Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Sasa asilaumu wakishindw majukumu,tena sio tuu wadhaifu bali wenye njaa kaliAnachagua/anateua wadhaifu ili wasimsumbue. Ili wawe loyal.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa asilaumu wakishindw majukumu,tena sio tuu wadhaifu bali wenye njaa kaliAnachagua/anateua wadhaifu ili wasimsumbue. Ili wawe loyal.
Sijalaumu mkuu. Nimesema tu kuwa automatically kiingozi anayetaka kutawala kirahisi lazima achague wasaidizi loyal.Sasa asilaumu wakishindw majukumu,tena sio tuu wadhaifu bali wenye njaa kali
Jamani, leo vipi? Kiingereza hata walio uingereza ni starts siyo startedCompetent people can challenge before they agree with you, that is where the problem started.
Hili ni kweli. Na pengine tunaweza sema kuwa wale walioonyesha kuwa competent walionyeshwa cha mtema kuni.Kwa Chadema hakuna wa kumchallenge mwamba Mbowe kukalia kiti kwa zaidi ya robo karne sasa.
They cant challenge, thus they are incompetent!
What you say about other it applies equally to you.
Let us reserve our words.
Actualy wengi wao walikuwa wanatembelea nyota ya marehem. Ila kiukweli wenyewe hawawezi. Na huu ni mwanzo tuHapa nazungumzia PM na VP ambaye amekuwa Rais. Kwenye siasa akili ni kuchagua wasaidizi wa karibu ambao ni Loyal(wafuasi wazuri) na si wenye weledi (competent). Lengo ni kupata watu utaoweza kuwaelekeza mambo na wakafuata.
Na mara nyingi watu competent huwa siyo wafuasi wazuri. Watu wanaoweza kufikiri wenyewe huwa siyo wafuasi wazuri. Hivyo basi, viongozi wakubwa, hasa wale wanaoongoza kibabe huwa na na wasaidizi dhaifu ila loyal sana.
Kwa mantiki hii, Rais Magufuli kama Rais katuachia uongozi mbovu. Na hata CCM alikokuwa mwenyekiti, pale juu aliacha uongozi dhaifu automatically.
Ufugaji kuku wa kisasa mwanzo huwa mgumu lazima ujinyime, wale wa mwanzo wanalalalia japo inaelekea mayai yao viza.
Ndege zinunuliwe zisinunuliwe wala hutaona impact yake kama hutajitambua.
Ndege zikinunuliwa zinawauma nini kama nyie sio maajenti wa kenya airways au rwandair. Hamuwezi fikiri mbona nchi zingine ziwe na mashirika yao ila nyie mnapiga bango tz tusiwe na ndege. Pumbafu zenu. Huyo anayewalipa alie tu.
Mtu mweusi hana uwezo wa kuongoza Jamii ikastawi.Unanua ndege cash unaomba msaada wa kujengewa vyoo vya shule.Akili matope.Akili ya mtu mweusi ni mzigo.
Kodi zetu zinatuuma.Bora kuboresha kilimo kuliko ndegeNdege zikinunuliwa zinawauma nini kama nyie sio maajenti wa kenya airways au rwandair. Hamuwezi fikiri mbona nchi zingine ziwe na mashirika yao ila nyie mnapiga bango tz tusiwe na ndege. Pumbafu zenu. Huyo anayewalipa alie tu.