Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Sio mpaka uende kila mahali mfano mrahisi,

Jiwe alijuaje wachungaji wanauza vifaa vilivyokuja kwa msamaha wa kodi..?

Alijuaje mabwawa ya kufua umeme yanafunguliwa usiku ili sababu iwe kina cha maji kimeshuka wauze majenereta yao..?

Alijuaje butimba kuna simu na biashara ya ganja...?

Alijuaje, alijuaje alijuaje...?

Kuwa Rais sio mpaka uende kila sehemu unahitaji watu sahihi wa kukupa info hilo tuu.

Jiwe alikuwa Mwanaharakati aliyetaka kutumia propaganda kuendesha nchi, Mbona hakujua mashirika yanapata hasara kwa kuyalazimisha kutoa gawio.
 
Sawa mkuu kama matusi yako yanabadili chochote, wenzako wanakosoa kwa hoja siyo matusi
 
Huo ndiwo ukweli.

Rais Samia ni laini mno lijapo suala la usimamizi wa jambo na kwake yeye huamini kusikia/kusimuliwa zaidi kuliko kufika mwenyewe ili kujionea.

Hulka ya Viongozi wengi ni wezi na mafisadi na kwayo hata mianya ya kuharibu kwa makusudi jambo lolote zuri ili tu wajinufaishe wao kwao si kazi kubwa.

Samia ni Rais wa kusimuliwa na hapo ndipo mwanya wa mafisadi kuiba na kuharibu kwa ajili ya maslahi yao huwa.

Mfano mzuri ni hayo matengenezo ya injini za Airbus zetu ukweli ni kwamba hayupo hata mtu anayefuatilia kwa maana ya mkazo na sababu ni moja tu wenye maslahi yao wameweka mkono wao ili mwisho wa siku Shirika life na wao waendelee kunufaika na miradi yao kama hapo awali.

Aminini nawaambia, Tanesco, ATCL na Mashirika yote ya UMMA yaliyoanza japo kujikongoja yatakufa yote ndani ya Utawala huu!

NB: Hata kule kwao mwanamke kwake ndani.
Wewe wakala wa Kalemani umekalia kuandika threads za uzushi tu. Ripoti ya matatizo ya hizo injini za Airbus ziko wazi mtandaoni na ni tatizo la Dunia. Unataka Samia akafanye nini?

Usituletee ujinga wa mjomba wenu Magufuli aliyekuwa ana micro manage kwa kukesha na mafaili. Akili yako Suzy Elias iko sawa na Suzi wa Buguruni tu, majungu tu mwanume mzima.
 
Ni kweli kabisa mkuu.samia alitakiwa kuwa mjumbe wa mtaa wa mchambawima na siyo rais wa nchi ya Tanzania bara
 
Huo ndiwo ukweli.

Rais Samia ni laini mno lijapo suala la usimamizi wa jambo na kwake yeye huamini kusikia/kusimuliwa zaidi kuliko kufika mwenyewe ili kujionea.

Hulka ya Viongozi wengi ni wezi na mafisadi na kwayo hata mianya ya kuharibu kwa makusudi jambo lolote zuri ili tu wajinufaishe wao kwao si kazi kubwa.

Samia ni Rais wa kusimuliwa na hapo ndipo mwanya wa mafisadi kuiba na kuharibu kwa ajili ya maslahi yao huwa.

Mfano mzuri ni hayo matengenezo ya injini za Airbus zetu ukweli ni kwamba hayupo hata mtu anayefuatilia kwa maana ya mkazo na sababu ni moja tu wenye maslahi yao wameweka mkono wao ili mwisho wa siku Shirika life na wao waendelee kunufaika na miradi yao kama hapo awali.

Aminini nawaambia, Tanesco, ATCL na Mashirika yote ya UMMA yaliyoanza japo kujikongoja yatakufa yote ndani ya Utawala huu!

NB: Hata kule kwao mwanamke kwake ndani.
Siyo mashirika tu kila kitu kitakufa itabaki ikulu pekee
 
Huo ndiwo ukweli.

Rais Samia ni laini mno lijapo suala la usimamizi wa jambo na kwake yeye huamini kusikia/kusimuliwa zaidi kuliko kufika mwenyewe ili kujionea.

Hulka ya Viongozi wengi ni wezi na mafisadi na kwayo hata mianya ya kuharibu kwa makusudi jambo lolote zuri ili tu wajinufaishe wao kwao si kazi kubwa.

Samia ni Rais wa kusimuliwa na hapo ndipo mwanya wa mafisadi kuiba na kuharibu kwa ajili ya maslahi yao huwa.

Mfano mzuri ni hayo matengenezo ya injini za Airbus zetu ukweli ni kwamba hayupo hata mtu anayefuatilia kwa maana ya mkazo na sababu ni moja tu wenye maslahi yao wameweka mkono wao ili mwisho wa siku Shirika life na wao waendelee kunufaika na miradi yao kama hapo awali.

Aminini nawaambia, Tanesco, ATCL na Mashirika yote ya UMMA yaliyoanza japo kujikongoja yatakufa yote ndani ya Utawala huu!

NB: Hata kule kwao mwanamke kwake ndani.
Acha mawazo ya kipuuzi hakuna kitu kitakachokufa chini ya Rais Samia Suluhu mama amefufua miradi mingi sana iliyokua imesimama na inaelekea kufa pia Rais Samia Suluhu ni mfatiliaji mzuri sana wa mambo na akiona jambo halipo sawa anatatua kwa wakati
 
Nikiuliza nipewe sababu mhimu ya Kwa nini bei ya bidhaa imepanda Kwa kiasi kikubwa hiko hakuna sababu ya maana!

Hiyo ni moja ya dalili za kushindwa! Kwa nini mgao wa umeme, sababu hazijitosherezi, Kwa nini kipindi cha nyuma gharama ya kuingiziwa umemw ilikuwa 27000, na sasa 300000+ hakuna sababu ya msingi!

Kwa nini tumeongeza tozo lakini zimefanya nini, labda kuna jambo jipya ambalo halikuwa likifanywa kipindi cha nyuma tozo imefanya, napo hakuna!

Hizo ndizo dalili za kishindwa!

Na sababu Moja wapo ya yeye kushindwa, amekaa kirafiki sana hata mahali pasipostahili kukaa kipendwa kama Amiri Jeshi mkuu wa Tanzania

Urafiki katika kazi sio mmbaya, ila wateule wanapoharibu na kumharibia, urafiki wa nini hapo?

Kwa nini kuwa na urafiki na mtu anayeharibu kazi yake?

Mawaziri kibao wapo wapo tu hapo kumharibia Rais, Kwa nini urafiki nao.?

Badala yake sasa tunaanza kuungana nao kuombea kila kitu kisifanikiwe chini yake Kwa sababu yeye Mh anataka hivyo,

Kwani watu wazuri, wazalendo, wachapakazi na wasomi wameisha kwenye Taifa hili ili hali kila kitu kinaenda ndivyo sivyo?
 
Nikiuliza nipewe sababu mhimu ya Kwa nini bei ya bidhaa imepanda Kwa kiasi kikubwa hiko hakuna sababu ya maana!

Hiyo ni moja ya dalili za kushindwa! Kwa nini mgao wa umeme, sababu hazijitosherezi, Kwa nini kipindi cha nyuma gharama ya kuingiziwa umemw ilikuwa 27000, na sasa 300000+ hakuna sababu ya msingi!

Kwa nini tumeongeza tozo lakini zimefanya nini, labda kuna jambo jipya ambalo halikuwa likifanywa kipindi cha nyuma tozo imefanya, napo hakuna!

Hizo ndizo dalili za kishindwa!

Na sababu Moja wapo ya yeye kushindwa, amekaa kirafiki sana hata mahali pasipostahili kukaa kipendwa kama Amiri Jeshi mkuu wa Tanzania

Urafiki katika kazi sio mmbaya, ila wateule wanapoharibu na kumharibia, urafiki wa nini hapo?

Kwa nini kuwa na urafiki na mtu anayeharibu kazi yake?

Mawaziri kibao wapo wapo tu hapo kumharibia Rais, Kwa nini urafiki nao.?

Badala yake sasa tunaanza kuungana nao kuombea kila kitu kisifanikiwe chini yake Kwa sababu yeye Mh anataka hivyo,

Kwani watu wazuri, wazalendo, wachapakazi na wasomi wameisha kwenye Taifa hili ili hali kila kitu kinaenda ndivyo sivyo?
Dua la kuku.
Na kwa akili hiyo we ndo usha shindwa!
 
Back
Top Bottom