeshuka bei ,utazidisha mishahara mpaka mamilioni ila kama hakuna unafuu itakuwa anachota maji kwa kutumia pakacha.

Hapa Vietnam kila kitu kipo ila bei zao zinatisha ,shati milioni mbili na Tz ndipo tunapokimbilia huko. Eti mshahara utapandishwa ukipandishwa unaupeleka wapi ,mnasifiwa mzunguko wa pesa utakuwewpow , hivi mnafahamu mnachosikilizishwa ?
 
Hapo ndipo unapobakia kufungwa tun'fungwa lakini chenga tun'walaa.
Nisikie nauli za ndege zimeshuka,nauli za meli zimeshuka,treni ,mabasi, mchele,maharage,sukari na vitu kadhaa vimeshuka bei ,utazidisha mishahara mpaka mamilioni ila kama hakuna unafuu itakuwa anachota maji kwa kutumia pakacha.

Hapa Vietnam kila kitu kipo ila bei zao zinatisha ,shati milioni mbili na Tz ndipo tunapokimbilia huko. Eti mshahara utapandishwa ukipandishwa unaupeleka wapi ,mnasifiwa mzunguko wa pesa utakuwewpow , hivi mnafahamu mnachosikilizishwa ?
Soma tena ulichokiandika, huwenda upo katika hali ya hasira ama msongo wa mawazo. Ni hivi ndani ya siku 60 hivi, ukitegemea muujiza wa bei za usafiri na chakula na mafuta kushuka ghafla utakuwa hasa hujui unachokitegemea, mwendazake alikaa madarakani miaka mingapi ? Hayo unayoyasema yalipatikana ? Kama hayakupatikana unayategemeaje ndani ya siku 60 za Rais Samia ? Hatuwezi kuwajibu kuhusu madai kua rais samia anahema kwa uoga maana tunajua mnajifurahisha ma hata nyinyi mnajua mnajifurahisha tuu.
 
Nimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba, hotuba zake, tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji, inaonekana ya mtu aliechooka na kama haitoshi ina kapresha fulani hivi, kapumzi cha kuhema, pengine ni unene alionao au hofu.

Japo anajisifu kuwa anafuata nyayo za Rais aliefariki Marehemu Magufuli na kuyatekeleza yale yote aliyoyaacha Marehemu, nakaribia kuapa kwamba hilo haliwezi hata azikiri...!

Magufuli alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali, halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe. (Alikuwa na kasoro zake nyingi tu, ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).

Huyu Bikashoo nahisi anaona watu wako poa na kila akiitwa mama ,anasahau kama anavishwa kilemba cha ukoka. Mpaka sasa kuna mambo yameshaanza kupwaya, bado nasubiri kuona uchapa kazi wake, ila kwa sasa naona ni mtu wa mikutano wa kupenda kuhudhuria huku na kule akitoa hotuba na matangazo.

Rais Samia bado hajaonyesha uwajibikaji wa aina yoyote ile ,yupo yupo tu ,labda tusubiri mwezi wa ramadhani uishe, hayo ya kupanga Mawaziri ,makatibu ndani ya srikali na ndani ya Chama chake,si ya kushitua ni yao hayo ,na yeyote aakiipata nafasi hiyo ,hayo anaweza kuyafanya kwa mwembwe kuliko zake.

Ni jambo gani mwananchi anaweza kusema hili limefanyika kutokana na amri au uongozi wake,mimi sijaona kama yupo alieona atuwekee, spika amewaumbua askari polisi na kimeeleweka anachokisema, japo nae hana jema hata moja.

Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.
SUKUMA GANG LA AKINA MNYETI MPO HOIII , POLENI SANA
 
Nimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba, hotuba zake, tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji, inaonekana ya mtu aliechooka na kama haitoshi ina kapresha fulani hivi, kapumzi cha kuhema, pengine ni unene alionao au hofu.

Japo anajisifu kuwa anafuata nyayo za Rais aliefariki Marehemu Magufuli na kuyatekeleza yale yote aliyoyaacha Marehemu, nakaribia kuapa kwamba hilo haliwezi hata azikiri...!

Magufuli alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali, halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe. (Alikuwa na kasoro zake nyingi tu, ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).

Huyu Bikashoo nahisi anaona watu wako poa na kila akiitwa mama ,anasahau kama anavishwa kilemba cha ukoka. Mpaka sasa kuna mambo yameshaanza kupwaya, bado nasubiri kuona uchapa kazi wake, ila kwa sasa naona ni mtu wa mikutano wa kupenda kuhudhuria huku na kule akitoa hotuba na matangazo.

Rais Samia bado hajaonyesha uwajibikaji wa aina yoyote ile ,yupo yupo tu ,labda tusubiri mwezi wa ramadhani uishe, hayo ya kupanga Mawaziri ,makatibu ndani ya srikali na ndani ya Chama chake,si ya kushitua ni yao hayo ,na yeyote aakiipata nafasi hiyo ,hayo anaweza kuyafanya kwa mwembwe kuliko zake.

Ni jambo gani mwananchi anaweza kusema hili limefanyika kutokana na amri au uongozi wake,mimi sijaona kama yupo alieona atuwekee, spika amewaumbua askari polisi na kimeeleweka anachokisema, japo nae hana jema hata moja.

Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.
Looo, sijapata kuona mtu anajikanyaga kama wewe. Hebu tuanze na kulinganisha sentensi zako hizi mbili: Awali umesema :
  • Nimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba, hotuba zake, tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji. Na mwisho ukamalizia na:
  • Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.
Yaani mwanzo umetilia wasiwasi usomaji wa hotuba zake kana kwamba Hotuba ndio kigezo muhimu sana cha kumtambua Rais mzuri au la. Na mwisho unahitimisha kwa kuweka bayana kabisa kuwa hotuba nzuri sio ndio itayoijenga Tanzania.

Kwanza tuwekane sawa kabla hatujaendelea unachohitaji wewe ni vitendo au hotuba nzuri?

Unajazia kwa kumtaja Magufuli kama ifuatavyo, nanukuu "Magufuli alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali, halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe. (Alikuwa na kasoro zake nyingi tu, ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi). Jitafakari uandishi wako, kwani sijui kama unataka kusema kuwa Magu alikuwa mzuri ktk hotuba yake na utendaji au vipi? Hiyo kasoro ilitokea ktk nini?
 
Soma tena ulichokiandika, huwenda upo katika hali ya hasira ama msongo wa mawazo. Ni hivi ndani ya siku 60 hivi, ukitegemea muujiza wa bei za usafiri na chakula na mafuta kushuka ghafla utakuwa hasa hujui unachokitegemea, mwendazake alikaa madarakani miaka mingapi ? Hayo unayoyasema yalipatikana ? Kama hayakupatikana unayategemeaje ndani ya siku 60 za Rais Samia ? Hatuwezi kuwajibu kuhusu madai kua rais samia anahema kwa uoga maana tunajua mnajifurahisha ma hata nyinyi mnajua mnajifurahisha tuu.
Sina hasira nina usongo,ahadi na mabango aliyoingia nayo yametoweka au yanatoweka kwenye thin air. Mbona kuna mabadiliko ameyafanya ndani ya siku hizo sitini ? Mvinyo anaokunywa ukianza kufanya shughuli zake aka kulewa madaraka .

Mimi Nimeuliza tu ataweza mbona hizi ahadi mbili tu zilizotokana na mkaguzi na yeye Raisi kuzivalia njuga, ghafla bin vuwm kimya kama siye ? Wala hamtaji tena mkaguzi wala mpekuzi wa mahesabu. Tunajua muda upo siku mia Raisi anatakiwa ajilabu,japo kufanyia kazi hili alilolikwaa la mkaguzi wa mahesabu.
 
Sina hasira nina usongo,ahadi na mabango aliyoingia nayo yametoweka au yanatoweka kwenye thin air. Mbona kuna mabadiliko ameyafanya ndani ya siku hizo sitini ? Mvinyo anaokunywa ukianza kufanya shughuli zake aka kulewa madaraka .

Mimi Nimeuliza tu ataweza mbona hizi ahadi mbili tu zilizotokana na mkaguzi na yeye Raisi kuzivalia njuga, ghafla bin vuwm kimya kama siye ? Wala hamtaji tena mkaguzi wala mpekuzi wa mahesabu. Tunajua muda upo siku mia Raisi anatakiwa ajilabu,japo kufanyia kazi hili alilolikwaa la mkaguzi wa mahesabu.
Sijui kama unaelewa unachokiongea, maana unajichanganya mno, sasa kama yapo mabadiliko ndani ya siku 60 ulichokuwa unasema ni nini ?? Mwendazake kakuta sukari, mafuta, unga na nauli za ndege na mabasi ulizo sema zikiwa kiasi gani ? Na kaziacha zikiwa kiasi gani ? Iweje utegemee rais samia kuleta maabadiliko overnight? Huo unaita usongo ndio mihemko, na sio usongo ni msongo wa mawazo. Kazi iendelee
 
Jiwe mwenyewe katupoteza kichakani..yaani hapa tulipo hatujui tupo pori gani hasa... Mama anachofanya ni kutafuta walau ka njia njia ili tujaribu kurudi tulipotokea kwanza then tutafute uelekeo mwingine..

total loss, nchi ilikuwa gizani - Mama hana kosa.
 
Inaonekana hata kuongoza familia yako huwezi,asubuhi yote hii kuanza kumsema mama wa watu kwamba hana uwezo!! Shame on you...Fanya kazi acha majungu tena asubuhi yote hii
Huyu rais hana msimamo ukwel lazima usemwe ata mimi sijui anatupeleka wapi, mimi naona giza tu mbele.
 
Dah, mkuu wasukuma wamekufanya nini mbona umejaa sumu hivyo?.
Achana na lofa huyo me huwa najiuliza kwanini watu wa kanda fulani huwa wanachuki na wasukuma sana, ila mimi nawaona wasukuma ni watu poa tu.
 
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Ulishamwoma mama akila mahindi njiani au kugawa mapapai? au akienda kuswali anarushwa kwenye vyombo vya habari?
 
Back
Top Bottom