Anayejua tabia za wanajeshi wanaume katika mahusiano (kuna mwanajeshi ana flirt na nyumba ndogo yangu)

Asante sana mkuu nimepata point ya pili.


Point ya KWANZA : ni vicheche

Point ya pili: they are illiterate.

I am still doing intelligence gathering
 
Sasa wee sii uongeze kumpa hela zaidi maana mkeo anapenda hela
 
Asante sana mkuu nimepata point ya pili.


Point ya KWANZA : ni vicheche

Point ya pili: they are illiterate.

I am still doing intelligence gathering
Mkuu upo kama Mimi hata huwa nkiingia bifu na MTU huwa nafanya kwanza uchunguzi kujua uwezo na mapungufu yake.Hii ni nzuri inakupa muda mzuri wa kuchambua na kujua kipi ni kipi.
 
Daah kazi ipo muhuni anachimba mgodi unatafuta msaada hapa....tafuta shimo lingine huyo nyokaa aendelee nao huo ulioanza wewe...maana wajeda wengi hawakuwahi kupata starehe ya mzigo mpaka walipoanza kupata mshahara ndio maana wao wakitoswa wanaamini hakuna pwechele tamu ingine kama ile kumbe ule ni ujanja wa matumizi ya VAR tuu ila refa anajua kabisa hili ni Tuta...
 
Ooh kuhonga ni kawaida somo la uvumilivu wamefaulu ,kutoa mshahara wote akala shoo siku moja ili ,ateseke 28 zilizobaki sio kesi kwao hivo mke kapagawa na hilo tu , kiufupi makamanda wote ni team misifa
Asante KWA taarifa. Nimepata fact ya tatu.


1. Vicheche

2. They are illiterate

3. Hawaoni hatari kutumia mshahara wao wote kuhonga ili wamfurahishe mwanamke then wateseke KWA simu ishirini na nane KWA sababu walipita somo la uvumilivu wakiwa kambini; hapa nimejifunza kitu. Kumbe they are not alpha male. They are simps. They are nice guys. Mwanaume anae honga mwanamke anatafuta vitu viwili

I. Validation and.

2. Approval.

To me this is their weakest point ever. I can never be defeated by a nice guy.

Asante sana mkuu


Am still gathering intelligence
 
Yaani hao ndio wanyonge kwenye mahusiano! Wanateswa sana na mapenzi hao watu, asikubabaishe bhana.

Lakini sasa kama anamkula/ameshamkula mkeo, hiyo sio kesi yake tena .ni kesi yako na mkeo.

Kama bado mvimbie tu ! Dhaifu sana kwenye mapenzi hao.
Ingawa ni malaya mnoo hao watu wataleta UKIMWI nyumbani.
 
Usikute mjeda katoka kulinda Amani pesa bado ipo ipo ndo anamuhonga mkeo , usishindane nae kuhonga , the best way to defend is to attack , anaflirt na mkeo wewe muwahi kwake ikiwezekana gonga kabisa , Kama huwezi mgongea kwake mtafute uumchane anadili na mke wa mtu
 
Fanya mpango wa kumuamisha mikoa ya mbali kikazi

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Huwa ni mazoba sana kwenye mapenzi Yako emotional sana.

Sema ukila manzi yake anaweza kukushoot.
 
Kama nihawa wanajeshi koko wanaoenda kambini kuimba nakurudi nyumbani na hata magari hawana huyo pimana nae hawana lolote. lakini Kama nikitengo anausafiri wakueleweka mkuu toroka kimya kimya namke wako usipimane nae atakufanya kitu kibaya. wanajiamini vibaya Sana nahawamuogopi yeyote.hatakama nihaki yako atakunyoosha tu.
 
Mmekaa mnadanganyana tu mwanajeshi naye ni binadamu kama wengine tabia ya kila mtu ni vile alivyo pata malezi tangu awali au abadilike kwa utashi wake vipato pia vinatafautiana kuna raia pia wana pesa za kutosha.
 
Nope this is not my mode operandi.

Mimi nataka kujua behavior ya wajeda kwenye mahusiano. What do they do ? Wanahonga sana ? Au ? I just want to know this ili nijue natumia mbinu GANI kuicontain hiyo threat.
Wanahonga sana coz wengi wao hawajui mambo ya kupetipeti, kwao kupetipeti ni pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…