Anayejua tabia za wanajeshi wanaume katika mahusiano (kuna mwanajeshi ana flirt na nyumba ndogo yangu)

Najua vizuri kuliko wewe ,ila ni uandishi tu wa kutaka ujumbe ufike umeelewa mfuasi?
Muwe mnayaona mapungufu ya keyboard mnayapotezea vinginevyo ombeni kazi baraza la mitihani mkaboreshe elimu yetu huko ,tuachane na hii mitihani ya kushade na pencil ( usijae nyembe).
 
Sisemi Kwa ubaya ila wapo wengine baadhi wameungua
 
Muwe mnayaona mapungufu ya keyboard mnayapotezea vinginevyo ombeni kazi baraza la mitihani mkaboreshe elimu yetu huko ,tuachane na hii mitihani ya kushade na pencil ( usijae nyembe).
Nani ajae nyembe... Nyembe zinaishia mda 6 weeks
 
Unapoteza muda mkuu.....kama ni mkeo usisubiri ...... Ongea naye uso kwa uso
 
Kwanini unahangaika na mwanaume mwenzako? Mke ndiye kakusaliti wala hajabakwa, deal na mke wako wala si huyo mme mwenzako, kuna mahala umezidiwa kete, huyo mke ni msaliti
 
Inaonesha huwezi kumwacha mkeo, ina maana huna uhalali wa kumfuatilia. Akigundua kwamba umejua kakusaliti halafu umeshindwa kuchukua hatua stahiki madogo watajipigia sana hapo mtaani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…