Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Hiyo paragraph ya pili hawezi kuielewa mtoto mdogo huyu.Swala la mwanaume kumtongoza mwanamke ni asili hiyo
Kwa hiyo unataka mwanamke awe na uhuru wa kumtongoza mwanaume
Mwanamke kuna mda inabidi akubali kuolewa na mwanaume flani sababu ndo aliyekuja na yuko tayari kumuoa sasa unavyosema mwanamke awe na uhuru ni kichekesho kwakweli