Anayenufaika zaidi kwenye mahusiano ni nani, mwanamke au mwanaume?

Anayapitia
Sasa hilo ni kosa lake,alishindwa kuchagua mke sahihi.

Jitahidi wewe sasa utafute mke sahihi ili usiwarisishe wanao chuki,ubinafsi na uoga kama unavowaza mda huu.

Familia ni upendo,furaha na amani haya maswala ya sijui mimi natoa nini yasikuumize kichwa mzee ni vitu vidogo na mwisho wa siku wanawake ni viumbe dhaifu waliletwa waje watuletee watoto na kula tunavyotafuta
 
Ndio maana jogoo hatunzi vifaranga
 
Mwanaume unanufaika nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…