Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Pumba tu hizi....
Jana tu tumeona wabunge wa CCM wanavyolia miradi kibao ipo ktk ilani lkn for years lkn haijaguswa na mingine hata mwaka huu unaokwisha...
Sasa Mama hata mwaka bado unaongea vitu gani ?

Au unadhani nae atakuwa mshamba wa kutembea na mabulungutu ktk gari na stage watu wa kuwapa ?

Tena shukuruni yupo busy kuziba mashimo na makovu ya huyo mtu wenu alietesa watu sana kwa kivuli cha kujifanya mzalendo....bingwa wa kubambikia watu kesi !!!
Yupo wapi sasa....mfateni kama mmem miss
 
'Nawaomba sana watumishi mchape kazi"
Alisikika mlevi mmoja eti anamuomba nguruwe kuoga!
 
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Wewe bila shaka ni mtumishi wa TRA kwenye kitengo cha Task Force naona ulikuwa na maslahi katika kunyang'anya pesa za watu, kwahiyo naona unaona Rais anakuvuruga kukuambia usitumie nguvu katika kudai kodi.
 
Nimetoka kumuota huyu mama vibaya
Dah...
Tunahitaji taasisi zenye nguvu si mtu kwa kweli
 
Kwani mtoa mada kuna ambalo kalibainisha sio la kweli?
Kitendo cha kutaja sehemu zilizoonyesha kasoro ni kuonesha wenye nia ovu tayari, na anakuwa kwenye kundi la wanaotaka tupige hatua.
Wewe usiyetaka kuyaona hayo au hata ukiyaona unayachukulia kawaida wewe ndie mwenye nia ovu usiyetaka tupige hatua.
Unahakika na hilo,mashaka yangu wakwamia awamu yao wamekutana
 
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani...
We endelea kumshangaa wakati wengine tukifurahia ujio wake kuja kufuta machozi watu walioteseka, kuonewa na kubaguliwa
 
Hizo ghasia na matukio ya aina hiyo ni wazi yalibaki historia kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita.

Ajabu kwa muda mfupi kuanzia mwezi wa tatu mwaka huu mambo hayo mabaya yameanza kurejea/kurejeshwa tena.

Sasa ni lipi tatizo ama mapungufu ya mamlaka zinazo husika hadi uharamia huo urejee kwa kasi ya ajabu namna ile?!
 
Hizo ghasia na matukio ya aina hiyo ni wazi yalibaki historia kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita.

Ajabu kwa muda mfupi kuanzia mwezi wa tatu mwaka huu mambo hayo mabaya yameanza kurejea/kurejeshwa tena.

Sasa ni lipi tatizo ama mapungufu ya mamlaka zinazo husika hadi uharamia huo urejee kwa kasi ya ajabu namna ile?!
Sukuma gang wanamhujumu mama.
 
Waziri wa mambo ya ndani anafanya nini? Na IGP anafanya nini na maaskari wake? Hebu waunde kikosi kitembee mtaa kwa mtaa kujua kazi ya kila mtu na suspect awekwe kwenye kikaango cha ujunguzi mbona huo wizi utakwisha.
 
Sasa kama wao walikomesha hali hiyo kwa nini asishirikiane nao ili kukoma kwa hali ile iendelee?
Awamu iliyopita awamu ya tano walikuwepo kama Watu wasiojulikana,leo sukuma gang hawamtaki mama kwa namna yoyote ile hivyo figisu figisu ni nyingi.
 
Katika mambo ambayo awamu sita inatakiwa kufanyia kazi ni pamoja na suala la ujambazi! Haiwezekani mtu upambane kwa jasho then mtu anakuja kukupora kirahisi tu!

Piga risasi majambazi na vibaka wote hamna kuwachekea!
 
Back
Top Bottom