Kuhusu nini jombaaaaWakuu tumepigwa.
Tuendelee kuomba amani tu. Ila mtahadithia.
Tutamkumbuka Sana JPM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhusu nini jombaaaaWakuu tumepigwa.
Tuendelee kuomba amani tu. Ila mtahadithia.
Tutamkumbuka Sana JPM.
Hamna Mkuu... Tutalitazama na hilinyie wajinga kweli. sasa nyie ndoo mnataka katiba. sasa kama wananchi wametoa kero rais kasema wanaenda kuzifanyia kazi tatizo lipo wapi hapo kwamfano
Kwanini huanzii wakati wa Juliasi Kambarage? Au huyajuwi tukukumbushe?Siku Ile ya Tarehe 17/3 , nipo Lodge Mara TV linatangaza habari ,Samia anamtangaza Kifo Cha JPM.
Kwanza shoo ikaishia palepale, nikaanza kububujikwa na machozi.
Kilichoniliza , sio Kifomcha JPM pekee, Niliwaza, nikaanza kumbuka Maujinga ya wakati wa JK MASIKIN alivyokua choka mbaya kabwera, Tajir akawa Tajiri wa kutupwa,, ukimsifia Papa nani huko anakumwagua Hela , Nchi ikachakaa kwelikweli, Rushwa, ufisadi ulokithiri ,Nchi ikafubaaaa.
Kwa ujanja wa Jakaya, akawa anaajiri Kila mwaka, akaacha watu waongee wanavyotaka , wajinga wakafurahia mambo mepesi, ila nchin ikazidi kuliwaaa.
Oyaaaaa, nikasema Moyoni mwangu, Hivi ndiko Sasa tunarudi tulipokua??.
JPM kafa, watanzania na mabeberu yakaanza kufungua kesi mahakamani, Yanarudishiwa Pesa yalotuibiaa .
JPM Kafa, Wamasai wanahamishwa.
JPM kafa, Wafanyabiashara wanajiamlia bei.
JPM kafa, Nchi Haina bei elekezi.
JPM Kafa, Rushwa ufisadi ndo usiseme.
JPM kafa, Tunaambiwa JNHEPP Ina nyufa.
JPM kafa, Bandari zote kapewa Mwarabu .
Kuna wakati kama mwanadam ,unaweza jikuta unavuka ukomo wa Uvumilivu na kuanza kumhoji Mungu, kwanini ulimchukua JPM???.
Binafsi katika Moja ya Maombi nayoomba Kila siku ni huyu kiumbe Mmoja kuaga Dunia....
JK.
Daah!!Siku Ile ya Tarehe 17/3 , nipo Lodge Mara TV linatangaza habari ,Samia anamtangaza Kifo Cha JPM.
Kwanza shoo ikaishia palepale, nikaanza kububujikwa na machozi.
Kilichoniliza , sio Kifomcha JPM pekee, Niliwaza, nikaanza kumbuka Maujinga ya wakati wa JK MASIKIN alivyokua choka mbaya kabwera, Tajir akawa Tajiri wa kutupwa,, ukimsifia Papa nani huko anakumwagua Hela , Nchi ikachakaa kwelikweli, Rushwa, ufisadi ulokithiri ,Nchi ikafubaaaa.
Kwa ujanja wa Jakaya, akawa anaajiri Kila mwaka, akaacha watu waongee wanavyotaka , wajinga wakafurahia mambo mepesi, ila nchin ikazidi kuliwaaa.
Oyaaaaa, nikasema Moyoni mwangu, Hivi ndiko Sasa tunarudi tulipokua??.
JPM kafa, watanzania na mabeberu yakaanza kufungua kesi mahakamani, Yanarudishiwa Pesa yalotuibiaa .
JPM Kafa, Wamasai wanahamishwa.
JPM kafa, Wafanyabiashara wanajiamlia bei.
JPM kafa, Nchi Haina bei elekezi.
JPM Kafa, Rushwa ufisadi ndo usiseme.
JPM kafa, Tunaambiwa JNHEPP Ina nyufa.
JPM kafa, Bandari zote kapewa Mwarabu .
Kuna wakati kama mwanadam ,unaweza jikuta unavuka ukomo wa Uvumilivu na kuanza kumhoji Mungu, kwanini ulimchukua JPM???.
Binafsi katika Moja ya Maombi nayoomba Kila siku ni huyu kiumbe Mmoja kuaga Dunia....
JK.
Hilo nalo mkalitizame vizuriWakuu tumepigwa.
Tuendelee kuomba amani tu. Ila mtahadithia.
Tutamkumbuka Sana JPM.
Kwanini huanzii wakati wa Juliasi Kambarage? Au huyajuwi tukukumbushe?
Wala hujakosea, hakuna kubwa zaidi ya kuiwacha nchi masikini wa mwisho duniani.Baba wa Taifa, (Mkristo) huyu aloifanyia Nchi hiii ni makubwa hata kama ana Mapungufu.
Mwinyii ( Muislam) akavuruga Nchi kwelikweli
Mkapa ( Mkristo) Nchi ikarudi kwenye Reli kwa kiasi fulan japo madhaifu yalikuwepo.
Kikwete ( Muislam)Akavuruga Nchi kwelikweli , nanilivurugika haswaa.
JPM (Mkirsto) CHUMA aloikomboa CCM kwanza ilikua inaenda kuzikwa, Kisha akairejesha Nchi kwenye Reli, Kila mtu akakaa sehem yake
kaja anayejificha kwenye "UANAMKE " ni Muislam pia , miaka miwili tuuuu ,miwili tuuu lkn alivyoivuruga hiii Nchi .
Hili limesemwa na nani mkuu? Naomba kujuzwa.JPM kafa, Tunaambiwa JNHEPP Ina nyufa.
Ameanzia uki LAZA ulipoanzia.Kwanini huanzii wakati wa Juliasi Kambarage? Au huyajuwi tukukumbushe?
Kweli watu hamjui vitu vingi someni kuhusu Social inference and ostracism or herding behavior. Herding behavior defined by Ipyana Haraba as an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering of their bosses and manipulation or favour of group objectives, (conflict of interest)Siku Ile ya Tarehe 17/3 , nipo Lodge Mara TV linatangaza habari ,Samia anamtangaza Kifo Cha JPM.
Kwanza shoo ikaishia palepale, nikaanza kububujikwa na machozi.
Kilichoniliza , sio Kifomcha JPM pekee, Niliwaza, nikaanza kumbuka Maujinga ya wakati wa JK MASIKIN alivyokua choka mbaya kabwera, Tajir akawa Tajiri wa kutupwa,, ukimsifia Papa nani huko anakumwagua Hela , Nchi ikachakaa kwelikweli, Rushwa, ufisadi ulokithiri ,Nchi ikafubaaaa.
Kwa ujanja wa Jakaya, akawa anaajiri Kila mwaka, akaacha watu waongee wanavyotaka , wajinga wakafurahia mambo mepesi, ila nchin ikazidi kuliwaaa.
Oyaaaaa, nikasema Moyoni mwangu, Hivi ndiko Sasa tunarudi tulipokua??.
JPM kafa, watanzania na mabeberu yakaanza kufungua kesi mahakamani, Yanarudishiwa Pesa yalotuibiaa .
JPM Kafa, Wamasai wanahamishwa.
JPM kafa, Wafanyabiashara wanajiamlia bei.
JPM kafa, Nchi Haina bei elekezi.
JPM Kafa, Rushwa ufisadi ndo usiseme.
JPM kafa, Tunaambiwa JNHEPP Ina nyufa.
JPM kafa, Bandari zote kapewa Mwarabu .
Kuna wakati kama mwanadam ,unaweza jikuta unavuka ukomo wa Uvumilivu na kuanza kumhoji Mungu, kwanini ulimchukua JPM???.
Binafsi katika Moja ya Maombi nayoomba Kila siku ni huyu kiumbe Mmoja kuaga Dunia....
JK.
PoleSiku Ile ya Tarehe 17/3 , nipo Lodge Mara TV linatangaza habari ,Samia anamtangaza Kifo Cha JPM.
Kwanza shoo ikaishia palepale, nikaanza kububujikwa na machozi.
Kilichoniliza , sio Kifomcha JPM pekee, Niliwaza, nikaanza kumbuka Maujinga ya wakati wa JK MASIKIN alivyokua choka mbaya kabwera, Tajir akawa Tajiri wa kutupwa,, ukimsifia Papa nani huko anakumwagua Hela , Nchi ikachakaa kwelikweli, Rushwa, ufisadi ulokithiri ,Nchi ikafubaaaa.
Kwa ujanja wa Jakaya, akawa anaajiri Kila mwaka, akaacha watu waongee wanavyotaka , wajinga wakafurahia mambo mepesi, ila nchin ikazidi kuliwaaa.
Oyaaaaa, nikasema Moyoni mwangu, Hivi ndiko Sasa tunarudi tulipokua??.
JPM kafa, watanzania na mabeberu yakaanza kufungua kesi mahakamani, Yanarudishiwa Pesa yalotuibiaa .
JPM Kafa, Wamasai wanahamishwa.
JPM kafa, Wafanyabiashara wanajiamlia bei.
JPM kafa, Nchi Haina bei elekezi.
JPM Kafa, Rushwa ufisadi ndo usiseme.
JPM kafa, Tunaambiwa JNHEPP Ina nyufa.
JPM kafa, Bandari zote kapewa Mwarabu .
Kuna wakati kama mwanadam ,unaweza jikuta unavuka ukomo wa Uvumilivu na kuanza kumhoji Mungu, kwanini ulimchukua JPM???.
Binafsi katika Moja ya Maombi nayoomba Kila siku ni huyu kiumbe Mmoja kuaga Dunia....
JK.
Ok Ukimaliza kulia utaendelea kuandikaWakuu tumepigwa.
Tuendelee kuomba amani tu. Ila mtahadithia.
Tutamkumbuka Sana JPM.
HakikaSiku Ile ya Tarehe 17/3 , nipo Lodge Mara TV linatangaza habari ,Samia anamtangaza Kifo Cha JPM.
Kwanza shoo ikaishia palepale, nikaanza kububujikwa na machozi.
Kilichoniliza , sio Kifomcha JPM pekee, Niliwaza, nikaanza kumbuka Maujinga ya wakati wa JK MASIKIN alivyokua choka mbaya kabwera, Tajir akawa Tajiri wa kutupwa,, ukimsifia Papa nani huko anakumwagua Hela , Nchi ikachakaa kwelikweli, Rushwa, ufisadi ulokithiri ,Nchi ikafubaaaa.
Kwa ujanja wa Jakaya, akawa anaajiri Kila mwaka, akaacha watu waongee wanavyotaka , wajinga wakafurahia mambo mepesi, ila nchin ikazidi kuliwaaa.
Oyaaaaa, nikasema Moyoni mwangu, Hivi ndiko Sasa tunarudi tulipokua??.
JPM kafa, watanzania na mabeberu yakaanza kufungua kesi mahakamani, Yanarudishiwa Pesa yalotuibiaa .
JPM Kafa, Wamasai wanahamishwa.
JPM kafa, Wafanyabiashara wanajiamlia bei.
JPM kafa, Nchi Haina bei elekezi.
JPM Kafa, Rushwa ufisadi ndo usiseme.
JPM kafa, Tunaambiwa JNHEPP Ina nyufa.
JPM kafa, Bandari zote kapewa Mwarabu .
Kuna wakati kama mwanadam ,unaweza jikuta unavuka ukomo wa Uvumilivu na kuanza kumhoji Mungu, kwanini ulimchukua JPM???.
Binafsi katika Moja ya Maombi nayoomba Kila siku ni huyu kiumbe Mmoja kuaga Dunia....
JK.
Juliasi alimpa ukuu wa polisi mtu ambaye sifa yake ilikuwa kuwasha makarabai misikitini miaka hiyo, uliwahi kuambiwa hilo?Kwanini huanzii wakati wa Juliasi Kambarage? Au huyajuwi tukukumbushe?
Mwinyi aligawa loliomdo Hadi kwenye kitabu chake anakiri alikoseaWala hujakosea, hakuna kubwa zaidi ya kuiwacha nchi masikini wa mwisho duniani.
Ndivyo Nyerere alivyomwachia nchi Mwinyi.