Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

unauhakika gani kuwa maamuzi yamefanyika bila uchunguzi?
rais amezungukwa na timu mbali mbali za usalama. hawawez leta false allegation bila uchunguzi.
malalamiko yamefanyiwa kazi.

hitaki unaweza kufanya investigation yako. uka present finding zako kwa mamlaka husika huenda wakasikia kilio chako.
jf haitokusaidia chochote
Kama anauhakika na hizo allegations kwa nini asimtumbue nq kuteua wengine?
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyize evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
Watu wote waliotendwa n Sabaya wameenda inbox...
Wanamwaga urojo wote.

Baa na Clubs alizodhulumu kwa kula na kunywa kibabe na kutolipa wako kwenye follen wanatoa ripoti na ushahidi-Ni wengi aisee...!

Arusha?
Moshi?Hai?Duh.

Nakunlmbuka mawaziri wawili walifungwa kwa kutumia Madaraka yao vibaya...

Kwa ushahidi ulioko kwa Huyu jamaa wala Judge hasumbui kalamu yake kwa kuandika sana...!
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyize evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
Mama umewashika pabaya ,kazia hapo hapo ,lazima tutaelewana tu,taifa haliwezi kuongozwa na wahuni kama Sabaya na wengineo wote wenye tabia kama zake.
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyize evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
Hivi hii kanuni uliyoitumia hapa unaielewa? Isome critically siyo kukariri. Ndiyo maana ili kupata facts za evidence Rais kaagiza uchunguzi. Rais angeweza kutengua kabisa uteuzi wake ila kwa kufuata misingi ya haki na utawala bora kaagiza uchunguzi.

Huwezi kuchunguzwa halafu uko ofisini. Halafu heshimu taasisi ya Rais.
 
Huitaji hata Certificate kutoka chuo cha Zion ili uweze kutambua kwamba huyu jamaa yenu ni takataka na hapaswi kuwa kiongozi..ilibidi awe ni mboga ya wanyampala muda huu.
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyize evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
Shida ni mwanamke,wanawake wengi akili yao wameikita kwenye majungu na uzandiki
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyize evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
Hizi kauli yule mwingine wakati anatumbua watu hovyo hadi wengine wakafariki kwa majakamoyo mlikuwa mnamwambia au kumuanzishia nyuzi za aina hii!?
 
Wewe ungekuwa na akili timamu ungefahamu DPP kuna watu wengi amewasekwa rumande bila dhamana kwa maneno ya kusikia tu bila ushahidi wowote huku familia zao zikisambaratika bila kujua hatma za watu wao

Sponsor wako ametenguliwa tu kutoka ofisini ndio unapiga mayowe yote haya kama mjusi aliyebanwa mkia na mlango.
DPP ni kiongozi mkubwa sana na amefungulia watu maelfu ya kesi bila ya kuwa na ushahidi wowote. Wengine wako magerezani kwa zaidi ya miaka mitano bila kesi kukamilika kwa sababu ya kukosa ushahidi, wewe huyo sponsor wako ametenguliwa tu ulaji wake na yuko huru uraiani ndio unatupigia hizi kelele zote!
 
Walioko magerezani kwa kesi ambazo hazi kichwa wala miguu ,walifikaje pale ?na wapo ambao hadi leo wapo lupango kwa amri ya huyu kibaka Mama aliemsimamisha ,kwanza mama ana huruma saaana ,huyu alistahili afukuzwe na si kusimamishwa
 
Back
Top Bottom