TANZIA Anayesadikiwa kuwa MwanaJF afariki dunia

Kuishi na binadamu mwenzio ni kazi! Yamekwisha, apumzike kwa Amani!
 
Mi napendekeza uweke namba ya Mpesa tukutumie mchango upeleke hapo pasipojulikana ili tuifariji familia ya member asiejulikana na sisi tuliotoa tusijulikane
 
Mungu aturehemu tuliobaki. Siujui mwsho wangu so may his soul rest in peace.
 
Hongereni kwa michango mizuri To yeye na Depal , Wanawake wote wangekuwa huru kama ninyi huenda Dunia ingekuwa mahali salama zaidi kuishi.

Wanaume wenu watakuwa wanainjoi Sana mahusiano yenu.

Pole kwa Kila Mmoja aliyeguswa na Msiba huu.
 
Hongereni kwa michango mizuri To yeye na Depal , Wanawake wote wangekuwa huru kama ninyi huenda Dunia ingekuwa mahali salama zaidi kuishi.

Wanaume wenu watakuwa wanainjoi Sana mahusiano yenu.

Pole kwa Kila Mmoja aliyeguswa na Msiba huu.
Barikiwa sana Mkuu,apumzike
 
ndoa zina mengi hizi,mwanamke alishachoshwa na kufungua geti akaamua amute,mkeo unamfanya sa ngapi ikiwa unarudi usiku wote huo,wanaume badilikeni sio unaoa mke kumtesa.
kuoa sio kufunga tu ndoa kanisani kuna zaidi ya hayo,manhood is not simple as you think
kwa scenario hii hakuna wa kulaumiwa,isipokuwa mke atajuta maisha yake yote,Mungu amtie nguvu nawe uliyetangulia tunakutakia pumziko jema
 
Kwahiyo kuepusha gubu ndio unaona ukwende kushinda bar? Hapo unasuluhisha nini sasa?

Hivi mtu mnapendana na kuheshimiana vizuri hizo gubu zinatoka wapi? Ingawa najua kuna watu wapo both me & ke wana lawama sana
usihukumu kabla hujajua ukweli. kuna wanawake wengine ni controlling na wana gubu sana. pengine jamaa aliamua kuwa anapita bar kuepusha balaa la gubu la wife
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…