Hiyo paragraph ya pili hawezi kuielewa mtoto mdogo huyu.Swala la mwanaume kumtongoza mwanamke ni asili hiyo
Kwa hiyo unataka mwanamke awe na uhuru wa kumtongoza mwanaume
Mwanamke kuna mda inabidi akubali kuolewa na mwanaume flani sababu ndo aliyekuja na yuko tayari kumuoa sasa unavyosema mwanamke awe na uhuru ni kichekesho kwakweli
Ameen brother, keep on preaching mzee.Classes uliyo itathmini siyo aliyoimaanisha MUNGU..wewe umeitathmini classes kama uwezo wa kifedha/kiupeo/kielimu/kimwonekano nk. kutokana na thread yako lakini hapo kilichomaanishwa zaidi ni sifa za nafsi zaidi zinazobeba Character ya mtu kama upole,utu,hekima,kupenda ibada,utii,unyenyekevu nk...
Na ndio maana kwa Wanaume ambao wamekuwa waaminifu kwa Mungu na kujenga naye mahusiano mazuri Mungu huwa anawapa wake wanaofanana nao usije kutegemea wewe malaya ukapewa mwanamke anajitunza na mtii NEVER labda huyo mwanaume aje akengeuke mwenyewe badae kwa kumuacha MUNGU.
Hio ndiyo maana yake halisi na si kama wewe ulivomaanisha.
Kwa hiyo, binti mwenye miaka 19, aliyehitimu kidato cha nne, akaolewa na mchungaji mtu mzima, akazaa watoto wawili na kuwalea, akawa maarufu dunia nzima, akaishi kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 20, akaingia kwenye menopause (ubibi) ndio akagundua alikuwa ni mjinga kuwa kwenye ndoa, kipindi chote hicho aliishi kwa utumwa kwa kulazimishwa kuwa mwanandoa!Mbona hilo lipo wazi! Binafsi nafurahi kuona baadhi ya watu wanaona ukweli wa mambo nje ya mihemko. Ukweli ambao hauhitaji democracy kuthibitika kuwa ni ukweli. Hii inaonesha kuwa there's hope in our society.
Badala ya kumlaumu Tina, ingependeza kuchukua key take-aways kwenye hili saga, especially from mzee shusho na wazazi wa Tina.
Mwanamke anapaswa kuolewa akiwa anajitambua na ameridhia. Kinyume na hapo ni biashara ya utumwa.
Umeonaje maisha yao na ufanisi eneo la ndoa na mahusiano baada ya kufanya udaktari na urubani.Unaulizwa swali unatoa porojo.
Jibu swali kwako asili ni kitu gani?
Maana najua kuna Watu mnachanganya mapokeo na asili.
Kwa uelewa wako wakati ule wanawake walipoambiwa hawawezi kazi za udaktari au urubani ilikuwa ni kuvunja asili? Kwa uelewa wako asili inavunjwa?
Tupe formula ya upendo kama unayo. [emoji848]Eti upendo hauna formula!!? Wewe unaonekana ndiyo bado mtoto.
Sasa ndio wanawake hawawezi hiyo kitu, wewe mbona haujielewi unachoongea wewe? [emoji23][emoji23][emoji23] Ama kweli ukitaka usieleweke kama wanawake ongea vitu vyao. Yaani wenyewe wanawake wanakiri kwamba hawajui wanachokitaka, wewe unatoka huko utokako unakuja kutetea upuuzi wa kiumbe ambaye hajui anachotaka.Uhuru bila kufanya uhalifu wala dhambi ndio huitwa Uhuru.
Sasa mwanamke kuwa huru kwa nini baadhi ya Watu huona shida? Nîni wanafaidika wanawake wanapoteseka kihisia, kiakili, kiroho na kimwili?
Najua wapo wanaume pia wanateseka kwa kasumba na dhana potofu kwa kisingizio cha uanaume.
Mfano, umenyeke na kuteseka kutafuta pesa ili umhudumie Mwanamke ambaye sio mkeo na huishi naye. Huo ni unyanyasaji
Wewe mwenyewe unakiri kuwa haujui sasa kwann mwenzako asitumie neno "inaonyesha" kwenye maneno yake kumaanisha hajapata mrejesho wa moja kwa moja wa walengwa ila inaweza kuwa tofauti kulingana na viashiria anavyoviona hapo.Neno “inaonyesha” ni tafsiri yako wewe binafsi ili ku-justify point yako.
Yeye amesema alilazimishwa Halafu wewe umetafuta neno la kusadikika kwa upeo wa akili yako ili upate hoja
Kama alilazimishwa na wazazi sisi hatujui, mapito aliyokuwa akipitia ndani ya ndoa yake vilevile hatuyajui.
Point kubwa sana hii.Asili ni pamoja na mambo yale ambayo yapo nje ya uwezo wangu yananiendesha siwezi kuyacontrol.
Mfano
mwanaume kutokuishi kwenye misingi ya usawa na mwanamke.
Men are superior to women.
Sio kwa kupenda ila ni asili.
Eti analalamika kupikia wanaume wengi? Hivi kupika na kutafuta cha kupika ni kipi kigumu? Yaani wanawake wa siku hizi wanataka mwanaume atafute pesa na akirudi nyumba awapikie na ku walisha kwa uwabebeleza. Halafu mkiona wanaume wa naamuwa kuwa wanawake mnalaumu wazungu. Ila hamlaum wazungu kubadilisha wanawake kuwa mizigo kwa waume zao.Yanaweza kuwa ni asili kama walioyatoa hayo mapokeo walikuwapo tokea enzi na enzi.
Wewe mbona unaamini ni mwanaume na si mwanamke, si kwasababu una mapokeo ya taarifa za wazazi wako na waliokulea kuwa wewe ni mwanaume, na haukuwa ukijua hilo hadi ulipofikia umri huu wa sasa.
Wazazi wako wangesema wewe sio mwanaume amini nakwambia ingekulazimu ukubali wewe si mwanaume sababu maneno yao yangeshape namna unavyojitambua.
So ni sahihi kusema mapokeo ni asili sababu ni matokeo ya kumbukumbu za vizazi kadhaa nyuma yetu, hayakuanza jana. Ni maneno ambayo hata wazazi wetu waliwasikia wazazi wao wakisema waliyasikia kwa babu na bibi zao, sasa hiyo kama si asili tuiteje? [emoji848]
[emoji16][emoji16]Kwahiyo mfumo wa asili unasema mwanamke leo aseme ndio nimekubali kuwa mke wa fulani halafu miaka kadhaa aamke kama mwenda wazimu aseme nilikuwa kifungoni nataka kuwa huru nikatombwe na ninae mtaka, umri ukiwa umeenda, kweli?
Kumbe kuna upendo wa kweli? Upoje huo na unakuwaje?Watoto ndiyo wanadhani upendo wa mwanamke na mwanaume huja automatically. Ukiwa mtu mzima utajua watu wanapendeana, pesa, sura, matako, elimu, tabia, macho, swaga, umaarufu, nk nk. Na anayempendea mtu pesa na anayempendea mwingine matako hawana tofauti. Hakuna mwenye upendo wa kweli zaidi ya mwingine.
Yaani ni sawa na kusema wanawake waanze kujichubua kwasababu wanaume wanapenda wanawake mashombe shombe na weupe.Ndoa inatakiwa ije na version mpya jamani hii ya zamani ipo outdated sana....haikidhi wala kuendana na nyakati za sasa.
Kudumu kwenye ndoa haimaanishi kuwa kuna la maana mnafanya. Kuna watu wanadumu kwenye ndoa sababu ya ufanano wa tabia na wamekubaliana kuishi hivyo na haiwapi stress.Umeandika vitu vingi ambavyo kwenye maisha ya uhalisia havina ukweli 100%
nimeshuhudia ndoa ya mtu mwanamume alikuwa dereva wa malori Mke alikuwa bamedi wakakutana bar, huu mwaka wa Tisa na watoto watatu.
Hivyo vitu unavyoviongea ni IMANI tu ambazo kiuhalisia vipo kwa asilimia ndogo.
Miaka 20 ya ndoa, huyu kalazimishwaje kuishi na mtu miaka 20,miaka 20 alikuwa akitombwa hapati raha? [emoji848]Ikiwa hujui amebadilisha Mungu anayemtumikia, bas haupaswi kuzungumza chochote kumuhusu acha wenye kutaka kumsaidia eidha Kwa kumwombea au Kwa namna yoyote watafanya hivyo...
Ni BIBLIA TAKATIFU hiyohiyo hairusu Mwanamke kuwa Mchungaji na ni kitu Shusho anafanya.
Kuna Wanawake wangapi wameolewa na wanaume hawakuwapenda na wakaishia kupendana mpaka maiti...
Bibi zetu walikuwa wanabebwa kilazima na wanafungiwa ndani na ndio ndoa mpaka kifo.
Acha kuyapaka maisha rangi Robert.
Na tunamuaminije kuwa alilazimishwa?
Kwa hivyo Mzee Shusho ana kesi ya kujibu?
Wewe kijana ebu waache wenye mzigo wa kumsaidia Shusho watamsaidia.
Ila hata wewe yawezekana ulikuwa humpendi mke wako sa akakunasa Kwa mbinu anazojua.
Tanzania hatuwahi kuwa utumwani ila ni ukoloni. Ukoloni haulazimishwi kufanya kazi ila unakuwa chini ya mamlaka ya taifa lingine kama mfanyakazi anayelipwa hata kama ni kidogo.Kabla ya mwaka 1961 Tanganyika raia wake walikuwa utumwani. Unataka kuniambia walkuwa wanafanya kazi kwa kupenda? Historia haisemi jinsi gani wazee walikuwa wakichapwa Viboko?
mkuu,
Mimi sifahamu kama alilazimishwa au Laah, ila yeye anadai alilazimishwa hivyo mtoa mada amesimamia hapo kwamba alilazimishwa.
So far umeweka facts gani, au speculation zako unaita facts? [emoji848]Mkuu naona unatoa maelezo bila ya Fact. Hapa tunazungumzia facts sio porojo