Siku Ile ya Tarehe 17/3 , nipo Lodge Mara TV linatangaza habari ,Samia anamtangaza Kifo Cha JPM.
Kwanza shoo ikaishia palepale, nikaanza kububujikwa na machozi.
Kilichoniliza , sio Kifomcha JPM pekee, Niliwaza, nikaanza kumbuka Maujinga ya wakati wa JK MASIKIN alivyokua choka mbaya kabwera, Tajir akawa Tajiri wa kutupwa,, ukimsifia Papa nani huko anakumwagua Hela , Nchi ikachakaa kwelikweli, Rushwa, ufisadi ulokithiri ,Nchi ikafubaaaa.
Kwa ujanja wa Jakaya, akawa anaajiri Kila mwaka, akaacha watu waongee wanavyotaka , wajinga wakafurahia mambo mepesi, ila nchin ikazidi kuliwaaa.
Oyaaaaa, nikasema Moyoni mwangu, Hivi ndiko Sasa tunarudi tulipokua??.
JPM kafa, watanzania na mabeberu yakaanza kufungua kesi mahakamani, Yanarudishiwa Pesa yalotuibiaa .
JPM Kafa, Wamasai wanahamishwa.
JPM kafa, Wafanyabiashara wanajiamlia bei.
JPM kafa, Nchi Haina bei elekezi.
JPM Kafa, Rushwa ufisadi ndo usiseme.
JPM kafa, Tunaambiwa JNHEPP Ina nyufa.
JPM kafa, Bandari zote kapewa Mwarabu .
Kuna wakati kama mwanadam ,unaweza jikuta unavuka ukomo wa Uvumilivu na kuanza kumhoji Mungu, kwanini ulimchukua JPM???.
Binafsi katika Moja ya Maombi nayoomba Kila siku ni huyu kiumbe Mmoja kuaga Dunia....
JK.