Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga

Huyo mwanamke anawasumbua vichwa mwanaume bado hajaongea kitu.
 
Kila siku hapa huwa tunasema kuwa mwanaume anapopata mafanikio ya kiuchumi huwa anauwezo wa kulala kingono na wanawake wengi tofauti tofauti ila huwa anachagua kutafuta mwanamke m'moja mzuri anayejitambua na kuanzisha nae maisha na kuwa Mume na mke na kujenga kiota chao waishi kwa upendo na kujenga ukoo.

Upande wa pili ni kwamba mwanamke akipata mafanikio ya pesa anaona mwanaume ni kama nyapala anaekuja kumbana na kumnyima uhuru wa kufanya anachojisikia maana huu ndio muda atataka ajiweke karibu na watu wenye pesa sio kwa lengo la kupata maisha ni ili aweze kuwa mpango wa kando maana anajua mtu mwenye pesa anakuwa na mademu kibao yeye anaongeza namba tu aende hawa wanaume matajiri wamtombe, wampe hela na madili ya hela zaidi, azae nao ili wanaume hawa awatumie kama chanzo cha mapato kupitia matunzo ya watoto kisha akianza kuzeeka sasa ndipo atafute kijana Smart ataulie wajenge familia. Umatako wa karne yaani.
 
At least umeongea jambo linalomake sense. Robert Heriel Mtibeli angekuja kihivi kidogo tungejadili mada ya kueleweka ila sio pumba alizoandika hapa. Ameamua kuwa w****'s advocate.
 
CHRISTINA SHUSHO AMEMKOSEA MUMEWE, ATUBU

Kitendo cha Christina Shusho kusema kwamba aliozeshwa akiwa mdogo bila idhini yake ni kumdhalilisha huyo aliyekuwa mume wake kwamba alikuwa mkubwa sana kwake (mzee) na alimuoa kimabavu, kwanini hakuachana nae kipindi hicho hicho au kwenda kushtaki? Au kuna kitu alikuwa anapata hakipo tena ndio anaamua kumchafua? Maswali ni mengi yenye mashaka

Nmeona video anahojiwa hata pete ya ndoa hajavaa anaulizwa kwann anasema ni suala la makubaliano aliamua kumuacha mumewe kwenda kutimiza ndoto zake na ilikuwa kwa amani anasema habari za mume na mke kuwa mwili mmoja kwake siku hizi hazipo. Kule kwa mumewe alipokuwa anasema akiamua anaenda kutembelea tu. Hii sio sahihi ndugu zangu.

Imefika hatua anasema kwamba hapendi kuitwa pastor Christina Shusho anasema yeye sio mchungaji ila ana watu wa karibu wachungaji yeye hajiskii vizuri kuitwa pastor, kweli? Muimbaji wa nyimbo za Injili unaehubiri kupitia nyimbo hutaki kuitwa mchungaji??? Unaogopa nin? Ni mambo gan hasa yanakupa aibu kuitwa pastor?

Binafsi nasimama na huyo mume, naona suala la ndoa la Christina Shusho limekaa upande mmoja yeye tu ndio anaongea kwenye media na majukwaa mbalimbali kwamba alifosiwa kuolewa mara alijitoa kwenye ndoa kutimiza maono yake nk ukweli unabaki kwa mume huenda nae ana mengi ya kuzungumza ila ana kifua, sio ropo ropo.

Nadhani siku huyo mzee (ambaye Christina anadai aliozeshwa kwake akiwa mdogo kwamba ni mkubwa sana kwake) akiongea huenda tukakosa pa kuficha sura zetu yanaweza kuwa mambo mazito mno

Nadhani mume ameamua kutumia busara kukaa kimya kuepusha taharuki kubwa zaidi

Sioni kama kulikuwa na haja ya Christina Shusho kuongelea haya mambo hadharani yalipaswa kuwa binafsi

Wanawake jifunzeni, mambo ya ndoa sio ya kuweka hadharani.
 
Hizi kauli inabidi zijadiliwe kwa uwazi na upana wanawake wanaona kama jamii ina watu wajinga sana.

1. Nataka niwe huru
2. Nataka nipambanie ndoto zangu.

Hizi kauli zimewaponza mabinti wengi sana leo hii kama sio ni masingle mother basi ni wasimbe wa kudumu.
 
Imeishaahioo
 

Attachments

  • 1714663466367.jpg
    203.1 KB · Views: 5
Mtoa mada usipangie watu maisha. Kuna wanaume wanapenda kuoa wanawake ambao hawana kazi, kuna wanaopenda kuoa wenye kipato kuwazidi, wengine msomi, wengine wanapenda wenye elimu ya darasa la saba.

Waache watu waishi vile wanaona inawafaa wao. Ndoa ya Tina si ya kwanza kuvunjika, aache kutafuta visingizio. Wakati anaolewa hakuwa mtoto, alikuwa na nafasi ya kukataa ndoa hiyo.

Binafsi napenda mwanamke anayejua kujitafutia kipato, hivyo siwezi kuwapangia wengine waoe mwanamke wa aina gani.
 
Angekuwa ni nandy, giggy money, shilole au lulu wala hakuna ambaye angeshangaa...ingeonekana ni kawaida.


Tatizo linakuja kwamba ni mwimbaji wa
Dini...Dini ambayo wengi tunaamini ndio mahali pa faraja..anapoasi kwa style hiyo.

Tukumbuke pia, Tina sio binti.wala mdada kama akina frola mbasha..ni jimama..ana watoto wa kuolewa na kuoa...probably hata wajukuu siajabu anao...inashangaza sana
 
Anachofanya Shusho ni umalaya na hana tofauti na malaya wengine.
 

Hata waimba dini nao ni wanadamu wana madhaifu kama tulivyo mimi na wewe.
 
Kaka mpare nimependa umetumia lugha ya kiungwana maana alistahili ya kukalipia,yaani anachukulia ndoa kama taasisi ya kibiashara mbinu za kuajiri wafanyakazi analeta kwenye ndoa.
hajui ukioa mwanamke ikatokea amepata ajari miguu na mikono imekatika ataendelea kuwa mkeo mpaka mungu atapomchukua ,na hapo atueleze je waachane?
 
Mungu hakupi vyote amejaliwa kipaji na uzuri lkn hakujaaliwa kuolewa na chaguo lake
 
Jambo kuwa kiasili haimaanishi ni HAKI.
Niliwahi andika hivyo lakini haimaanishi nililiunga mkono.




Mwanamke aolewe katika umri ambao kwa hiyari yake anataka kuolewa.
Bila Me na Ke..... wewe ungekuwepo duniani. Na usingeandika bandiko hili.........inawezekana huna mke au mkeo anakutawala.
Soma Biblia Suleiman alikuwa na wake wangapi?....... acha ujuaji.
Tunatakiwa tuishi nao kwa akili......full stop 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…