inabidi useme kwa dalili hizo mbowe ana uhakika upi wa kushinda kesi.Umesikia alichongea mahakamani senior officer kama yeye?
Hakupitia hati ya mashtaka kabla kuongea kujua kilichomo ajue aongeaje3kaiweka serikali ya Mama Samia pabaya unnecessarily loo
Hivi mama Samia kamkosea nini au yeye mjahidina asiyependa wanawake kuwa maraisi wakae ndani tu?
I hate him to the maximum senior officer wa police kama yeye hakutakiwa kutoa Ushahidi hovyo kama ule.
DPP hatakuwa na nia ya kuendelea na hii case. Wait and see!Hapo baada ya ushahidi wa Leo, mawakili wa serikali Kuna mashahidi watawaondoa huko mbele ya safari
Wewe naye Leo unaongea pumba tupu.Hata CCM wenzako wameliona hilo YEHODAYA wameniliona hilo .Wewe tu ndiyo Umeamua kutumia makalio badala ya kichwaKwani CV ya Mbowe yenyewe ikoje ?Subirini dawa iwaingie. Mtu anakwenda jela maisha.
leo ndio mara ya kwanza kusikiliza kesi mkuu!!!Lakini pia maswali ya mawakili yana mitego sana,anakuuliza vitu we unaona maswali marahisi kumbe unaenda kujifunga huko mbele
Nchi nyingine vijana wanaomaliza degree na first class au 2:1 wanaombwa kujiunga katika ngazi ya uongozi wa taasisi mbali mbali. Huko hakuna mtoto wa fulani hapana, unakaribishwa kwa maongezi kutokana na ufaulu wako.Polisi ajirieni watu kwa elimu na kuwapandisha vyeo kwa elimu na weledi sio Udini tu ona sasa aibu hii mtu ana mivyeo kibao hata Hati ya mashtaka hakusoma inaasema nini msisikilize wanasiasa
Lumumba mbona mnaparuana..We jamaa inamatatizo ya akili,udini tu
USSR
Mlionywa mapema.....Umesikia alichongea mahakamani senior officer kama yeye?
Hakupitia hati ya mashtaka kabla kuongea kujua kilichomo ajue aongeaje3kaiweka serikali ya Mama Samia pabaya unnecessarily loo
Hivi mama Samia kamkosea nini au yeye mjahidina asiyependa wanawake kuwa maraisi wakae ndani tu?
I hate him to the maximum senior officer wa police kama yeye hakutakiwa kutoa Ushahidi hovyo kama ule.
Tulia unisome vizuri mlokole usikurupuke. Rudia kusoma nilichoandika.Uliona kwenye hiyo kesi mkiristo yeyote kachemka kama huyo Ramadan?
Kumbe umeshamgundua huyu jamaa.ana agenda yake dhidi ya waislam anakomaa nayo. Punguwani mkubwa.Unatatizo na Uislam na Waislam Bro
Bora simama ktk lengo lako....mengine yawache
Huoni aibu wewe umerukwa ?Kwani CV ya Mbowe yenyewe ikoje ?Subirini dawa iwaingie. Mtu anakwenda jela maisha.
Kwani kesi imeshaanza kusikilizwa? Gaidi Mbowe ameshazikubali charges alizokuwa anazikataa?RPC Kinondoni leo ni shahidi aliyesimama Mahakamani kutoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe na wenzake ya Ugaidi.
Katika kufuatilia cross examination kiongozi huyu wa Jeshi la Polisi amejichanganya sana na hivyo kushindwa kusimama kwa nafasi ya afisa mkubwa kwenye Jeshi na mchunguzi.
Yawezekana tatizo ni elimu au tatizo ni aina ya kesi ndiyo sababu ya yeye kubanwa mahakamani hadi wakati mwingine kupata gaidance ya Mahakama.
Ili tumfahamu vizuri kama ambavyo nchi nyingine ufanya, tunaomba tupate CV yake kuona kama kwenye criminal investigation huyu anaelewa au Basi kawekwa tu.
Lakini pia kesi hii ameanza kuichubguza akiwa Arusha wakati mazingira ya kesi yapo Kilimanjaro na Dar es Salaam, je huyu ndiye alionekana nafuu Kati ya ma RCO nchi nzima au kwanini yeye na si RCO Kilimanjaro Wala Dar?
IGP lazima wamuondoe....Hapo baada ya ushahidi wa Leo, mawakili wa serikali Kuna mashahidi watawaondoa huko mbele ya safari
Karibu mkuu!Magufuli alifariki 17.03.2021.Alikuwa zaidi yako Kwa Roho.Lakini sasa hivi ardhi ya chato.Karibu sanaKwani kesi imeshaanza kusikilizwa? Gaidi Mbowe ameshazikubali charges alizokuwa anazikataa?
Utadhani mambo ya skul, ukitaka kwendq kupiga desa....Bora angeomba maji.Aliomba kwenda kukojoa.ππππ
Achana na propaganda mulizo pandikizwa utotoni au makonda muislamu yuleNinachojua ni muislamu
Elimu sijui sababu waislamu wengi isipokuwa wachache huwa hawapendi elimu dunia ila wanataka haki Sawa kwenye ajira na vyeo ikiwemo Polisi wakati eimu hawana
Mwinyi alipishika uraisi alitaka alindwe na waislamu akapewa waislamu kilichomkuta diamond Jubilee alipigwa makofi na kiijana mdogo mjahidina. Muislamu sababu alipewa miislamu swala tano iliyopanda vyeo kwa kelele za kidini tu ohh tunabaguliwa kumbe elimu na competence zero akaishia kuwa Raisi wa kwanza kulambwa vibao hadharani tena na kijana mdogo muislamu kwenye hafla ya kiislamuTulia unisome vizuri mlokole usikurupuke. Rudia kusoma nilichoandika.
Lakini pia maswali ya mawakili yana mitego sana,anakuuliza vitu we unaona maswali marahisi kumbe unaenda kujifunga huko mbele