Anayesema Moshi pagumu kwa wageni, ugumu wake ni nini?

Wahaya nawajua in and out,hayo maeneo kulipo makabila mengine mostly ni pembezoni mfano nyakabango,kimwani,kishuro yaan sii kule kwenye wahaya pure,huwez kwenda nshamba, kamachumu,kyaka,kanyigo etc ukakuta mchanganyiko wa Kabila tofauti na wahaya
Hayo makabila mengine huko yame ji isolate kama wazinza,wajita wao wapo mialoni mostly
 
Wewe naye kila wakati unawaza uchagga tu. Sasa hivi mtasononeka sana. Enzi za wachagga kupendeleana vyeo zimeshapita shirikiane na watanzania kujenga nchi. Hakuna namna.
Unaesononeka ni wewe sukuma gang baada ya jiwe kufariki sisi tunajenga nchi ndio maana tupo Tanzania nzima kama wawekezaji , kuhusu vyeo mbona tunavyo tena vya kudumu? Kila idara tupo nje ya nchi etc we ulidhani vyeo ni kuteuliwa na rais tu?
 
Kunywa tusker lite mangi bili juu yangu
 
Wnaubaguzi sana hawa jamaa. Heri mpaka ungesogezwa wawe kenya kwa wabaguzi wenzao. Nashangaa hata serikali inavyowapa nafasi sekta nyeti maana ni ulaji kwanza huduma baadae!
We mchunga mbuz huna hoja wakati nyie mkichunga mbuz sisi tulikuwa ughaibun tunabukua usiwe na wivu omera
 
Kwa hiyo tuwaonee wivu kwa idle capital waliyowekeza kwenye nyumba za kulala na makaburi Moshi na Nyumba za kulala Christmas na misiba?
.Kwani hizo nyumba za kulala Christmas na makaburi vina generate income gani hadi tuwaonee wivu?
Sasa povu la nn ? Vipi na zile zenu mlizojenga za nyasi zina generate income?
 
Kifupi Hilo ndio jibu Kilimanjaro ni makaburini wachagav huwa wanaenda kuzika toka pande zote za Nchi na dunia mchaga akifa wanampeleka makaburini Kilimanjaro
Tunapnda kuzkwa kwetu maana tumejenga,nyie mnaogopa kuzkwa kwenu maana ni aibu vijumba kama viota vya ndege
 
Mtu atakuwa bepari wakati anamiliki robo eka ya mchaichai ? Hauko serius
We hujui kitu,hyo ardhi ya nyumbn ni Lulu,mtu hata akimilk robo heka huko mikoan unakuta Ana mahekar mengi hii n kutokn na nature
Kwan utajir wa mtu lazma uwe single area? Think big
 
Mtu atakuwa bepari wakati anamiliki robo eka ya mchaichai ? Hauko serius
Kati ya kujenga gorofa zuri la kulala na kujenga slop ya nyasi ni kipi bora? Unajua unachekesha ww mporipori
 
Asante San huyu mporipori Ana akili finyu mna hataki tujenge mighorofa huko uchagani ss ni mataita lazma tufanye kufuru migombn huko
Hiyo ni nyumba tu ya makaz ya mtu uchagani
 
Nimeshamjibu kuwa sis nchi nzima tuna na ardhi nikamwambia utajir wa mtu sio lazma uwe single area tatizo hawa wapori hawana exposure
 
Hebu Soma vzr post yangu.


Una mihemuko sana
Kwenye post yako ulisema wachaga ni wabinafs mm nkakucheki tu nikasema hiiii HIV wachaga wanawazd wahaya ubinafs ?
Bhojo kaziro msigaz wagamba ebishuva [emoji3][emoji3]
 
Hahahah yeye ni kibarua anajiita ofisa hahaha wakati hajui watu tumepiga masters zetu za Land management tumetulia tunamchora tu
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Umepanic mkuu take a glass of cold water and relax for a bit,we waenda wizarani kutafuta data za land owners in Tanzania,mie nalog in na kukupa hizo data[emoji23][emoji1363][emoji120]
Huna lolote ww kibarua wa beacon alafu idara za ardhi ktk halmashaur nying zinaongozwa na wachaga upo
 
Chasaka hawa Wana low thinking capacity dawa ni kuwapa za uso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…