Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Suluhisho ni utawala wa majimbo, ni vigumu Rais kuchagua watu wazuri wa kuwaweka kila mahali nchi hii ni vigumu sana, haiwezekani.
Raia wachague viongozi wao wenyewe kwa kura katika Mikoa, Wilaya na Halmashauri.
Raia wachague viongozi wao wenyewe kwa kura katika Mikoa, Wilaya na Halmashauri.
Kazi ya Rais si kutembelea kila Shirika la umma ili kujua utendaji wake. Nchi ya Tanzania ni kubwa mno hawezi kufika kila mahali ili ajue utendaji wa kazi. URais ni tasisi- ina watu wengi wanao msaidie Rais ili atimize majukumu yake ipasavyo Kama atatembelea kila sehemu- kuna majukumu mengine yatalala. Rais anatakiwa achague timu nzuri , watu ambao si ndugu zake wa damu, watu wa dini na makabila mbali mbali. Hakuna tatizo kwa Rais kusikiliza ushauri, hakuna binadamu anayejua kila kitu. Rais ameajiliwa na wapiga kura wake.