luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Una matatz ya akili? Sasa unasema Moshi watu hawauz viwanja,wakiuza unaanza kupinga Sasa tukueleweje!?Abiria chunga mfuko wako kununua ardhi Moshi Hadi ukoo uridhie epuka kutapeliwa na hawauzi kwa chasaka yaani mtu mgeni wa kuja
Viwanja halali vingekuwa tu vile vinauzwa na Halmashauri.Usinunue kwa mtu binafsi au private estate companies utakuwa Kila siku kesi mahakamani kwa miaka na pesa imeondoka.Serikali ndio ikuuzie hapo sawa .Sababu likitokea la kutokea wao ndio watawajibika
Una matatz ya akili? Sasa unasema Moshi watu hawauz viwanja,wakiuza unaanza kupinga Sasa tukueleweje!?Abiria chunga mfuko wako kununua ardhi Moshi Hadi ukoo uridhie epuka kutapeliwa na hawauzi kwa chasaka yaani mtu mgeni wa kuja
Viwanja halali vingekuwa tu vile vinauzwa na Halmashauri.Usinunue kwa mtu binafsi au private estate companies utakuwa Kila siku kesi mahakamani kwa miaka na pesa imeondoka.Serikali ndio ikuuzie hapo sawa .Sababu likitokea la kutokea wao ndio watawajibika
Umeanza Tena utumbo wako kesi zipo Tanzania nzimaHawa wachagga wa huku Kilimanjaro wanapenda sana kesi uchwara
Katiti Ni Moshi?View attachment 1894253
Viwanja vipo, karibuni Moshi
Kilimanjaro hakuna maajabu aisee, promo na sifa zenu haziendani na uhalisiaUmeanza Tena utumbo wako kesi zipo Tanzania nzima
Kwao uchagani tu, as long as kabila lao ni wachaga basi kwao ni uchagani. Ila wewe jamaa mbishi sana aiseUkioa au kuolewa na mtu asiye mchaga kwa watoto kwao Ni wapi?
Maana siku hizi wachaga mnaoa Sana na kuolewa na makabila Mengine hao watoto kwao kutakuwa wapi? Na wajukuu watakuwa kwao wapi ?
Mkuu punguza chuki kidogo basiiAbiria chunga mfuko wako kununua ardhi Moshi Hadi ukoo uridhie epuka kutapeliwa na hawauzi kwa chasaka yaani mtu mgeni wa kuja
Viwanja halali vingekuwa tu vile vinauzwa na Halmashauri.Usinunue kwa mtu binafsi au private estate companies utakuwa Kila siku kesi mahakamani kwa miaka na pesa imeondoka.Serikali ndio ikuuzie hapo sawa .Sababu likitokea la kutokea wao ndio watawajibika
Mkuu waache wajifariji tu.Nimejitahidi kusoma komenti za wadau ili na mimi nipate kitu kuhusu hili,wengi katika comment wamewashupalia jamii ya Wachagga kwamba ni wabinafsi n.k. lakini in deep down wengi wa waliotoa komenti ni chuki tu binafsi dhidi ya jamii ya Wachagga na hakuna lingine. Lakini hili swala la kusema hilo kabila ni wabinafsi mara moshi ni pagumu kutoka kibiashara hamjaliangalia katika Angle zingine.
Kabla ya kuwadis Wachagga mmeshajiuliza haya maswali.
1.mfumo wa kiutawala wa kichaga wa mangi miaka hiyo ulikuaje?
2.je unazijua koo za kichaga zilizopigana na zenye mabifu hadi leo (lyamungo sec vs umbwe sec clash)
3.mshajiuliza kwanini sera ya ujamaa ya nyerere haikufanikiwa kupenya uchagani kwa asilimia kubwa? Ujamaa uliishia tu maeneo ya mtakuja,newland, chekereni and the like kule kwenye mashamba ya tpc. haukufanikiwa kupenya huku juu migombani kwenye ubichi ubichi throughout the year.
4.mmeshawahi kujiuliza Wachagga ni vita ngapi wamezipiga na jamii ya nilotes (maasai) kutetea kidogo walichonacho (ardhi).?
5.mmeshajiuliza ardhi ya uchagani ina ukubwa gani ukilinganisha na mikoa mingine?.
6.je mmeliangalia kwa jicho la kijiografia hili swala la ardhi ya uchagani ?
7.mnajua kitu kinaitwa KIAMBA SYSTEM Uliopo uchagani?
Anyway....
Mnapowadis Wachagga kwamba ni wabinafsi hiyo hali haijaamuliwa na utashi wa Kabila bali ni many factors ikiwemo natural ,socio, historical na geographical n.k. ambazo nyingine sio rahisi kuzielezea hapa maana watu humu wana comment mihemko tu pasipo kufanya fact check.
Tembeeni mfanye kuwauliza wazee kuhusu uchagani kukoje watakupa what is /was going on behind the scenes.
Hata kwenye biblia kuna mstari unasema tembeeni huku na huko mpate kuuliza...[emoji38][emoji38]. Tatizo wa tz tuna ile hali ya kulishana Matango pori sana kuhusu jamii fulani haswa ikiwa jamii hiyo ina ushawishi au imefanikiwa katika nyanja fulani ya maisha.
N:B ni ngumu sana kushindana na mtu mwenye exposure ya huko duniani .
Na hizi chuki za kuwadis Wachagga zimeshamiri sana kipindi cha utawala uliopita na wala hazina tija sana na hazitawarudisha nyuma jamii hiyo kwenye kuisaka hela maana kuna msemo unasema if you can't beat e'm join them.
TUPENDANE TU NA TUIJENGE TZ MOJA KUdiscuss ukabila kwenye zama hizi ni ujinga usio na maana yoyote
Penye maajabu Ni wap ? Njoo Nairobi utaujua mziki wa watu wakilimanjaroKilimanjaro hakuna maajabu aisee, promo na sifa zenu haziendani na uhalisia
Una kichaa na matatizo mengi sana na itakuwa huijui moshi kabisa, mchaga hawezi acha duka la mchaga mwenzake? BS, tunaishi huku na tunaona, acha kusambaza habari uongo na ukabilaKuutetea ukabila kwa kujidai haupo ni kazi ngumu pia.
Mgeni ni rahisi kutoboa Moshi ukiwa unafanya biashara haramu na ku cover kwa biashara halali ambayo itakuwa haina wateja.
Mchagga hawezi kuliacha duka la Mchagga mwenzie aje kununua kwako Mmatengo
Mpuuzi uyoMkuu
Unawezaje kusema kwa watu wenye akili timamu kwamba wageni wote wanaofanya biashara na kufanikiwa Moshi wanafanya biashara haramu?
Utafiti wako ulifanyia wapi na sample ya watu wangapi?
Dah, mnasambaza uongo mazee, pale ghorofani mbona kuna wa rangi mob na wakinga pale.Mkuu Moshi manispaa hunipotezi eneo lolote labda kdc ndio kidogo ntapotea ila tuambiane ukweli ulivyo kufanta biashara uchagani kunahitaji sana kujulikana wewe ni wa wapi, shika hili 'wewe ni wa wapi'
Ndio maana hata wewe utawaita wageni wafanyabiashara kwa makabila yao hadi maeneo tu ya biashara yapo tofauti kuna maeneo wengi wapare na wasambaa, alafu mchaga atakwambia siwezi nunua jeans za kisambaa [emoji23][emoji23] ukweli au uongo mleta uzi?
Hii ipo sana mfano stend tu pale gorofani mgeni amawezaje fanya biashara?, Embu sema tu Mkuu?, picha linaanza stand gorofani ukifika tu mfanyabishara mwenyewe anakujua ni homeboy anakuita utamkataaje dogo wa kitaa uende kwa mgeni mgeni kweli?
Moshi padogo sana na hii inachangia hili swala, yani ukiwa town unaweza kuta unafahamiana na wafanyabiashara wengi wa mahitaji uliyofuata, kwanini usinunue kwao sasa ukamtosa mgeni
Sipingi kuuza lakini serikali ndio ipime na kuuza sio watu binafsi au private real Estate .Kwa Moshi hapana .Mtu Binafsi na Private real estate companies Ni usumbufu unauziwa halafu wanna ukoo wengine wanakataa mauzo unaburuzwa mahakamani kesi itaenda miaka pesa imeondoka unabaki na mikesi mahakamaniUna matatz ya akili? Sasa unasema Moshi watu hawauz viwanja,wakiuza unaanza kupinga Sasa tukueleweje!?
Bladi faken huwezi biashara wewe, achia hustler huu mji, baki na chuki zakoMoshi hapafai kibiashara kama ni wa kabila tofauti na wachaga.....tunawaachia wenyewe wachaga shenzy type
Kumfananisha mchanga na mzaramo ni tusi bro tulia basiN i kweli miji wasio wabinafsi inakua kwa spidi ya hatari
Mfano mzuri Dar es salaam .Wazaramo hawana shida ukitaka ardhi hiyo hapo anakuuzia chap chap yeye huyo anahamia porini.Mwenye pesa mpishe,Mji ukipanuka ukimfikia ukitaka kumnunua hana shida lete pesa mapori bado yako kibao anakuuzia huyo anaenda sehemu ingine anajenga anasema mimi hapa nakalia nini kwa maisha gani niliyonayo lete hizo milioni 50 niangalie mbele kwa mbele!! Hivyo unakuta jiji linapanuka kwa spidi ya 5G .Na fursa kibao zinafunguka
Lakini ardhi nyingi moshi hazina uwekezaji cha maana kilichoko kwenye hizo ardhi wanachokithamini sana ni makaburi tu .Otherwise ni useless land ambayo sehemu kubwa ina uhusiano tu na mortuary kubeba wachaga kwenda kuzika na nyumba tu za kuishi zinazotumika tu kipindi cha christmas!!! Mchaga vitu vikubwa ambavyo hujenga kwao ni nymba ya kufikia chrismas na mazishi sio uwekezaji.
Ukiikuta ardhi tupu kule ipo kwa ajili ya kanyumba ka KRISMAS wenyewe hawako Moshi HAWAJAJENGA NA ni eneo linalosubiri kuzika wachaga wa ndani na nje ya nchi watakaofariki!!!!
Unaumwa ww, kahama hii hii au kuna kahama nyingine unaongelea, tuanze na double road, kahama ipo?Kwa Sasa ishazidiwa na kahama mbali sana
Umemaliza hizi ni chuki tu za kulishwaNimejitahidi kusoma komenti za wadau ili na mimi nipate kitu kuhusu hili,wengi katika comment wamewashupalia jamii ya Wachagga kwamba ni wabinafsi n.k. lakini in deep down wengi wa waliotoa komenti ni chuki tu binafsi dhidi ya jamii ya Wachagga na hakuna lingine. Lakini hili swala la kusema hilo kabila ni wabinafsi mara moshi ni pagumu kutoka kibiashara hamjaliangalia katika Angle zingine.
Kabla ya kuwadis Wachagga mmeshajiuliza haya maswali.
1.mfumo wa kiutawala wa kichaga wa mangi miaka hiyo ulikuaje?
2.je unazijua koo za kichaga zilizopigana na zenye mabifu hadi leo (lyamungo sec vs umbwe sec clash)
3.mshajiuliza kwanini sera ya ujamaa ya nyerere haikufanikiwa kupenya uchagani kwa asilimia kubwa? Ujamaa uliishia tu maeneo ya mtakuja,newland, chekereni and the like kule kwenye mashamba ya tpc. haukufanikiwa kupenya huku juu migombani kwenye ubichi ubichi throughout the year.
4.mmeshawahi kujiuliza Wachagga ni vita ngapi wamezipiga na jamii ya nilotes (maasai) kutetea kidogo walichonacho (ardhi).?
5.mmeshajiuliza ardhi ya uchagani ina ukubwa gani ukilinganisha na mikoa mingine?.
6.je mmeliangalia kwa jicho la kijiografia hili swala la ardhi ya uchagani ?
7.mnajua kitu kinaitwa KIAMBA SYSTEM Uliopo uchagani?
Anyway....
Mnapowadis Wachagga kwamba ni wabinafsi hiyo hali haijaamuliwa na utashi wa Kabila bali ni many factors ikiwemo natural ,socio, historical na geographical n.k. ambazo nyingine sio rahisi kuzielezea hapa maana watu humu wana comment mihemko tu pasipo kufanya fact check.
Tembeeni mfanye kuwauliza wazee kuhusu uchagani kukoje watakupa what is /was going on behind the scenes.
Hata kwenye biblia kuna mstari unasema tembeeni huku na huko mpate kuuliza...[emoji38][emoji38]. Tatizo wa tz tuna ile hali ya kulishana Matango pori sana kuhusu jamii fulani haswa ikiwa jamii hiyo ina ushawishi au imefanikiwa katika nyanja fulani ya maisha.
N:B ni ngumu sana kushindana na mtu mwenye exposure ya huko duniani .
Na hizi chuki za kuwadis Wachagga zimeshamiri sana kipindi cha utawala uliopita na wala hazina tija sana na hazitawarudisha nyuma jamii hiyo kwenye kuisaka hela maana kuna msemo unasema if you can't beat e'm join them.
TUPENDANE TU NA TUIJENGE TZ MOJA KUdiscuss ukabila kwenye zama hizi ni ujinga usio na maana yoyote
Wadau wanasema kwao ni mapori mkuu.Wamewekeza kwao na ugenini both
Kwanini pasitoshe mkuu, december si huwa wanarudi, huwa hapatoshi??Ukiwa ambia wachagga wote warudi moshi hapata tosha kama watarudi wote.